Foleni ya Tabata - Tazara imeanza kuwa tishio kwa uchumi wa nchi, nini kifanyike?

Foleni ya Tabata - Tazara imeanza kuwa tishio kwa uchumi wa nchi, nini kifanyike?

Sasa hebu nambie mtu kama huyo jamaa anapenya penya mara anakuja
Kuwa waziri au mshauri wa rais unategemea nini baada ya hapo na bunge letu ndo hilo ulijualo.
Na kama hawa ndio huwa wanapenya kwa kuchomekwa chomekwa, ndio maana mambo mengine unajiuliza, huyu kiongozi kweli au ni taahira?!
 
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
wakitaka kufanya hivyo wahakikishe usafiri wa umma wana uboresha na mabasi ya umma yawe mengi ili ku kidhi mahita ya wananchi tofauti na hapo kutatokea vita ya taru ya dunia [emoji419]
 
wakitaka kufanya hivyo wahakikishe usafiri wa umma wana uboresha na mabasi ya umma yawe mengi ili ku kidhi mahita ya wananchi tofauti na hapo kutatokea vita ya taru ya dunia [emoji419]
Kabisa, maana huwezi kuzuia kitu wakati hakuna mbadala wa kueleweka
 
Nadhani kulikuwa na pendekezo la kupeleka mizigo yote inayotoka bandarini hadi Kwara kwa treni,kisha kutoka Kwara ibebwe na malori au treni tena. Kwa maneno mengine ilikuwa kutoruhusu malori kuingia mjini, bali mizigo ipokelewe Kwara , lakini sijui kama inawezekana tena, maana wenye mji wamerudi mjini! 😎
 
Nadhani kulikuwa na pendekezo la kupeleka mizigo yote inayotoka bandarini hadi Kwara kwa treni,kisha kutoka Kwara ibebwe na malori au treni tena. Kwa maneno mengine ilikuwa kutoruhusu malori kuingia mjini, bali mizigo ipokelewe Kwara , lakini sijui kama inawezekana tena, maana wenye mji wamerudi mjini! 😎
Hii ingefaa sana kwa kutumia SGR
 
Kama new Selander bridge imewezekana, basi hata hili halishindikani
 
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
unazungumzia usafiri gani wa umma? hizi dala dala na mwendokasi unaokaa kituoni masaa mawili hujapata usafiri? ushauri wako unawezekana ulaya na marekani kwenye usafiri wa umma wa kuaminika.
 
Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Wazo zuri ila huo usafiri wa umma ni changamoto kubwa sana,umeshawahi experience ya mwendo kasi
 
Back
Top Bottom