FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
- #141
Hiyo njia malorry ndio yanasababisha foleni, labda tusubiri SGR ikamilike tuoneHaya magari madogo ya mkopo yamejazana sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo njia malorry ndio yanasababisha foleni, labda tusubiri SGR ikamilike tuoneHaya magari madogo ya mkopo yamejazana sana.
80% ya jiji ni squatter barabara kubwa ziko chache sanaKwa uchunguzi wangu, foleni ya kipande hicho cha barabara (Tabata Dampo hadi Buguruni Chama) inasababishwa na junction ya hapo zinapokutana barabara ya kutoka Buguruni kwenda Vingunguti na ile ya Mandela Rd. TAZARA hapasababishi foleni kabisa, kwani kama unatoka Tabata utapata shida kuikamata Buguruni, ila ukishavuka Chama, kule mbele kwenda TAZARA unateleza tu, wala hakuna shida. Kwa mtazamo wangu tatizo lipo hapo Chama/Sheli
Kwa hiyo mzee kila huduma muhimu ya kijamii ipelekwe nje ya mji mbali na makazi ya watu walipo?tunajenga haya mastructure bila kufanya research ya kutosha, jiji linahitaji nini kwanza...
Jiji la Dar es salaam linahitaji mipango miji anayoendana na population iliyopo + ukuaji wa mji...Ni wakati wa kupiga marufuku ujenzi majumba wa watu binafsi baadala yake miji ijengwe na agencies maalum au serikali watu wakopeshwe nyumba...
Baadhi ya huduma zitolewe katikati ya mji zipelekwe nje kama kibaha au bagamoyo....mfano Soko la Kariakoo linaweza kumegwa likaenda Mlandizi au Vigwaza huko...Biashara ya used pale Ilala na gerezani inapaswa kutoka iende mbali huko hata Msata... Soko la samaki feri linaweza kutolewa likaenda Bagamoyo...Kufanyike mgawanyo wa mahospitali makubwa baadhi yatoke katikati ya mji yahamie nje hata Chanika au kisarawe huko.... Serikali ifikirie kujenga miji ya kisasa kigamboni huko kuelekea Mbutu, Miji mingine ijengwe bunju, madale, Goba, Bagamoyo, Chalinze, Msata nk.. Kile chuo cha Ifm na vyuo vingine vitoke katikati ya mji viende hata msata huko... jijengwe express way kutoka mjini kati kuelekea Msata kupitia chalinze mpaka Morogoro na nyingine zipite Bagamoyo to msata...
Malori yale sijui ,yaani kutoka mwananchi mpaka Tazara ni kero sana.Nchi inaingia hasara kwa maeneo yale tuuNapendekeza flyover ijengwe juu ya TAZARA flyover
Yaani muda mwingine foleni inaaniza external hadi uhasibu, hii nchi hii, wajenge flyover juu ya Tazara flyover , masaa matatu mtu hujavuka hata Tazara!!??Malori yale sijui ,yaani kutoka mwananchi mpaka Tazara ni kero sana.Nchi inaingia hasara kwa maeneo yale tuu
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Wataenda kufanyia mikoani; ambapo hayo magari yatakwendaHalafu vituo vya mafuta vife? Mafundi magari na wauza vipuli warudi mtaani na car wash zote zifungwe.
NAUNGA MKONO, ijengwe fly over nyingine juu ya TAZARA, kwa upande wa Tabata serikali wakati wa mwenda zake ilikuwa imeahidi kujenga flyover pale, sijui kama bibi mkubwa kapotezea au laNapendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
Tatizo pesa yote inaenda kwenye chanjo, ile sehemu imefikia critical level, ijengwe kama walivyofanya ubungoNAUNGA MKONO, ijengwe fly over nyingine juu ya TAZARA, kwa upande wa Tabata serikali wakati wa mwenda zake ilikuwa imeahidi kujenga flyover pale, sijui kama bibi mkubwa kapotezea au la
Napendekeza flyover ijengwe juu ya TAZARA flyover
Too expensive, raia watakabwa humo kila siku, bila kusahau majanga ya mafuriko na motoWazeni na tunnels basi sio kila siku ma Fly Over... Tunnel kutoka Rozana mpaka Kwa mnyamani tunnel matumbi mpaka mbele mbele kule baada ha mataa ya tabata
Napendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
Foleni ktk eneo tajwa kwa kiasi kikubwa lina chochewa na malori mengi yatokayo na yaingiayo bandarini ....binafsi nikiona vile ni indicator ya kuwa bandari yetu ina piga kazi kwa maana wateja wana ikubaliNapendekeza wajenge flyover juu ya Tazara flyover ili zinazotokea Buguruni kwenda bandarini nazo zipite juu. Nakaribisha maoni
Tazara ndio kitovu, ila buguruni ni sehemu ya tatizo pia.Foleni haitokei Tazara ile foleni ni ya buguri pale junction ya manyanya na kwenda ilala