ANCIENT FROM EGYPT
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 927
- 1,136
Niko nyuma sanaa.
Yan hakuna hata nilichokielewa hapo
Sijawah kuvutiwa na instagram na sijawah ingia huko
Bora ww!Niko nyuma sanaa.
Yan hakuna hata nilichokielewa hapo
Sijawah kuvutiwa na instagram na sijawah ingia huko
Kumbe na ww!!? Naona degree zangu 4 hazikanisaidia badoBora ww!
Ahahahahahah..Dah..mie men awe insta🤔🤔!...mie ndo kbs!
Mie mtupu sana kuhusu wasanii na vibweka vyao .umri ushapita!Kumbe na ww!!? Naona degree zangu 4 hazikanisaidia bado
Unavyoipenda hii statement sasa "umri ushapita"Mie mtupu sana kuhusu wasanii na vibweka vyao .umri ushapita!
Ukiona mtu anaweka katika blog yake picha kama hii mpite mbali. MBUTA NANGA BLOG-MAGAZINE/ SINCE 2011 TOP IN TOWN'Huyu mzee mwenzangu nae alitaka ki Ben 10 ki star
Unavyoipenda hii statement sasa "umri ushapita"
[/QUO
Si unaona kila kitu niko nyuma tu mkuu!hyo ndo alarm mkuu😅