Diwani
JF-Expert Member
- Oct 25, 2014
- 2,680
- 2,779
Foleni ya Ubungo serikali imeihamishia Mbezi, yaan ni mwendo wa kuhamisha tatizo kutoka zehemu moja kwenda sehem nyingi.Nchi ya uchumi wa kati
Walipasua road one time
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Foleni ya Ubungo serikali imeihamishia Mbezi, yaan ni mwendo wa kuhamisha tatizo kutoka zehemu moja kwenda sehem nyingi.Nchi ya uchumi wa kati
Heeeh usimfokee sasa lol, [emoji2][emoji2][emoji2] nakusabahi tyuuuh n mic uHuu ni utoto mkuu achana nao kbc kwamba kwenu mtu kuwa na gari ni maajabu?au hujui hapa mjini kuna gari mpk za milioni 2.Tafuta hela dogo wivu ukutoke
inawezekana malaika mlinzi anataka kuokoa maisha yako pita barabara ya bagamoyo hilo rungu utaenda kusuuza siku nyingine mwamba.Sisi madereva tuna mambo mengi. Nina mji chalinze boss
Ndio, 8:45 ndio natimba geto. Hata ukiwaambia wanaona ulikuwa na malaya huko unazingua tu[emoji39]Sa8[emoji2302][emoji2302]
Acha matusiHii ya leo ni nyoko...leo njia ya kimara imetunyoosha haswa...foleni tangu saa tatu usiku mpaka saizi saa saba bado hatuelekei kutoboa...leo nalala njiani kama naenda kigoma bora hata ningekua na manzi mkali pembeni...malori kama buku...nahisi foleni ishafika manzese saizi... Dar bhana...nalala njian leo na home napaona paleeee....
Kha!,Amliwaze au ammalize?.SAA saba bado we utopolo , nakutumia Malaya hapo wakimboka akuliwaze.
Neno sahihi Ni kimada. Ila kwa Chalinze mwanamke anakua kimada wa madereva wengi. Umeshawahi kufika Kagongwa na Runzewe ndugu yangu? Runzewe Ni zaidi ya Chalinze.Una maana "lazima" awe na Changudoa??
Ila kwa Chalinze mwanamke anakua kimada wa madereva wengi.
Kimada? Wako peke yako? Mhhh. Leo Ni Eid ngoja tusiongee sanaKaka huyo ni changudoa/Malaya/dada poa, kimada ni mwanamke wako peke yako wa nje ya ndoa au huitwa nyumba ndogo.🤣
Kimada? Wako peke yako? Mhhh. Leo Ni Eid ngoja tusiongee sana
Kwani wapiga kura ndio wanatangaza matokeo?Tatizo la foreni Dar halitakwisha hadi hapo CCM ikapo ondolewa madarakani, kumbuka tatizo la foreni ni chimbo la CCM na linazidi kunoga siku hadi siku, poleni sana mnaokwama pale Mbezi mwisho ila msifanye kosa Oct 28 msije juta milele
Uvivu wa kufikiri wakati angepita goba abadondokea tegetaSs km unaenda Arusha kwanini usitumie Bagamoyo Road?..
Kwani wapiga kura ndio wanatangaza matokeo?
Wewe msajiri Messi na Ronaldo, Sisi tunasajiri
Refa
Kamisaa
VAR
Inategemea ametokea wapi? What if Kama anakaa makamba mawili?Ss km unaenda Arusha kwanini usitumie Bagamoyo Road?..
Tanzania and particularly Dar haina magari ya kuweza kusababisha foleni for 4 hours.Shida kubwa IPO kwenye miundombinu tuliyonayo inayosababishwa na ukilaza wa madesigner wetu.Hawataki kujishughulisha Wala kutumia akiliEbwanaaa kuna folen balaaaaa. Nimekaa kwenye folen kwa masaa 4. nipo maeneo ya mbezi mwisho. Nilikua na safari ya Arusha usiku huu sasa inabidi nilale tuu Nikimbizane na tochi asubuhi.
Sijui shida ipo wapi
Upo sahihi kabisa.Tanzania and particularly Dar haina magari ya kuweza kusababisha foleni for 4 hours.Shida kubwa IPO kwenye miundombinu tuliyonayo inayosababishwa na ukilaza wa madesigner wetu.Hawataki kujishughulisha Wala kutumia akili
Wewe mwenye akili umetatua changamoto gani kwenye jamii ukaacha alama?Tanzania and particularly Dar haina magari ya kuweza kusababisha foleni for 4 hours.Shida kubwa IPO kwenye miundombinu tuliyonayo inayosababishwa na ukilaza wa madesigner wetu.Hawataki kujishughulisha Wala kutumia akili
foleni ya mbezi siyo ya kudumu, inatokana na ujenzi wa barabara kuendelea, lakini nashauri pale mbezi njiapanda ya kwenda goba pawe na mzunguko itasaidia sanaFoleni ya Ubungo serikali imeihamishia Mbezi, yaan ni mwendo wa kuhamisha tatizo kutoka zehemu moja kwenda sehem nyingi.Nchi ya uchumi wa kati