Florent Ibenge amvuta kocha wa Tabora United, aliyewafunga Yanga na kumpa jukumu

Tabora alimfunga yanga kutokana na kukosa wachezaji wake wengi eneo la defense, wangekuwa full mkoko Tabora angepigwa kama ngoma
sasa kama shida ilikuwa ni mabeki, kwanini washambuliaji hawakufunga matano, na wao kufungwa hayo matatu.

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Vita yetu ni dhidi ya Kolo tukimfunga yeye tu inatosha [emoji16]
 

Na imetiki
 
Kwa ukweli kabisa hizi game hata angekuwepo kipara angepigwa tena , watu wameshausoma uchezaji wao na wakaja na solution tu basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…