Foleni Jiji la Dar: Ni pale tutakapopata viongozi wenye akili ndipo tatizo litaondoka

Foleni Jiji la Dar: Ni pale tutakapopata viongozi wenye akili ndipo tatizo litaondoka

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Nikitembea katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo mengi ya Tanzania jambo kuu linalonijia kichwani ni kwamba, Tanzania tutapata maendeleo ya kweli pale tu tutakapopata Viongozi wenye akili na wasioendekeza rushwa.

Haiingii akilini kwa upana wa kujenga barabara uliopo kati ya Gongo la Mboto hadi Posta ila bado viongozi wetu wanajenga barabara za njia mbili kila upande kwenye mradi unaendelea.

Ujinga huo huo umefanyika kilwa road hadi posta na unafanyika tena barabara ya Tegeta hadi Posta.

Haingii akilini pia kwa upana uliopo kuanzia Mwenge hadi Bandarini kupitia ubungo bado viongozi wetu wanajenga barabara zenye upana wa njia mbili kila upande.

Foleni inayolalamikiwa katika Jiji la Dar es Salaam sio jambo lililoshindikana kupatiwa ufumbuzi bali ni ujinga na uvivu wa kufikiri wa Viongozi wetu ndio unaosababisha haya.

Pia Rushwa ni chanzo kingine knachosababisha tuwe na miradi ya kurudia rudia maana viongozi wetu wanadhani wakijenga barabara za uhakika za njia 3 au nnne kila upande watakosa sehemu za kutengeneza miradi ya kupiga pesa.

Naionea huruma sana Tanzania.

Kuchelewa kwetu kupata maendeleo ya kweli na uhakika kunatokana na kukosa viongozi wa kweli wenye akili na wanaofikiri vizuri kwa maslahi mapana ya nchi.

FB_IMG_1735981598416.jpg
 
Dar, Arusha, Mbeya na Mwanza.....same Problem, year after year

Inashangaza sana.
 
Nikitembea katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo mengi ya Tanzania jambo kuu linalonijia kichwani ni kwamba, Tanzania tutapata maendeleo ya kweli pale tu tutakapopata Viongozi wenye akili na wasioendekeza rushwa.

Haiingii akilini kwa upana wa kujenga barabara uliopo kati ya Gongo la Mboto hadi Posta ila bado viongozi wetu wanajenga barabara za njia mbili kila upande kwenye mradi unaendelea.

Ujinga huo huo umefanyika kilwa road hadi posta na unafanyika tena barabara ya Tegeta hadi Posta.

Haingii akilini pia kwa upana uliopo kuanzia Mwenge hadi Bandarini kupitia ubungo bado viongozi wetu wanajenga barabara zenye upana wa njia mbili kila upande.

Foleni inayolalamikiwa katika Jiji la Dar es Salaam sio jambo lililoshindikana kupatiwa ufumbuzi bali ni ujinga na uvivu wa kufikiri wa Viongozi wetu ndio unaosababisha haya.

Pia Rushwa ni chanzo kingine knachosababisha tuwe na miradi ya kurudia rudia maana viongozi wetu wanadhani wakijenga barabara za uhakika za njia 3 au nnne kila upande watakosa sehemu za kutengeneza miradi ya kupiga pesa.

Naionea huruma sana Tanzania.

Kuchelewa kwetu kupata maendeleo ya kweli na uhakika kunatokana na kukosa viongozi wa kweli wenye akili na wanaofikiri vizuri kwa maslahi mapana ya nchi.

View attachment 3192041
Changamoto kubwa ni mipango miji.
Pamoja na wembamba wa barabara, zikiwa chache ni tatizo zaidi.
Ujenzi holela, tena usioacha nafasi kwa ajili ya miundombinu ya uma ndiyo janga kuu.
Hata hivyo, serikali ya hovyo hutokana na wananchi wa hovyo na matokeo yake ni huduma na miundombinu ya hovyo.
 
Nchi hii tunajiendea tu nakwambia. Ni kwa kudra za mwenyezi Mungu tu
Tuko kwenye auto mode waaay back, too bad ni kwamba tunaamini siasa na si kiongozi ambae atakuea smart kutuvusha, hata akitokea atapigwa vita

Tz inahitaji cultural evolution kwanza
 
Nikitembea katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo mengi ya Tanzania jambo kuu linalonijia kichwani ni kwamba, Tanzania tutapata maendeleo ya kweli pale tu tutakapopata Viongozi wenye akili na wasioendekeza rushwa.

Haiingii akilini kwa upana wa kujenga barabara uliopo kati ya Gongo la Mboto hadi Posta ila bado viongozi wetu wanajenga barabara za njia mbili kila upande kwenye mradi unaendelea.

Ujinga huo huo umefanyika kilwa road hadi posta na unafanyika tena barabara ya Tegeta hadi Posta.

Haingii akilini pia kwa upana uliopo kuanzia Mwenge hadi Bandarini kupitia ubungo bado viongozi wetu wanajenga barabara zenye upana wa njia mbili kila upande.

Foleni inayolalamikiwa katika Jiji la Dar es Salaam sio jambo lililoshindikana kupatiwa ufumbuzi bali ni ujinga na uvivu wa kufikiri wa Viongozi wetu ndio unaosababisha haya.

Pia Rushwa ni chanzo kingine knachosababisha tuwe na miradi ya kurudia rudia maana viongozi wetu wanadhani wakijenga barabara za uhakika za njia 3 au nnne kila upande watakosa sehemu za kutengeneza miradi ya kupiga pesa.

Naionea huruma sana Tanzania.

Kuchelewa kwetu kupata maendeleo ya kweli na uhakika kunatokana na kukosa viongozi wa kweli wenye akili na wanaofikiri vizuri kwa maslahi mapana ya nchi.

View attachment 3192041
Mkuu rais alikuwa ni Dr Magufuli tu, angekuwepo asingeruhusu huu ujinga we angalia Kimara kwenda Kibaha, bila Magufuli isingejengwa. Saizi serikali hii wanajenga barabara ya Kulipia kutoka Kibaha hadi Chalinze kwa vyovyo hii ya sasa itaachwa ife ili wote wapite kwenye Ile ya Kulipia yaani twafwaaaaa. Kama taifa tulipata hasara Sana kumpoteza rais Magufuli nalia kila siku mimi
 
Magufuli alipojenga fly over mkamwita mwehu, sasa mkome.

Mwambie Samia akujengee barabara.

Malalamiko tu, oooh hatutaki fly over, ooohhh fly over ni kuchezea hela, kwanza hatuna magari!! Jinga kabisa!
 
Hapana! Kwenye hili sikubaliani na wewe!

Kuna ujenzi gani holela kuanzia mwenge hadi kurasini Bandarini? Kuna ufinyu gani wa space unaofanya tushindwe kujenga barabara pana za njia 3 kila upande?

Kuna ufinyu gani pia njia ya Tegeta hadi Posta?

Ni uvivu tu wa kufikiri wa wafanya maamuzi wetu na kuendekeza rushwa!
 
Mkuu rais alikuwa ni Dr Magufuli tu, angekuwepo asingeruhusu huu ujinga we angalia Kimara kwenda Kibaha, bila Magufuli isingejengwa. Saizi serikali hii wanajenga barabara ya Kulipia kutoka Kibaha hadi Chalinze kwa vyovyo hii ya sasa itaachwa ife ili wote wapite kwenye Ile ya Kulipia yaani twafwaaaaa. Kama taifa tulipata hasara Sana kumpoteza rais Magufuli nalia kila siku mimi
Pole
 
Tuko kwenye auto mode waaay back, too bad ni kwamba tunaamini siasa na si kiongozi ambae atakuea smart kutuvusha, hata akitokea atapigwa vita

Tz inahitaji cultural evolution kwanza
Maamuzi hayahitaji culture evolution
 
Nchi hii tunajiendea tu nakwambia. Ni kwa kudra za mwenyezi Mungu tu
Tatizo la Foleni ni la miaka na miaka, kodi inapatikana ila nahisi issue ni Priority....hawajaprioritize kuondoa hii kero...

Serikali inadeal na miradi mingine tunashukuru ila ni kama wameisahau hii

Serikali ikomeshe ujenzi holela wa makazi na itanue barabara pamoja na kujenga Fly Overs
 
Maamuzi hayahitaji culture evolution
Si evolution,Revolution, you wonder why tunaendelea kupata viongozi wa aina hii? And jamii ina wa support?

Is not about maamuzi kama tatizo liko deep layered deep down kwenye jamii. Tunaweza avoid kwa muda mfupi, but litajirudia

So get rid of roots or get rid of leaves?
 
YULE MWEHU,KATILI & MUUAJI NDIYE PEKEE ANGEWEZA KUTUTOA HAPA TULIPO,LAKINI HAWA WA SASA SIJAONA!


HIZI NCHI ZA KIAFRIKA BILA KUWA NA RAIS KATILI,MUUAJI NA MWEHU HUWEZI FANYA CHOCHOTE,MAGUFULI ALIKUWA NA HIZO SIFA NA NDIYO MAANA KWA MUDA MFUPI ALIFANYA MAKUBWA!

AKILI ZA VIONGOZI WENGI WA KIAFRIKA UKIWACHEKEA UTAVUNA MABUA!
 
Tatizo sio idadi ya lanes za barabara. Kinachokosekana ni miundombinu ya flyovers na interchanges SAHIHI kwenye njiapanda (junctions) zote zenye traffic nzito muda mwingi.
 
Nikitembea katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo mengi ya Tanzania jambo kuu linalonijia kichwani ni kwamba, Tanzania tutapata maendeleo ya kweli pale tu tutakapopata Viongozi wenye akili na wasioendekeza rushwa.

Haiingii akilini kwa upana wa kujenga barabara uliopo kati ya Gongo la Mboto hadi Posta ila bado viongozi wetu wanajenga barabara za njia mbili kila upande kwenye mradi unaendelea.

Ujinga huo huo umefanyika kilwa road hadi posta na unafanyika tena barabara ya Tegeta hadi Posta.

Haingii akilini pia kwa upana uliopo kuanzia Mwenge hadi Bandarini kupitia ubungo bado viongozi wetu wanajenga barabara zenye upana wa njia mbili kila upande.

Foleni inayolalamikiwa katika Jiji la Dar es Salaam sio jambo lililoshindikana kupatiwa ufumbuzi bali ni ujinga na uvivu wa kufikiri wa Viongozi wetu ndio unaosababisha haya.

Pia Rushwa ni chanzo kingine knachosababisha tuwe na miradi ya kurudia rudia maana viongozi wetu wanadhani wakijenga barabara za uhakika za njia 3 au nnne kila upande watakosa sehemu za kutengeneza miradi ya kupiga pesa.

Naionea huruma sana Tanzania.

Kuchelewa kwetu kupata maendeleo ya kweli na uhakika kunatokana na kukosa viongozi wa kweli wenye akili na wanaofikiri vizuri kwa maslahi mapana ya nchi.

View attachment 3192041
Dar es kwa foleni inaitafuta logos au bombay india
 
Dar es kwa foleni inaitafuta logos au bombay india
Wenzetu wanachukua hatua zinazoeleweka. Alafu huku hili sio tatizo ni ujinga wa Viongozi wetu ndo unafanya liwe tatizo
 
Hapana. Tunaweza sana kutengeneza barabara nzuri na pana ambazo sio tu zitapendezesha miji yetu ila zitaondoa kwa kiwango kikubwa sana kero za foleni
Tatizo sio idadi ya lanes za barabara. Kinachokosekana ni miundombinu ya flyovers na interchanges SAHIHI kwenye njiapanda (junctions) zote zenye traffic nzito muda mwingi.
 
Nikitembea katika Jiji la Dar es Salaam na maeneo mengi ya Tanzania jambo kuu linalonijia kichwani ni kwamba, Tanzania tutapata maendeleo ya kweli pale tu tutakapopata Viongozi wenye akili na wasioendekeza rushwa.

Haiingii akilini kwa upana wa kujenga barabara uliopo kati ya Gongo la Mboto hadi Posta ila bado viongozi wetu wanajenga barabara za njia mbili kila upande kwenye mradi unaendelea.

Ujinga huo huo umefanyika kilwa road hadi posta na unafanyika tena barabara ya Tegeta hadi Posta.

Haingii akilini pia kwa upana uliopo kuanzia Mwenge hadi Bandarini kupitia ubungo bado viongozi wetu wanajenga barabara zenye upana wa njia mbili kila upande.

Foleni inayolalamikiwa katika Jiji la Dar es Salaam sio jambo lililoshindikana kupatiwa ufumbuzi bali ni ujinga na uvivu wa kufikiri wa Viongozi wetu ndio unaosababisha haya.

Pia Rushwa ni chanzo kingine knachosababisha tuwe na miradi ya kurudia rudia maana viongozi wetu wanadhani wakijenga barabara za uhakika za njia 3 au nnne kila upande watakosa sehemu za kutengeneza miradi ya kupiga pesa.

Naionea huruma sana Tanzania.

Kuchelewa kwetu kupata maendeleo ya kweli na uhakika kunatokana na kukosa viongozi wa kweli wenye akili na wanaofikiri vizuri kwa maslahi mapana ya nchi.

View attachment 3192041
Foleni huletwa na viungio vya barabara, njia panda ndio husababisha foleni... Ili zisiendelee kuwepo zile njia panda ambazo zipo bize basi pandengenezwe interchange
 
Foleni huletwa na viungio vya barabara, njia panda ndio husababisha foleni... Ili zisiendelee kuwepo zile njia panda ambazo zipo bize basi pandengenezwe interchange
Hilo linapaswa kufanywa baada ya kutanua hizi barabara
 
Back
Top Bottom