Lavit
JF-Expert Member
- May 16, 2011
- 14,834
- 32,522
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni shida sana, na ni mateso makali kwa wananchi na mbaya sana kwa uchumi wa nchi, mama yupo kimya, sijui tumueleweje
Na kama hawa ndio huwa wanapenya kwa kuchomekwa chomekwa, ndio maana mambo mengine unajiuliza, huyu kiongozi kweli au ni taahira?!Sasa hebu nambie mtu kama huyo jamaa anapenya penya mara anakuja
Kuwa waziri au mshauri wa rais unategemea nini baada ya hapo na bunge letu ndo hilo ulijualo.
wakitaka kufanya hivyo wahakikishe usafiri wa umma wana uboresha na mabasi ya umma yawe mengi ili ku kidhi mahita ya wananchi tofauti na hapo kutatokea vita ya taru ya dunia [emoji419]Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Itasababisha majengo yaliyojengwa kiholela yabomoleweHatuwezi kupunguza kula kisa choo kimejaa, tutaita gari la kunyonya ama tutachimba shimo jipya.
Duuh, aiseee!Hii ni foreni kongwe haipaswi kumalizwa.
Tutapoteza urithi wa kitaifa.
Kabisa, maana huwezi kuzuia kitu wakati hakuna mbadala wa kuelewekawakitaka kufanya hivyo wahakikishe usafiri wa umma wana uboresha na mabasi ya umma yawe mengi ili ku kidhi mahita ya wananchi tofauti na hapo kutatokea vita ya taru ya dunia [emoji419]
Uongozi una mengi sana sio kuokota okota tu watu mtaaniNa kama hawa ndio huwa wanapenya kwa kuchomekwa chomekwa, ndio maana mambo mengine unajiuliza, huyu kiongozi kweli au ni taahira?!
Hii ingefaa sana kwa kutumia SGRNadhani kulikuwa na pendekezo la kupeleka mizigo yote inayotoka bandarini hadi Kwara kwa treni,kisha kutoka Kwara ibebwe na malori au treni tena. Kwa maneno mengine ilikuwa kutoruhusu malori kuingia mjini, bali mizigo ipokelewe Kwara , lakini sijui kama inawezekana tena, maana wenye mji wamerudi mjini! 😎
unazungumzia usafiri gani wa umma? hizi dala dala na mwendokasi unaokaa kituoni masaa mawili hujapata usafiri? ushauri wako unawezekana ulaya na marekani kwenye usafiri wa umma wa kuaminika.Njia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
angekuwepo mwamba hili lingewezekanaDuuh Hadi kukamilika hiyo ni 2030
Kiukweli mama yupo yupo tu.., hatuelewi kipi anafanyaangekuwepo mwamba hili lingewezekana
Wazo zuri ila huo usafiri wa umma ni changamoto kubwa sana,umeshawahi experience ya mwendo kasiNjia rahisi ya kupunguza foleni kwenye majiji, ingawa itaumiza wengine, ni kuwepo na kodi au tozo ya kila mwezi kwa magari yote binafsi yasiotoa huduma kwa umma, pamoja na kuongeza tozo maeneo ya kupaki hayo magari; Mfano, kama utatumia usafiri binafsi ndani ya jiji na ukawa unatozwa shilingi milioni 1 kwa mwezi, na sehemu yoyote utakayopaki au kusimama kutozwa kodi...hapo lazima magari mengi binafsi yatabaki majumbani, na hapo utakuwa umepunguza foleni kwa asilimia kubwa...kwa sababu kwenda katika shughuli zetu tutatumia usafiri wa umma.
Kiukweli mama yupo yupo tu.., hatuelewi kipi anafanya