Foolish age. One among punk movies I was eager to see, And I got bored after seeing it


Mimi ndo sijaona kabisa maana ya foolish age mana lulu kazaliwa victim nilitegemea angekuja kua victim kama result ya foolish age, nilijuta muda wangu bora ningeangalia series yangu ya revenge
 
Yaani kuna watu wameisaka kabisaa waitizame?
Bongo movies hazitakaa zibadilike. Give up aisee
 
kwangu wasanii ni mzee Majuto, jb kidogo ukikaa kwa tv utacheka kidogo,wengi wao ni sifuri.

vipi yule ray mpiga kelele kwenye tv?

yani jamaa sijui kwanini hawaongeagi kistaarabu!!

au mic huwa ni mbovu?
 
Yaani kuna watu wameisaka kabisaa waitizame?
Bongo movies hazitakaa zibadilike. Give up aisee

unajua nini tatizo dada,

kwenye bongo movie zimejaa division five nyiiiingi ambazo thinking capacities zinaishia sokoni kariakoo!!

ukiwaambia suala la shule wanakuona kuwa wewe ni snitch!

wakishazeeka sasa ndio wanakuja kutuomba misaada sisi!!

ona wasanii kama jackline wolper, irene uwoya, ray, lulu, mtitu, na wengineo.

hivi viwango vyao vya elimu vikoje?
 
Mimi ndo sijaona kabisa maana ya foolish age mana lulu kazaliwa victim nilitegemea angekuja kua victim kama result ya foolish age, nilijuta muda wangu bora ningeangalia series yangu ya revenge

hivi huyu dogo alimaliza shule kweli?
 
Yaani bongo movies ntabaki kumkubali jb pekee.angalau anatendea kazi japo anachocopy. Lulu cku nyingine ukitaka kuingza taaluma za watu Kwenye maigizo plz tafuta mtaalamu hucka akupe abc za hyo taaluma.mmewavua nguo Daktari na NGO's pluss Gvt of Tz..ARV hatupeani vile bana..inaamana hata kauli mbiu yetu ya Tz bila UKIMWI haijaeleweka kiasi hicho?sio Kweli.eti HIV results ilisoma positive baada ya siku moja!!Kweli?mmenivuruga sana hadi nliona Haya km me ndiye nilidirect au kuedit hyo movie yako...
 
Mimi ndo sijaona kabisa maana ya foolish age mana lulu kazaliwa victim nilitegemea angekuja kua victim kama result ya foolish age, nilijuta muda wangu bora ningeangalia series yangu ya revenge

Umeona ee..na hivi sn 3 iko sokoni.ingeangalia tu.
 
yaan ile muvi ni mbaya balaa.. kwanza lulu kafunikwa na yule mikogo, afu nahs n ya kitambo kabala hata ya huyo lulu hajaenda china (segerea).. anachowaza ni kuuza K kwa vigogo tu.. yaan huyo dogo dah!!
sema namsifu anaiuza kwa faida naskia anamalizia mjengo wa ukweli kimara sio kama wema naskia hata ile nyumba ya m400 siyo yake kakodi na kuweka mbwembwe zote hizo!!!
 
mbaya kweli we ulitaka iwe.................................?:A S-confused1:
 
kimsingi mimi siangalii hata maigizo, kwa bongo kwakweli nafuatilia kipindi cha magazetini tu.
wasanii wabongo bado saaanaaaaaa:tape:
 

Sikumbuki kama nilishaangalia movie ya kibongo hadi mwisho.Phew!...hazitamaniki.
 
Bongo movie bongo lala..

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Sikumbuki kama nilishaangalia movie ya kibongo hadi mwisho.Phew!...hazitamaniki.

hahahaaa!! pole sana mkuu!

ipo siku ntakwambia unitafute katika movie fulani unione..
 

Kiongozi usipate shida ya kujua elimu zao.wengi au wote ni form four failures sana sana kama wamesoma basi ni certificate ya english course basi.ukiwaeleza juu ya elimu wao wanafikiri ni kwa ajira pekee,na kusahau elimu ni zaidi ya ajira. Na kwa elimu zao ndogo wanashindwa kujua kwamba uigizaji ni kipaji na sio uzuri wa sura au wingi wa scandal! Wanajiona superstar kwa kuandikwa mara kwa mara ktk magazeti ya udaku.eti nikanunue bongo movie? Bora hata za pilau
 
Mhh kumbe ,bora sijaitafutaga hata,mana kwa uzinduzi wake nilijua kittuu cha maana
 
Niko tayari kuangalia Bongo comedy na siyo Bongo movie.

Poleni sana mnaopoteza muda wenu kuangalia genge la drud mules wakiuza sura.

Hao kama jumuiya ya bongo movie,waanzishe website na wawe wanajitangaza na zaidi wawe tayari kupokea pongezi na mapungufu yao.

Hapa dar ukiwa mzuri wa sura baaasi unakipaji cha kuigiza! Ndio maana king majuto yuko juu sana
 
Mhh kumbe ,bora sijaitafutaga hata,mana kwa uzinduzi wake nilijua kittuu cha maana

mi niliiangalia kwa siku kama nne ndo nikaimaliza.. it was boring and boring!

sijui kwanini nilipoteza elfu elfu zangu kununua copy.. its boring
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…