Elizabeth Michael aka Lulu ndio tunae mzungumzia hapa. Ndio mwenye hilo igizo la "Foolish Age" na ndio aliemuua Steven Kamumba aka "The Great Kanumba".
Wapi figganigga useme "mia" au Washawasha useme "Nalogoff"??
Lulu yupi? Yule aliyemuua Kanumba?
.................wanaongea kwa sauti utafikiri wanahubiri............../QUOTE]
Hapo hakika unamzungumzia mr.kigosi!jamaa anakelele yule!
Hivi kumbe unaangaliaga movie za bongo.......!sijaicheki hii movie......
sasa movie yenyewe eti Jamnazi anavamia nyumbani, anavua viatu ili asichafue nyumba!! upuuzi mtupu
Ni kweli Bongo bado tuna safari ndefu kifilamu. Hiyo Going bongo bila mkono wa mzungu unadhani ingekuwa hivyo? Kwanza inaonekana ni filamu ya mradi fulani. Not just a film, so ina wafadhili nyuma yake. Ila tutafika tu.guys,
for sure bongo movies needs some prayers so as to change positively!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
iam speaking from the bottom of my heart, this so called 'foolish age' by lulu michael, is boring , 'chosharing' so much!!
i was really impressed to hear our little girl 'lulu' has come with something new and fantastic, something that could atlwast show that she has some kind of education in her head!!!!!! ptuu!!! pumba tu!!!
overral say to the movie, kwanza jina la movie halijaakisi yaliyomo ndani kabisaaaa!!!!!! kama kweli lulu ndiye aliyetoa idea ya foolish age, but she is not there in the foolish age, that means hajui maana ya foolish age!!
.. i got bored every second that i was watching this movie, nilikuwa najaribu kupeleka mbele ili angalau nione kitu kipya, kumbe bure tu!!! hivi kwa elimu ya TANZANIA ama hata nchi za wenzetu, kuna daras weli ukute eti lina wanafunzi saba??? halafu eti interaction unauta ni ya wanafunzi wawili ama watatu tu? (yani wale waigizaji!!)
kuanzia mwanzo mpaka finishing ya hii movie, sijaona FOOLISH AGE!
mimi mpaka sasa nasubiri GOING BONGO, hii movie ni nzuri sana wadau, jaribu kuingia youube uione ilivyo tamu! ni movie nzuri sana ya kitanzania! ina quality zooote za kuoneshwa kimataifa!!! let us support our friend!
lulu ajipange sawa sawa, fursa za ruge zisimzingue!!!
Yaani mimi siipendi hyo muvi acha kabisa.
Ni mbaya, mbaya, mbaya sana.
Afu kweli aisee movie inaboa mwanzo mwisho yani jina la movie halisadifu yaliyomo kabisaaaa!! Hata part2 yake cjaimalizia we shule gani ya kitanzania inaruhusu yule rafiki yake lulu kunyoa nywele kidizain ilee hata kama ni mtukutu loh yani imepooza kama wali wa mafuta khaa!! Ajipange upya huyo lulu!!
na wewe ni wale wale tu wa bongo movolie,unatuchanganya hapa na kiswanglish chako ungetiririka eng au swhl mwanzo kwisho
jaman jamn jamn hyo movie ni MBOVU,MBAYA,INABOA NA KUKERA...Mimi nimepoteza buku yangu ya kukodisha hyo movie ili niione...yan kwa mbwembwe milion laki nane nikaiweka niichek...looh,jamn ni Mbaya...lulu sijui amefanya nini...promo bab kubwa ila hyo kitu yenyew ni sifuri..Aaaangrrrryyyy
.................wanaongea kwa sauti utafikiri wanahubiri............../QUOTE]
Hapo hakika unamzungumzia mr.kigosi!jamaa anakelele yule!
Afu kweli aisee movie inaboa mwanzo mwisho yani jina la movie halisadifu yaliyomo kabisaaaa!! Hata part2 yake cjaimalizia we shule gani ya kitanzania inaruhusu yule rafiki yake lulu kunyoa nywele kidizain ilee hata kama ni mtukutu loh yani imepooza kama wali wa mafuta khaa!! Ajipange upya huyo lulu!!