Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
ila hii ngozi nyeusi tunapenda sana kujishow off..yaani angalia mswahili yoyote duniani..anataka kubling,raba kali jeans kali,gari..lakini wazungu wala..wapo na suti tu.Sijui kwanini tuko hivyoDah! Huyu mwamba angekuwa bill gate sijui ingekuwaje.. Nawaza tu.