Foleni kali tokea Bagamoyo road kutokea Mwenge; Je, aliyeweka rasta na matuta mapya akapimwe akili?

Foleni kali tokea Bagamoyo road kutokea Mwenge; Je, aliyeweka rasta na matuta mapya akapimwe akili?

Matuta yanakera sana.Mfano barabara ya kutoka nyuki kwenda mbezi kupitia madale ina matuta mengi mno.Hakuna raha kabisa.Lkn rasta zinakera zaidi.
 
Matuta yanakera sana.Mfano barabara ya kutoka nyuki kwenda mbezi kupitia madale ina matuta mengi mno.Hakuna raha kabisa.Lkn rasta zinakera zaidi.
Matuta ya hii road pamoja na hii ya Masana Mbezi nayaunga mkono sababu hizo Road zina kona nyingi sana na blind spots nyingi...halafu ndugu zangu wachaga na subaru zao walikuwa wanawachota sana watoto wa shule asubuhi...ila sehemu straight na hakuna risks kubwa halafu high way unaweka matuta kama ya viazi sio poa.

By the way nimegundua matuta mostly yanawekwa sababu madereva wengi ustaarabu mdogo road...ukitaka kuelewa angalia old bagamoyo road asubuhi raia zinapoenda kazini ukianzia Ununio kule unaweza kudhani kuna Mkwawa Rally tena ambayo haiko coordinated ni vurugu tupu
 
Wameindoa zile rasta ndogo, ila ule mlima bado upo, na kinachoendelea hapo muda huu ni uhujumu uchumi
 
Back
Top Bottom