[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ni kero ya hali ya juu
foleni mjini barabara kibao zimefungwa toka jana usiku
mtu mmoja nakwamisha shughuli mbalimbali za maelfu ya watanzania
hakika kazi ipo
unamanisha haki za bindamu 😃Na badooo akianza kusema nia ya ziara yake, watu wote kilio kwa keyboard, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kamalaa fanyaa jambooo, baadhi ya watu wapate kuponaaaa.
Basi sawaHapana, nilikuwa daladala,
Kule kwao barabara zimekaa kimpangilio. Barabara za VIP's zinajitegemea., haziingiliani na hizi za wananchi wa kawaida.Hiv hata wetu akienda kule inakuwa hiv hiv au?
Ndiwoooooooh!!!unamanisha haki za bindamu [emoji2]
Wana barabara nyingi,dar barabara tatu tuHiv hata wetu akienda kule inakuwa hiv hiv au?