For how long should we....?

For how long should we....?

Mwambie watoto hawana kosa Nyamayao mwenye kosa ni baba watoto aawaache ila libabalao alitimue akae na huyo mama mwenza wajue watafanyaje kuwasaidia watoto hao.


khaa yaani uendelee ku2nza watoto ambao baba yao hata hajali kwa lolote, inahitaji moyo wa ziada, watoto wapo pale kutokana na mapenzi ya mama kwa baba, sasa baba ndio huyo tena itakuwaje? anyway inahitaji moyo wa ziada! cjamshauri lolote mpaka sasa mana hatakia kuambiwa lolote, anaona muamuzi wa mwisho ni yeye mwenyewe, akipoa nitaongea nae kiundani.
 
Sasa kwa nini huyo mama asimpige chini huyo mwanaume? Amemng'ang'ania wanini kama anaona anafanyiwa vitu ambavyo sivyo? Mwambie aachane nae.


kabisa kabisa mkuu...duh! hii ni aibu gani sasa wajameni

anawafikiria hao watoto wa mume wawili alionao hapo nyumbani awapeleke kwa mamake na mume, na mambo ya ada na mengineyo anayakatisha, ni kitendo cha jmoc kuwapeleka huko....hebu ona mwanaume amewakosesha watoto masomo yao kisa tamaa za kipumbavu, yaani inatia uchungu sana.

chonde chonde, asiwapeleke hao watoto awahudumie tu hawana kosa,,,,atawanyanyapaa bure! adeal na mumewe tu kwanza!
 
kabisa kabisa mkuu...duh! hii ni aibu gani sasa wajameni



chonde chonde, asiwapeleke hao watoto awahudumie tu hawana kosa,,,,atawanyanyapaa bure! adeal na mumewe tu kwanza!


mambo sio marahic kihivyo, yaani ulee watoto wakati baba yao yupo kando tu hapo na jirani yako wanakula raha? kwani yeye hana mahali pa kupeleka hizo pesa anazowasomeshea hao watoto? hata mie nicngelea tena!
 
anawafikiria hao watoto wa mume wawili alionao hapo nyumbani awapeleke kwa mamake na mume, na mambo ya ada na mengineyo anayakatisha, ni kitendo cha jmoc kuwapeleka huko....hebu ona mwanaume amewakosesha watoto masomo yao kisa tamaa za kipumbavu, yaani inatia uchungu sana.
. Ni kweli inauma mamii but mwambie watoto hao hawana makosa. Awachukulie kama wake na aendelee kuwasomesha kama kawaida. Hebu fikiria watakosa mangapi kwa kuwa na libaba kama hilo? Awalee tu na I tell you watakuja mkumbuka na ndiye watakayemheshimu kama mama. Thats is what we call a strength of a woman! Akaze moyo wake.

Unanikumbusha mjomba wangu flani aunty yetu wa kwanza alizaa na shemejiye (yaani mjomba wangu mwingine) akafukuzwa na watoto wakalelewa na mama ya kambo vizuri kabisa basi wao ndio wanaomlea aunty yangu kwa kila kitu! Kuliko hata wale aliowazaa mwenyewe!
 
Habari zenu.
Nimekuwa nikijiuliza sana juu ya mahusiano kati ya mke na mume ndani ya ndoa kuna vitu nimeshinmdwa kabisa kuvipatia majibu. Naombeni mnisaidie ndugu zangu.

Eti for how long tunatakiwa kusamehe na kusahau kwa kosa ambalo ni la kulirudia? Namaanisha kwamba kama wewe unachukia mpenzi wako kufanya kitu flani na ukamwambia jinsi unavyoumia akifanya kitu hicho, kwa hali ya kawaida mimi nilikuwa ninafikiri kuwa ukishamwambia kikukeracho atajitahidi juu chini katikati pembeni ili asikifanye tena..... kumbe lah kuna ambao wao huwa ni kawaida

Mf. mtu mwenye tabia ya kuchelewa kurudi majumbani bila kutoa taarifa au tabia yake ya kutoka kwenda saluni bila kukuaga wala kutoa taarifa!

unatakiwa kusamehe kila anapolifanya kosa hilo au ?
Na je anapolirudia huiwa anamaanisha nini?

wewe mwenzi wako akiwa anakufanyia hayo utajisikiaje na utaamua kitu gani?

Tafadhali nisaidieni.
mwanajamiione
too much of anything becomes poisonous,kwahivyo kuomba msamaha kurita kiasi pia kunadhuru ule uhusiano baina ya wapendanao.Hivyo basi kuna haja kwa wawili wanaopendana kujaribu kadri ya uwezo wao kuzuia kurudia kosa zao sivyo basi uaminifu na lile penzi huanza kupoteza rangi.
 
khaa yaani uendelee ku2nza watoto ambao baba yao hata hajali kwa lolote, inahitaji moyo wa ziada, watoto wapo pale kutokana na mapenzi ya mama kwa baba, sasa baba ndio huyo tena itakuwaje?.

Awe na roho ya huruma kwa hao watoto cha msingi aongee na huyo mke mwenza kuwa yule mmewe wa zamani wameshindwana na sasa hawa watoto wanasoma tufanyaje? Binafsi naona watoto hawana kosa cha msingi mama huyo awe na roho ya utu.
 
Unanikumbusha mjomba wangu flani aunty yetu wa kwanza alizaa na shemejiye (yaani mjomba wangu mwingine) akafukuzwa na watoto wakalelewa na mama ya kambo vizuri kabisa basi wao ndio wanaomlea aunty yangu kwa kila kitu! Kuliko hata wale aliowazaa mwenyewe!

hehehehe ehee ilikuwaje sasa huyo aunt wako akawachanganya wajomba zako alikuwa bomba sana enzi hizo? Mi najua wazee wa zamani kama ameoa akiona mke hazai basi baba mkwe anampa mke binti mwingine kwa mwanaume kufanya replacement sasa aunt wako sijui ilikuwaje akawa anawachanganya wote wawili.
 
Habari zenu.
Nimekuwa nikijiuliza sana juu ya mahusiano kati ya mke na mume ndani ya ndoa kuna vitu nimeshinmdwa kabisa kuvipatia majibu. Naombeni mnisaidie ndugu zangu.

Eti for how long tunatakiwa kusamehe na kusahau kwa kosa ambalo ni la kulirudia? Namaanisha kwamba kama wewe unachukia mpenzi wako kufanya kitu flani na ukamwambia jinsi unavyoumia akifanya kitu hicho, kwa hali ya kawaida mimi nilikuwa ninafikiri kuwa ukishamwambia kikukeracho atajitahidi juu chini katikati pembeni ili asikifanye tena..... kumbe lah kuna ambao wao huwa ni kawaida

Mf. mtu mwenye tabia ya kuchelewa kurudi majumbani bila kutoa taarifa au tabia yake ya kutoka kwenda saluni bila kukuaga wala kutoa taarifa!

unatakiwa kusamehe kila anapolifanya kosa hilo au ?
Na je anapolirudia huiwa anamaanisha nini?

wewe mwenzi wako akiwa anakufanyia hayo utajisikiaje na utaamua kitu gani?

Tafadhali nisaidieni.

sijaelewa kitu hapa.....hivi mtuma post anamaanisha anayezungumzwa ni male??Mana naona wachangiaji wanachangia upande mmoja tu!
Samahani huenda sijaelewa.Au Mwanajamii 1 ni female?
Embu ngoja kwanza nisome tena hiyo post ya kwanza...
 
mwanajamiione
too much of anything becomes poisonous,kwahivyo kuomba msamaha kurita kiasi pia kunadhuru ule uhusiano baina ya wapendanao.Hivyo basi kuna haja kwa wawili wanaopendana kujaribu kadri ya uwezo wao kuzuia kurudia kosa zao sivyo basi uaminifu na lile penzi huanza kupoteza rangi.

Karibu sana ndugu, nimefurahi kukuona hapa!
 
sijaelewa kitu hapa.....hivi mtuma post anamaanisha anayezungumzwa ni male??Mana naona wachangiaji wanachangia upande mmoja tu!
Samahani huenda sijaelewa.Au Mwanajamii 1 ni female?
Embu ngoja kwanza nisome tena hiyo post ya kwanza...


Goood!.......
 
Awe na roho ya huruma kwa hao watoto cha msingi aongee na huyo mke mwenza kuwa yule mmewe wa zamani wameshindwana na sasa hawa watoto wanasoma tufanyaje? Binafsi naona watoto hawana kosa cha msingi mama huyo awe na roho ya utu.


hawaelewani hata kidogo....
 
wanaume type hio wanafaa wachapwe viboko makalio yakiwa wazi hadharani...its a shame

Iyo inaitwa Nyerere Style kwa wala rushwa wa wakati ule...sio sasa! ni aibu kubwa kabisa,,,ndo maana jamaa linaogopa kurudi home!

aangalie asijitie kitanzi hasa kama anatokea mkoa ulee
 
mwanajamiione
too much of anything becomes poisonous,kwahivyo kuomba msamaha kurita kiasi pia kunadhuru ule uhusiano baina ya wapendanao.Hivyo basi kuna haja kwa wawili wanaopendana kujaribu kadri ya uwezo wao kuzuia kurudia kosa zao sivyo basi uaminifu na lile penzi huanza kupoteza rangi.

Omondi yaani where were you! hapa umesema kweli kabisa yaani hakuna kitu kinachobore kama mtu anafanya makosa yale yale afu anajitia am sorry, am sorry my foot. Itafika wakati unaiona hiyo am sorry kama anakukejeli tu!
 
hawaelewani hata kidogo....

duh sasa hapo kazi kweli kweli watoto atawapeleka wapi sasa? Akutane na ndugu wa huyu mwanaume asiye kuwa na shukrani kulelewa kote huko yeye bado anapiga majambozi nje.
 
duh sasa hapo kazi kweli kweli watoto atawapeleka wapi sasa? Akutane na ndugu wa huyu mwanaume asiye kuwa na shukrani kulelewa kote huko yeye bado anapiga majambozi nje.


watamsadia nini wakati na wao wenyewe wakusaidiwa?
 
mambo sio marahic kihivyo, yaani ulee watoto wakati baba yao yupo kando tu hapo na jirani yako wanakula raha? kwani yeye hana mahali pa kupeleka hizo pesa anazowasomeshea hao watoto? hata mie nicngelea tena!


Anayafanya magumu,, pa kupeleka hizo pesa pazuri zaidi ni wapi kama sio kusomesha watoto? mweh!
 
watamsadia nini wakati na wao wenyewe wakusaidiwa?

Hapo swity no way out itabidi awarudishe tu maana anaweza yule mwanaume kumshtaki wakasimama na mke wake yule wa zamani anaishi na watoto wao bila ridhaa yao. Hapo ukisikia kunyea kambi ndo huko. Jamaa kaharibu.
 
Anayafanya magumu,, pa kupeleka hizo pesa pazuri zaidi ni wapi kama sio kusomesha watoto? mweh!


alitofanyiwa yeye madogo? nyie mkifumania tu talaka mbele cc ndio mnatuona wagumu.! na haya mambo pia ni magumu Kaizer....
 
Hapo swity no way out itabidi awarudishe tu maana anaweza yule mwanaume kumshtaki wakasimama na mke wake yule wa zamani anaishi na watoto wao bila ridhaa yao. Hapo ukisikia kunyea kambi ndo huko. Jamaa kaharibu.


kaharibu ni kidogo sasa.
 
Back
Top Bottom