Generetaion Z
JF-Expert Member
- Oct 2, 2022
- 343
- 874
Kwa tunaoijua hiyo Njia hii nayo ni Taarifa / Habari Kwetu ya Kutuambia mpaka tushtuke au tuogope kama utakavyo?Hii foleni sijawah ishuhidia kabisa kama upo mjini saiv na unampango wa kwenda mbezi au kimara basi endelea kuagiza bia maana hutoboi
Au kama uko vyema chukuwa boda boda au kama umenasa katk foleni shuka tu tafuta namna ingine kamba imeanzia kimara stendi hadi ubungo mataa na haisogei hata kidogo
Panda mwendokasi angalau ila kama unagari binafsi au daladala utoboi mbezi utaiona saa kumi asubuhi
Mi ntakuwa mgeniKwa tunaoijua hiyo Njia hii nayo ni Taarifa / Habari Kwetu ya Kutuambia mpaka tushtuke au tuogope kama utakavyo?
Nimemshangaa kwa kweliKwa tunaoijua hiyo Njia hii nayo ni Taarifa / Habari Kwetu ya Kutuambia mpaka tushtuke au tuogope kama utakavyo?
Subiri mvua zinyeshe afu ndo utajua foleni ni nini DarMi ntakuwa mgeni
Mshamba ( Mbwiga ) huyo asikusumbue.Nimemshangaa kwa kweli
Kimara to Ubungo analalamika
Siku akikuta zile za kufika nyumbani alfajiri atasemaje