Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna watu wanajifanya wanajua kila kitu........kumbe hata mananasi hawajui kuyalima!!
pumbafu kabisa...wache vijana wafanye mambo yao bana....eti oooh BB..:yawn:
Namaanisha ukifunguwa tu ku post au ku reply post hizo features zote ni za kuchaguwa tu na haina haja ya kukumbuka codes zote hizo, sijawahi kuwa na tatizo hilo.
Ondoa nyota**
bold ni hivi text[/b*]
underline ni hivi text[/u*]
rangi
ni hivi [=color] text[/color*]
link ni hivi [/url*]
kukata neno... Hi naona inazingua JF
ila nayo nitext[/s*]
kama unajua code zaidi unaweza tupia
na hapa www.jamiiforums.comhttps://www.jamiiforums.com..hapo vipi..?
ok asante. basi naomba unisaidie kujua jinsi ya kuweka madude kwenye bonyeza HAPA. Hiyo Hapa unakuta ina habari gazeti zima. na hapo kwenye email sikuelewa vizuri. mia.
:bolt:mbn inakataa au n kwaajil ya pc pekee
mbn inakataa au n kwaajil ya pc pekee