Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Meneja wa TANROADS sasa hivi ni mgeni Dar es salaam.Nasikia hayo matuta wiki ijayo hayatakuwepo, nimepata taarifa za ndani ndani kidogo
Inaelekea hajapitia Road Ordinance Act.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Meneja wa TANROADS sasa hivi ni mgeni Dar es salaam.Nasikia hayo matuta wiki ijayo hayatakuwepo, nimepata taarifa za ndani ndani kidogo
Flow imepungua kwa 80% , sio 50%, ndio maana nikauliza kama kuna haja akapimwe akili huyo aliyehusikaBarabara hupimwa uwezo wake Kwa wingi WA Magari yanayopita specific point Kwa saa, je Tanroad wamezingatia Hilo!? Hawaoni wamepunguza capacity Kwa 50% Poor them
Kama wamefanya wenyewe, kisheria hawaruhusiwi.Ninasikia ni wajeda wenyewe ndio wamefanya hiyo shughuli
Mzee liletuta unaweza dhani umepanda kifusi
Huwezi kuweka matuta makubwa umbali usiozidi MITA kumi (10) ila hii imewezekana Lugalo, ni hatari sana!! Muda huu nimekagua pale chini Naona oil na vioo vingi, Labda tayari Kuna vifo!! Je huyu aliyeruhusu hii Hali nafsi yake inajisikiaje!? Unatumia Hela za walipakodi kuwamaliza!? Hili liangaliwe kitaalamu zaidi, ila kama ni sehemu ya jeshi waruhusu utaalamu ufanye kazi kupunguza madhara Kwa madereva!!Kama wamefanya wenyewe, kisheria hawaruhusiwi.
Barabara zina sheria inazozitawala.
Miaka ya nyuma hapo Lugalo kuna mkuu alitaka kuweka geti pale Mwenge na njia ya Kawe/Mbezi Beach.
Ilibidi wasomewe sheria ya barabara kwamba ndani ya upana wa barabara (Right of Way), sheria zinazotawala ni tofauti kabisa na hawana mamlaka nazo.
Anaitwa Eng Nteze, Katoka maeneo ambapo mkoa wote Magari hayazidi 1000, Sasa kumanage barabara zilizo busy anafikiria ni kuweka matutaMeneja wa TANROADS sasa hivi ni mgeni Dar es salaam.
Inaelekea hajapitia Road Ordinance Act.
Tayari mambo huku, by next week na pengine hata sooner watakwangua tuHuwezi kuweka matuta makubwa umbali usiozidi MITA kumi (10) ila hii imewezekana Lugalo, ni hatari sana!! Muda huu nimekagua pale chini Naona oil na vioo vingi, Labda tayari Kuna vifo!! Je huyu aliyeruhusu hii Hali nafsi yake inajisikiaje!? Unatumia Hela za walipakodi kuwamaliza!? Hili liangaliwe kitaalamu zaidi, ila kama ni sehemu ya jeshi waruhusu utaalamu ufanye kazi kupunguza madhara Kwa madereva!!
But at what cost?! Kwa kupunguza flow ya magari by 80% ??!!!!Yani pale ni mradi mtu kala ela
Ninyi mliotoka madongo kuinama ambako lami imekataa kuwekwa , mnafikiri matuta ndio solution ya spidi barabarani.madereva wengi bongo ni kanjanja sana. Hawajali kabisa pundamilia na speed limit. ndiyo wanasababisha uwekwaji wa matuta.
Sasa ukiwa na madereva makanjanja utafanyaje? Una resources za kupolice makanjanja na washamba wote wa magari?Ninyi mliotoka madongo kuinama ambako lami imekataa kuwekwa , mnafikiri matuta ndio solution ya spidi barabarani.
Kanjanja anapewa leseni ya udereva na polisi?Sasa ukiwa na madereva makanjanja utafanyaje? Una resources za kupolice makanjanja na washamba wote wa magari?
Baada ya kutoa rushwa na kusoma chuo cha kichochoroni+plus ushamba wa kujua magari ukubwani.Kanjanja anapewa leseni ya udereva na polisi?
Sasa kwanini usipambane na rushwa badala ya kuadhibu madereva wote sababu yabrushwa ya mapolisi?Baada ya kutoa rushwa na kusoma chuo cha kichochoroni+plus ushamba wa kujua magari ukubwani.
Kinadharia inatakiwa kuwa hivyo. Kiuhalisia matuta ndiyo suluhisho linasound.Sasa kwanini usipambane na rushwa badala ya kuadhibu madereva wote sababu yabrushwa ya mapolisi?
Yale ni mgorofa sio matutaKuna foleni kali ya ajabu inayosababishwa na matuta na rasta mpya eneo la Lugalo zilizowekwa jana au leo nadhani, needlessly. Je, aliyeweka hayo matuta na rasta akapimwe akili?
Ndio hao madereva wetu, sasa uamue kusuka au kunyoa.Baada ya kutoa rushwa na kusoma chuo cha kichochoroni+plus ushamba wa kujua magari ukubwani.
We rudi tu ulikotoka na matuta yako, mji tuachie wenyewe!Kinadharia inatakiwa kuwa hivyo. Kiuhalisia matuta ndiyo suluhisho linasound.
Unaweze kuta huyo ndie taahira aliyeweka hayo matutaWe rudi tu ulikotoka na matta yako, mji tuachie wenyewe!