Foleni za Huduma NMB ni ujinga mtupu

Foleni za Huduma NMB ni ujinga mtupu

NMB inatumia njia ya kuhodhi mamlaka na kujipatia faida lukuki. Pensheni zote za umma lazima zipitie NMB - KWANINI? Kwanini wastaafu wasipewe haki ya kuchagua benki wazipendazo badala ya kulazimishwa na NMB?

Halafu NMB inatoza malipo eti ya kadi kila mwezi pamoja na huduma ya mtandao. Kuna benki nyingi hapa nchini hazina tozo kama NMB. Huu ni wizi. Halafu wanasema eti NMB inaongoza
Ukitaka kuwajua NMB ni nani we jifanye unatoa bank kwenda mitandao ya simu ndo utajua!! 20,000 wanakata karibu 15%
 
Wafanyakazi wa NMB wanamiliki NMB wakala zilizo karibu na Benk wanazofanyia kazi!! So wana slow down huduma mwenda kwenye vibanda vyao wapige faida!! This is capitalism, Nyerere alituchelewesha
Kwahiyo

1. wa Muhimbili (mahospitali) nao wakifanya haya na wakafungua maduka ya madawa nje ya hospitali, is capitalism nyerere alituchelewesha?

2. Wa DAWASCO nao wakifanya haya wakachimba visima pembeni ya bomba la DASCO, is capitalism nyerere alituchelewesha?

3. Wa mwendokasi nao wakifanya haya na kuweka madaladala yao, is capitalism nyerere alituchelewesha?

etc
 
Kwahiyo

1. wa Muhimbili (mahospitali) nao wakifanya haya na wakafungua maduka ya madawa nje ya hospitali, is capitalism nyerere alituchelewesha?

2. Wa DAWASCO nao wakifanya haya wakachimba visima pembeni ya bomba la DASCO, is capitalism nyerere alituchelewesha?

3. Wa mwendokasi nao wakifanya haya na kuweka madaladala yao, is capitalism nyerere alituchelewesha?

etc
Unaishi wapi?? Hayo ndo yanayoendelea!!
 
Nchi nyingine wamepunguza kabisa matawi ya benki na wafanyakazi. Mambo karibu yote yanafanyika online. Inatakiwa benki za Tanzania ziwe na mwelekeo huu. Anyways najua pengine mazingira yetu hayaruhusu jambo kama hili kufanyika kwa sasa, ila serikali ikubali kuwa kuwa na database ya raia wote na mtandao wa interenet unaoaminika mambo mengi yanakwama.
Tutumie mawakala sio lazima tupange foleni branch.....
 
Tarehe hizi hujui mzee kuna nini NMB... Njoo NMB kuanzia tarehe 10 hadi 19 uenjoy chap tu..
Kwanini wahudumu kwenye hizo tarehe ulizotaja ndio wawe wachache na wajidai badala yake wanakuwa wanachache pindi pakiwa na wateja wengi?

Inabidi watambue ninkipindi kipi cha wateja kuwa wengi na wao waongeze nguvu na kinyume chache ili kuepusha hizi adha.
 
Hizi ni tarehe ambazo nyie wafanyakazi huwa mnalipwa mishahara.
 
Kwanini wahudumu kwenye hizo tarehe ulizotaja ndio wawe wachache na wajidai badala yake wanakuwa wanachache pindi pakiwa na wateja wengi?

Inabidi watambue ninkipindi kipi cha wateja kuwa wengi na wao waongeze nguvu na kinyume chache ili kuepusha hizi adha.
Tatizo letu Watanzania ni uoga, upole na uvumilivu wa kupitiliza. Tungekua tunawabwatukia au kuwapigia makelele wangejirekebisha. Watanzania hata wakiwa kwenye foleni itokee mtu anawapita kwenda mbele, wao wananyamaza tuu wanamuangalia.... baadae wanakuja kulalamika chinichini!

Ni aibu kuona taasisi inatangaza faida ya mabilioni kila mwaka lakini haiwezi kuweka ma teller hata wa part time kwa zile siku wanazojua watu ni wengi.!
 
Japo ghali, lakini bora uwe mteja wa Business.

Ni chap sana. Hakuna longolongo.
 
Wanazingua sana benki za bongo madirisha 8 bank teller watatu ,its so rubbish yaan nadhani wanafurahigi wakiona watu wamepanga foleni (wanapenda kunyenyekewa)
 
Unaishi wapi?? Hayo ndo yanayoendelea!!
Ninaishi hapa hapa yanayoendelea hayouliyoyataja. Tatizo langu ni huko kuona kwako kuwa hayo ni sawa yaendelee kama yanavyofanywa na ukaenda mbali zaidi kwa kumlaumu Nyerere kuwa alituchelewesha..!! Hivi!! unadhani kwa vile kuna wizi kila inapotoka ripoti ya CAG, basi ni sawa tuibiwe kwa vile ndo yanayoendelea..!!??
 
Nina akaunti za akiba NMB, Pamoja na kuziendesha kwa miaka mingi tu ni nadra sana kuonekana kwenye Branch zao au ATM. Natumia zaidi NMB mkononi na NMB Internet Banking kupitia simu ya mkononi na computer.

Najiuliza foleni zinazosemwa huwa zinasabishwa na nini? Mshahara ukiingizwa kwenye akaunti ya mteja, kuna ulazima gani wa kwenda kupanga foleni kwenye branchi?......Naomba ufafanuzi tafadhali.
 
Yaani kila Bank ya NMB Tanzania unayoingia kuna foleni kubwa na Wahudumu wame-relax Tu hapa.

Leo Niko hapa Mlandizi NMB, nimesimama queue zaidi ya dakika 56 sijapata Huduma bado. Kuna Binti WA kichina kacharuka hapa ndio kapewa Huduma.

Juzi nilikua Tanga, foleni kubwa mhudumu mmoja, Jana Nikawa Kibaha NMB, foleni kubwa na Huduma mbovu, Leo tena hivyo hivyo. View attachment 2857280
• Huu mwezi naskia mtonyo ulichelewa kutolewa, Yaweza kuwa shida ni hiyo,
 
NMB wahudumu wake sijui wana shida gani maeneo mengi japo maeneo mengine wapo serious
 
Nina akaunti za akiba NMB, Pamoja na kuziendesha kwa miaka mingi tu ni nadra sana kuonekana kwenye Branch zao au ATM. Natumia zaidi NMB mkononi na NMB Internet Banking kupitia simu ya mkononi na computer.

Najiuliza foleni zinazosemwa huwa zinasabishwa na nini? Mshahara ukiingizwa kwenye akaunti ya mteja, kuna ulazima gani wa kwenda kupanga foleni kwenye branchi?......Naomba ufafanuzi tafadhali.
Kaka unavyo shangaa hata wengine tuna shangaa hivyo hivyo, lakini naomba usome post yangu vizuri nimesema, nilikuwa na shida ndogo tu. Bahati mbaya nikakutana na mtu mwingine ana shida ya Kadi tu amekalishwa masaa zaidi ya mawili. Kumbuka benk kuna kazi nyingi mara kufungua acc, nk..
 
Back
Top Bottom