Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangweka daraja la juu la waenda kwa miguu kama BuguruniYale matuta bwana sijui nani kayaweka na sababu ni ipi? Ile siku ya kwanza kuwekwa (jumamosi) kuna corina TI imeua matairi
Pale maana tushazoea ata 80 unayavuka yale matuta safi kabisa sasa unavuka lile la zaman unakutana na ayo mapya yaan ndan ya umbali mdogo aisee…
TANROADS DSM, changamoto kwenu.Kuna foleni kali ya ajabu inayosababishwa na matuta na rasta mpya eneo la Lugalo zilizowekwa jana au leo nadhani, needlessly. Je, aliyeweka hayo matuta na rasta akapimwe akili?
Aliyeweka hayo matuta kaingia mjini jana.Unampimaje akili mtu ambae hana akili,yani huyo ni kiazi kweli kweli.Hadi muda huu saa nne kasoro robo kuna foleni bado inayoanzia mwenge mataa hadi itv na upande wa Mlimani city inaanzia round about ya Mliman city.
Hawa wanaoningoniza funguo kwenye suruali ni tabu tupuHalafu vijana wa kizazi kipya bana, mambo yao fast fast tu, hawataki subira!
Ndiyo maana Wazee wazima tunapoenda likizo mwishoni mwa mwaka huwa tunakuta Vipaso vingi sana mitaroni!
Now the reason is very clear!! Bravooo!!
Ukisikia watu wanasema demokrasia ndicho wanaimanishaso i …… na vile nchi saivi kila mtu ni mfanya maamuzi hata kwa vitu vinavyofikrika tu. …..
Watu waliowekewa matuta ni wanaotoka Kambi ya Twalipo Lugalo!! Nawashauri Tanroad waweke taa za kuongeza Magari "on demand" ambapo kinakuwa na simple sensor au Barton ya kupress wakati uhitaji unapotokea Kwa Ofisa WA jeshi anahitaji kuvuka kuelekea upande WA pili!! Watokaji huku Sio wengi hivyo only on demand, na Sio kutuumiza na mituta yote kama sehemu yenye wanafunzi chekechea!! Huyu Tanroad manager itakuwa kazi imemshinda, kama hata hajui madhara ya Rasta barabara yenye Malori!! Poor him!!Nami leo jioni nimefahamishwa na jamaa yangu kuwa ameshindwa kuwahi kumuona mgonjwa aliyelazwa pale hospitali ya Lugalo kutokana na foleni kubwa ya kutoka Makumbusho hadi Lugalo. Hatukujua kuwa hii ndiyo sababu sio watumiaji wa mara kwa mara wa barabara hii. Pengine ni vizuri tatizo hili likafatiliwa zaidi.
Unaendesha bila kuzingatia taratibu unategemea matuta yatakuokoa!? Na huko yasipokuwepo!? Huendeshi!?Yale matuta tumeyalilia kwa kipindi kirefu sana wayaweke. Asante Mungu wameweka. Sasa ajali maeneo ya Lugalo kwisha.
Kwa kazi gani hasa?Ni kwajili ya usalama wa jeshi letu.
Mimi ni pedestrian. Mtembea kwa miguu. Ambae daily navuka hapo Lugalo upande mmoja kwenda mwingine.Un
Unaendesha bila kuzingatia taratibu unategemea matuta yatakuokoa!? Na huko yasipokuwepo!? Huendeshi!?
Ni haki kuwa salama ila pale penye matuta hakuna kivuko pia idea yangu nimeshauri kuwe na taa!! Usalama wako na watumiaji wengine iwe ni kipaumbele!! Sio kuhamisha magoli!!Mimi ni pedestrian. Mtembea kwa miguu. Ambae daily navuka hapo Lugalo upande mmoja kwenda mwingine.
Watu waliowekewa matuta ni wanaotoka Kambi ya Twalipo Lugalo!! Nawashauri Tanroad waweke taa za kuongeza Magari "on demand" ambapo kinakuwa na simple sensor au Barton ya kupress wakati uhitaji unapotokea Kwa Ofisa WA jeshi anahitaji kuvuka kuelekea upande WA pili!! Watokaji huku Sio wengi hivyo only on demand, na Sio kutuumiza na mituta yote kama sehemu yenye wanafunzi chekechea!! Huyu Tanroad manager itakuwa kazi imemshinda, kama hata hajui madhara ya Rasta barabara yenye Malori!! Poor him!!
Nasikia hayo matuta wiki ijayo hayatakuwepo, nimepata taarifa za ndani ndani kidogoTANROADS DSM, changamoto kwenu.
Msifanye mambo kwa kulazimishwa na jeshi hapo Lugalo.
Tatizo kubwa ni magari ya wanajeshi wanaotoka get la Kambini/hospitali(barabara ya Mbezi Beach-Mwenge) kutaka kupanda upande wa pili(barabara ya Mwenge-Mbezi Beach) kuelekea mwinuko wa nyumba za maofisa wa jeshi.
TANROADS na jeshi wafikirie namna ya kutatua hilo.
Barabara hupimwa uwezo wake Kwa wingi WA Magari yanayopita specific point Kwa saa, je Tanroad wamezingatia Hilo!? Hawaoni wamepunguza capacity Kwa 50% Poor themKwanza hawajaweka kibao kwamba kuna matuta ya kashata sijui.Halafu walivyojenga hiyo barabara Tanroad kwa nini hakiwawekea mazingira rafiki pale na wanajeshi nao kwa kupenda short cut wazunguke bwana wasitutese watumiaji wengine allaaa
Serikali iingilie kati hao jamaa watoe hayo matuta yaooo, yanasababisha foleni kubwaa sana aiseeeKuna foleni kali ya ajabu inayosababishwa na matuta na rasta mpya eneo la Lugalo zilizowekwa jana au leo nadhani, needlessly. Je, aliyeweka hayo matuta na rasta akapimwe akili?