Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo

Flora Mbasha kufunga ndoa wiki ijayo

Mwimbaji wa muziki wa Injili nchini, Madame Flora (Flora Mbasha zamani), Jumapili ya wiki ijayo anatarajia kufunga ndoa na mume wake mtarajiwa Daudi Kusekwa katika bustani za hoteli ya Rock Beach jijini Mwanza.

Madame Flora ameliambia Swaggaz kuwa ndoa hiyo itaambatana na uzinduzi wa albamu yake mpya inayoitwa Wakati Wake pamoja na kitabu alichokipachika jina la Siri za Flora Mbasha.

“Ndoa itafungwa asubuhi na jioni kutakuwa na sherehe ya harusi, utambulisho wa albamu yangu mpya pamoja na kitabu, watu wote wanakaribishwa kadi zimebaki chache tu kutokana na idadi ya ambayo imepangwa na kamati,” alisema Flora.

Chanzo. Mtanzania
Kama kuamua kuolewa inabidi aache kutumia jina la Mbasha kibiashara vinginevyo inabidi kuwe na mkataba wa kibiashara ya kutumia jina kama Tina Turner alivyokuwa jina la mtalaka wake.
 
Joyce Kiria kwasasa ndio mwanamke namba 1 mwenye Stress nchini, ana chuki na wanaume utafikiri hakutokana na mbegu za mwanaume.
Nakumbuka tu mume wake alivokula za uso 2015 kwenye uchaguzi. Na yeye si Aliachikia kwa Dj NELI [emoji2] [emoji2]
 
Mimi wazazi pia huwa wananikumbusha hilo ila huwa siwajibu chochote lakini sababu ni kwamba Sioni aina ya wanawake wafaao kuolewa.
Kweli wanaofaa kuolewa hawap kuwa sirias bwan
 
Dini za kuletwa zimeisha waharibu sana wabongo, watu wameshaachana nyie. Mmekazana kibiblia kibiblia, fuateni nyie,
Wao kila mtu kivyake.
 
Back
Top Bottom