laki si pesa.
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 10,003
- 9,755
mwache ainjoy maisha yake we only live once... Unataka abane matumizi akifa wafaidi ndugu zake?mkuu ndiyo maana watu kama hawa na wakina mike tyson. Uwezo wa kufikisika ni mkubwa sana kama alivyofilisika Tyson.
Wengi wa matajiri, wanajua sana kubana matumizi na kuzielekeza fedha katika uwekezaji.
Sasa hawa ndugu zetu ni matanuzi mwanzo mwisho. Mwisho wa siku wanakuwa omba omba.
Na pambano lake moja linakusanya kiasi gani? najaribu kuona kukusanya hizo hela kununua ndege mbili! Looks they are getting good pay from boxing$12,000,000 na kuendelea.
Pigano moja linalipa kiasi gani?Dola milioni 15 unanyanyua pipa kama hilo
private jet zina raha yake,ukitaka kutinga new york city ni uamzi tu,hongkong,bangkok,mexico city yaani just uamzi na ni nzuri kwa kusafirisha madini,unga etcKama ikipata hitilafu huwa inaelea tuu mpaka mkaiokoe nadhani ntamsifia. Lakini kama yaanguka kama nyingine nyingi zilizowahi anguka nadhani ningelikuwa yeye fedha ngeliiweka kwingine.
Akasemaje?Nilishawahi kumshauri Diamond juu ya matumizi ya ovyo
Hahaha aya bhanaAkasemaje?
Waafrika wengi ndiyo wapo hivyo. Ila utashangaa kuna watu wanamshangilia hivyo hivyo na ujinga wakewazungu wanaita "this is what happens when you give money to the monkey"...akili yake yote imeishia hapo hawezi kujipambanua akafanya ya maana zaidi ya hizo starehe za dunia inayopita.
$ 220 Million kwa pambano moja!!Pigano moja linalipa kiasi gani?
$ 220 Million kwa pambano moja!!Pigano moja linalipa kiasi gani?
Then ana haki ya kununua hata kumi! Nikuulize swali kama una jibu, nani anamlipa hela hizo (zina toka wapi)? Kiingilio kinatosha kumlipa hizo na mwenzake na gharama za kuendesha pambano, hilo zinatoka wapi?$ 220 Million kwa pambano moja!!
Hata nikitamani mkuu haitakaa itokee siku moja niwe navyo! Huu utawala uliopo sa hvi kupata ugali wa mchana umshukuru MUNGU!!
private jet zina raha yake,ukitaka kutinga new york city ni uamzi tu,hongkong,bangkok,mexico city yaani just uamzi na ni nzuri kwa kusafirisha madini,unga etc
Viingilio na wathamini ishu kama hiyoThen ana haki ya kununua hata kumi! Nikuulize swali kama una jibu, nani anamlipa hela hizo (zina toka wapi)? Kiingilio kinatosha kumlipa hizo na mwenzake na gharama za kuendesha pambano, hilo zinatoka wapi?
Huyu ni entertainer tofauti na Bill Gates wanatafuta hela kwa njia tofauti kabisa so hata lifestyle na spending zinakuwa tofauti maana kila mmoja anafanya biashara ila marketing strategy pia ni tofauto.Dah! Huyu mwamba angekuwa bill gate sijui ingekuwaje.. Nawaza tu.