Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mkikaa nyuma ya usukani vichaa vyenu vinafyatuka.Kuna foleni kali ya ajabu inayosababishwa na matuta na rasta mpya eneo la Lugalo zilizowekwa jana au leo nadhani, needlessly. Je, aliyeweka hayo matuta na rasta akapimwe akili?
Sio kila upuuzi lazima uuonyeshePambana na hali yako
USSR
Wew na Smart911 mnaupiga mwingi.Poleni sana
Unampimaje akili mtu ambae hana akili,yani huyo ni kiazi kweli kweli.Hadi muda huu saa nne kasoro robo kuna foleni bado inayoanzia mwenge mataa hadi itv na upande wa Mlimani city inaanzia round about ya Mliman city.Kuna foleni kali ya ajabu inayosababishwa na matuta na rasta mpya eneo la Lugalo zilizowekwa jana au leo nadhani, needlessly. Je, aliyeweka hayo matuta na rasta akapimwe akili?
Kuna ule mtuta mkubwa umewekwa pale karibia na geti la kuingia Lugalo. Aisee mi nlijua lilo kama kawaida. Nimeuparamia daah....na sikukanyaga brake maana nlihisi ntaitupa gari. Na nlikua kibati kitu kilishakuwa kinasoma 70Kuna foleni kali ya ajabu inayosababishwa na matuta na rasta mpya eneo la Lugalo zilizowekwa jana au leo nadhani, needlessly. Je, aliyeweka hayo matuta na rasta akapimwe akili?
Nami leo jioni nimefahamishwa na jamaa yangu kuwa ameshindwa kuwahi kumuona mgonjwa aliyelazwa pale hospitali ya Lugalo kutokana na foleni kubwa ya kutoka Makumbusho hadi Lugalo. Hatukujua kuwa hii ndiyo sababu sio watumiaji wa mara kwa mara wa barabara hii. Pengine ni vizuri tatizo hili likafatiliwa zaidi.Hayana road safety for other users, Sasa nashangaa wametumia akili Gani!? Unazuia ajali Kwa kuanzisha ajali nyingine!? Tanroad tujue namna Bora ya kupunguza ajali na Sio kuongeza!!! Mapendekezo, Wangeweka taa kama za hapo Mwanzo makongo wakaachana na matuta!! Tutumie Weledi!!