Foleni kali tokea Bagamoyo road kutokea Mwenge; Je, aliyeweka rasta na matuta mapya akapimwe akili?

Foleni kali tokea Bagamoyo road kutokea Mwenge; Je, aliyeweka rasta na matuta mapya akapimwe akili?

Ngumbalu yuleyule alieweka kwa mwamunyange kaweka na huku. I'm tanlod engineer tanlod engineer wa n*k
 
Yale matuta bwana sijui nani kayaweka na sababu ni ipi? Ile siku ya kwanza kuwekwa (jumamosi) kuna corina TI imeua matairi
Pale maana tushazoea ata 80 unayavuka yale matuta safi kabisa sasa unavuka lile la zaman unakutana na ayo mapya yaan ndan ya umbali mdogo aisee…
Wangweka daraja la juu la waenda kwa miguu kama Buguruni
 
Halafu vijana wa kizazi kipya bana, mambo yao fast fast tu, hawataki subira!
Ndiyo maana Wazee wazima tunapoenda likizo mwishoni mwa mwaka huwa tunakuta Vipaso vingi sana mitaroni!
Now the reason is very clear!! Bravooo!!
 
Kuna foleni kali ya ajabu inayosababishwa na matuta na rasta mpya eneo la Lugalo zilizowekwa jana au leo nadhani, needlessly. Je, aliyeweka hayo matuta na rasta akapimwe akili?
TANROADS DSM, changamoto kwenu.
Msifanye mambo kwa kulazimishwa na jeshi hapo Lugalo.
Tatizo kubwa ni magari ya wanajeshi wanaotoka get la Kambini/hospitali(barabara ya Mbezi Beach-Mwenge) kutaka kupanda upande wa pili(barabara ya Mwenge-Mbezi Beach) kuelekea mwinuko wa nyumba za maofisa wa jeshi.
TANROADS na jeshi wafikirie namna ya kutatua hilo.
 
Nami leo jioni nimefahamishwa na jamaa yangu kuwa ameshindwa kuwahi kumuona mgonjwa aliyelazwa pale hospitali ya Lugalo kutokana na foleni kubwa ya kutoka Makumbusho hadi Lugalo. Hatukujua kuwa hii ndiyo sababu sio watumiaji wa mara kwa mara wa barabara hii. Pengine ni vizuri tatizo hili likafatiliwa zaidi.
Watu waliowekewa matuta ni wanaotoka Kambi ya Twalipo Lugalo!! Nawashauri Tanroad waweke taa za kuongeza Magari "on demand" ambapo kinakuwa na simple sensor au Barton ya kupress wakati uhitaji unapotokea Kwa Ofisa WA jeshi anahitaji kuvuka kuelekea upande WA pili!! Watokaji huku Sio wengi hivyo only on demand, na Sio kutuumiza na mituta yote kama sehemu yenye wanafunzi chekechea!! Huyu Tanroad manager itakuwa kazi imemshinda, kama hata hajui madhara ya Rasta barabara yenye Malori!! Poor him!!
 
Un

Unaendesha bila kuzingatia taratibu unategemea matuta yatakuokoa!? Na huko yasipokuwepo!? Huendeshi!?
Mimi ni pedestrian. Mtembea kwa miguu. Ambae daily navuka hapo Lugalo upande mmoja kwenda mwingine.
 
Watu waliowekewa matuta ni wanaotoka Kambi ya Twalipo Lugalo!! Nawashauri Tanroad waweke taa za kuongeza Magari "on demand" ambapo kinakuwa na simple sensor au Barton ya kupress wakati uhitaji unapotokea Kwa Ofisa WA jeshi anahitaji kuvuka kuelekea upande WA pili!! Watokaji huku Sio wengi hivyo only on demand, na Sio kutuumiza na mituta yote kama sehemu yenye wanafunzi chekechea!! Huyu Tanroad manager itakuwa kazi imemshinda, kama hata hajui madhara ya Rasta barabara yenye Malori!! Poor him!!

Kwanza kambi ya General Twalipo ni Mgulani huko, Lugalo ni General Sarakikya….. pili ni kweli kuna shule ya watoto wadogo pale Makongo.

Endesha kwa usalama wako na wa wengine.
 
TANROADS DSM, changamoto kwenu.
Msifanye mambo kwa kulazimishwa na jeshi hapo Lugalo.
Tatizo kubwa ni magari ya wanajeshi wanaotoka get la Kambini/hospitali(barabara ya Mbezi Beach-Mwenge) kutaka kupanda upande wa pili(barabara ya Mwenge-Mbezi Beach) kuelekea mwinuko wa nyumba za maofisa wa jeshi.
TANROADS na jeshi wafikirie namna ya kutatua hilo.
Nasikia hayo matuta wiki ijayo hayatakuwepo, nimepata taarifa za ndani ndani kidogo
 
Kwanza hawajaweka kibao kwamba kuna matuta ya kashata sijui.Halafu walivyojenga hiyo barabara Tanroad kwa nini hakiwawekea mazingira rafiki pale na wanajeshi nao kwa kupenda short cut wazunguke bwana wasitutese watumiaji wengine allaaa
 
Kwanza hawajaweka kibao kwamba kuna matuta ya kashata sijui.Halafu walivyojenga hiyo barabara Tanroad kwa nini hakiwawekea mazingira rafiki pale na wanajeshi nao kwa kupenda short cut wazunguke bwana wasitutese watumiaji wengine allaaa
Barabara hupimwa uwezo wake Kwa wingi WA Magari yanayopita specific point Kwa saa, je Tanroad wamezingatia Hilo!? Hawaoni wamepunguza capacity Kwa 50% Poor them
 
Kuna foleni kali ya ajabu inayosababishwa na matuta na rasta mpya eneo la Lugalo zilizowekwa jana au leo nadhani, needlessly. Je, aliyeweka hayo matuta na rasta akapimwe akili?
Serikali iingilie kati hao jamaa watoe hayo matuta yaooo, yanasababisha foleni kubwaa sana aiseee
 
Wa huku mtwara tunatamani kuomba picha tuone hayo matuta
 
Back
Top Bottom