For Men: Wanawake hawathamini ndoa tena, unapooa zingatia yafuatayo

For Men: Wanawake hawathamini ndoa tena, unapooa zingatia yafuatayo

Kataa ndoa ni uchaguzi wa vijana wa kisasa ulioibuka sababu ya kukosekana wazee waliodhibiti maadili ya vijana wanaopevuka.

Jamii imekuwa huru kupitiliza, vijana wana uhuru wa kujiongoza bila kujali, hakuna tena kuwajibika kwa wazee wa ukoo wala watu waliowazidi umri, ukishamaliza shule unaamua wewe atakalo na hakuna mtu anayeweza kukufanya uhoji tafsiri ya maamuzi yako.

Kama ni binti ukiamua uishi kwa mwanaume ni sawa tu hata kama mwanaume hajulikani. Lile Swali linalozua hofu tulilokuwa tukijiuliza kuwa "itakuwaje wazee wakijua" halipo tena matokeo yake kukaibuka mabinti wasioitunza miili yao na vijana wasiojali familia.

Wanawake wanaothamini ndoa wapo Ila wengi ni WASHAMBA, hawana muonekano wa ukisasa, hawajui social media, bata na hawana ujanja wa wanawake wengi ambao vijana huwataka, si wanamke ambao kijana utajivunia kuwa una pisi kali, misimamo na woga wao wa ngono na kuishi kwa mwanaume huwafanya wasiwe options za vijana wengi, wale wachache wanaojua kuspot mke chap huwaoa hawa na maisha huwa yanaenda sawa tu.

Ni kweli, ila na vijana nao wamekuwa dhaifu. Hawajui kuchagua mke na mama wa watoto, wengi wanawakimbilia mabinti wajanja wajanja wenye vidigrii halafu wanafanya kosa moja kubwa mno kuoa huku kipato hakitoshi na hapo hapo binti ana ajira na malengo ambayo ni expensive plus na ni Pisi kali.

Wanawake wa 70's na 80's kidogo hili halikuwa tatizo. Hapa 90's kuendelea ni tatizo.

NAUNGA MKONO HOJA. Na naongeza, majukumu yako ni yako usimpe mwanamke ayafanye.

NAUNGA MKONO HOJA.

Hapa nakupinga, Mwanaume anamuhitaji mwanamke tena pengine kuliko hata mwanamke anavyomuhitaji mwanaume. Mwanamke anaweza kuachwa mjane na asiolewe na akaishi bila shida ila si sisi wanaume, utatafuta tu mke. Esp ukiwa kwenye 50's na kuendelea. Mwanamke anaweza kaa bila mume na watoto ila ni vigumu sana mwanaume kukaa bila mwanamke.

Hii ni kwasababu ya jukumu la mwanaume katika jamii. Lazima iulizwe iwapo ameacha watoto sababu wanabeba jina lake na yeye alipaswa kuwa mlinzi wa hao watoto na kwasababu hayupo basi ni lazima ndugu na marafiki wachukue hilo jukumu. Tatizo ni kuwa kwa jamii ya sasa vijana wanazaa na wala hawawalindi watoto wao, hawajali na mara nyingine hawawatambulishi kwa wazee wao wa ukoo kuwa hii ni damu yetu.



NDOA NI ZAWADI KWA MWANAUME SABABU MKEO ANAKUZALIA WATOTO WENYE JINA LAKO, ANAWALEA NA KUWAKUZA KWA HESHIMA YAKO, ANAKUHUDUMIA MAHITAJI YAKO YA KIMWILI NA KIJAMII NA ZAIDI YA YOTE ANAKUOMBEA KWA MUNGU ABARIKI KAZI YA MIKONO YAKO ILI UWEZE KUWATUNZA NA KUWALINDA IKIWA NI SEHEMU YA JUKUMU LAKO SABABU UMEUMBWA MWANAUME.
sasa kama watoto ni wa baba mbona watoto hao huimba nani kama mamaa aah! Kwangu Mimi naonaga ni kihelehele chetu men tuu!
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Katika nyakati hizi, kuna sababu nyingi za kutokuoa kuliko kuoa. Namaanisha wale wazee wa "Kataa Ndoa" have milion reasons ku defend maamuzi yao.

Nyakati zimefika ambapo ndoa kwa wanawake siyo tunu tena, hawathamini ndoa kama jambo kubwa maishani mwao. Ndoa kwao wanakiona ni kitu cha kawaida tu ambacho unaweza kukiacha muda wowote.

Wanawake wa sasa wana ile mentality ya kwamba "Anachoweza mwanaume na mwanamke anakiweza pia". Hiki ndicho kinachowapoteza wanawake wa siku hizi. Hawajui toka enzi na enzi mwanamke ndiye alikuwa mchapakazi kushinda mwanaume ndani ya nyumba, yes, wanawake toka enzi na enzi ndiyo wachapakazi wakuu kwenye miji yao.

Lakini wanawake wa sasa hawana majibu ni kwa nini wanawake wa nyakati hizo they never left their homes kwenye hali yoyote ile. Hili ni ombwe ambalo wachache wana majibu yake.

Tuachane na hayo. Twende kwenye lengo la uzi.

Mwanaume unapooa zingatia yafuatayo:.

1. Men are Name-Bearers. Wewe ndiye kichwa cha familia, wewe ndiye mhimili wa uzao wako ujao. Kila mwanaume amezaliwa kutengeneza "ukoo". Yani wewe siku moja utakuwa babu uliyemzaa babu aliyemzaa babu akamzaa baba. Hivyo mwanamke asipozingatia ndoa usisite kumpiga chini maana she is just a vacuum.

2. Unapooa huyo mwanamke anakuwa wako physicaly and spiritualy. Ndiyo maana hata akifa atazikwa kwako/kwenu, haendi kuzikwa kwao. Hivyo mwanamke asiyejali ndoa anakuwa automaticaly ametoka nje ya hii dhana na hafai.

3. Mwanaume hamuhitaji mwanamke ili maisha yake yakamilike, ila ili maisha ya mwanamke yawe kamili anamhitaji mwanaume. Mwanaume amezaliwa akiwa "Complete", maisha yake yote anaweza asioe na akawa poa kabisa. Ila mwanamke asiye na mume ni hopeless and miserable. Hapa wanawake wengi huwa wanajidanganya pindi wakiwa kwenye 20s na 30s kwamba wako ok bila kuwa na mume, ila kawaangalie wanawake walio kwenye 40, 50, wasio na waume wanavyotia huruma kwenye jamii.

4. Ya mwisho kwa sasa mwanaume akifariki huwa tunauliza ameacha watoto? Kuuliza kama kaacha mke huwa ni geresha tu ila cha msingi huwa ni watoto. Ila akifariki mwanamke? Swali la kwanza huwa ni nini? Najua jibu unalo.

Hivyo itoshe kusema ndoa huwa ni zawadi kwa wanawake, kwa mwanaume ndoa siyo lazima. Kwa kuwa wanawake hawaithamini tena hii zawadi, basi nasi wanaume hatuna budi kunawa na kukaa pembeni.
@Jadda kuja hapa kudadadeki zako.
 
Mwanamke alipewa 'domestic roles' kipindi cha transformation kutoka matriarch kwenda patriarch baada ya hapo wanaume wakawa wawindaji na wengine wahunzi na wengine wakulima

Kwa hio Mwanamke akawa anaachwa kufanya shughuli za nyumbani na kutunza watoto na shughuli za upishi

Lakini sasa wanachotaka kufanya ni transformation ya kutoka patriarch kwenda matriarch yaan sasa wanataka Mwanaume abakie nyumbani afanye 'domestic roles' na Mwanamke aingie mstuni akapambane na Simba na Chui
Yaani kutombwa tombwa hovyo na kudanga ndio unaita kupambana na chui na simba? [emoji848]
 
Wapenzi watazamaji, ni ile ile team yetu pendwa ipo uwanjani.....
 
Umenena vema kabisa ndg...

Hata vitabu vya dini vipo wazi katika hili na baadhi wa waandishi wa kale kabisa waliwahi kuonya jambo hili la wanawake kutamani nafasi isiyowahusu katika maisha, jambo ambalo litaleta taflani ambayo inatokea sasa.

Sielewi yule mama wa Ukelewe alipokwenda Beijing na kuunga mkono lile azimio lao la 50/50 alielewa deep kuna nini?.
Kuna wanaume kama mabinti wa enzi hizo walishikwa makalio na wazungu kupush ajenda wakamhamasisha yule mama ila alikuwa hana hata mpango na alikuwa anajistukia na kuogopa kuhangaika na mambo ya kimataifa.

Ni hawa emasculated and feminized Men ndio walipush ajenda wala si wanawake.
 
Kizazi cha sasa cha wanawake hawajui kinachoenda kuwakuta mbeleni, wanajikuta wao ni wanaharakati mpaka kwenye mambo ambayo hayahitaji harakati...
Lishukuliwe jeshi la wanaume wenye Patriarchy mind set ambao wanapambana kila uchao kuwakumbusha Wanawake kujishikilia kipindi hiki kigumu ambapo shetani anaisambaratisha jamii.

Kila siku nyuzi zaidi ya 10 zinaanzishwa kumsuta na kumuelekeza kama sio kumuelimisha mtoto wa kike kuishika jinsia yake na wajibu wake.

Wakija kupotea ni kwa kutaka kwao sio swala la mwanaume hakuwapambania.
 
Kataa ndoa ni uchaguzi wa vijana wa kisasa ulioibuka sababu ya kukosekana wazee waliodhibiti maadili ya vijana wanaopevuka.

Jamii imekuwa huru kupitiliza, vijana wana uhuru wa kujiongoza bila kujali, hakuna tena kuwajibika kwa wazee wa ukoo wala watu waliowazidi umri, ukishamaliza shule unaamua wewe atakalo na hakuna mtu anayeweza kukufanya uhoji tafsiri ya maamuzi yako.

Kama ni binti ukiamua uishi kwa mwanaume ni sawa tu hata kama mwanaume hajulikani. Lile Swali linalozua hofu tulilokuwa tukijiuliza kuwa "itakuwaje wazee wakijua" halipo tena matokeo yake kukaibuka mabinti wasioitunza miili yao na vijana wasiojali familia.

Wanawake wanaothamini ndoa wapo Ila wengi ni WASHAMBA, hawana muonekano wa ukisasa, hawajui social media, bata na hawana ujanja wa wanawake wengi ambao vijana huwataka, si wanamke ambao kijana utajivunia kuwa una pisi kali, misimamo na woga wao wa ngono na kuishi kwa mwanaume huwafanya wasiwe options za vijana wengi, wale wachache wanaojua kuspot mke chap huwaoa hawa na maisha huwa yanaenda sawa tu.

Ni kweli, ila na vijana nao wamekuwa dhaifu. Hawajui kuchagua mke na mama wa watoto, wengi wanawakimbilia mabinti wajanja wajanja wenye vidigrii halafu wanafanya kosa moja kubwa mno kuoa huku kipato hakitoshi na hapo hapo binti ana ajira na malengo ambayo ni expensive plus na ni Pisi kali.

Wanawake wa 70's na 80's kidogo hili halikuwa tatizo. Hapa 90's kuendelea ni tatizo.

NAUNGA MKONO HOJA. Na naongeza, majukumu yako ni yako usimpe mwanamke ayafanye.

NAUNGA MKONO HOJA.

Hapa nakupinga, Mwanaume anamuhitaji mwanamke tena pengine kuliko hata mwanamke anavyomuhitaji mwanaume. Mwanamke anaweza kuachwa mjane na asiolewe na akaishi bila shida ila si sisi wanaume, utatafuta tu mke. Esp ukiwa kwenye 50's na kuendelea. Mwanamke anaweza kaa bila mume na watoto ila ni vigumu sana mwanaume kukaa bila mwanamke.

Hii ni kwasababu ya jukumu la mwanaume katika jamii. Lazima iulizwe iwapo ameacha watoto sababu wanabeba jina lake na yeye alipaswa kuwa mlinzi wa hao watoto na kwasababu hayupo basi ni lazima ndugu na marafiki wachukue hilo jukumu. Tatizo ni kuwa kwa jamii ya sasa vijana wanazaa na wala hawawalindi watoto wao, hawajali na mara nyingine hawawatambulishi kwa wazee wao wa ukoo kuwa hii ni damu yetu.



NDOA NI ZAWADI KWA MWANAUME SABABU MKEO ANAKUZALIA WATOTO WENYE JINA LAKO, ANAWALEA NA KUWAKUZA KWA HESHIMA YAKO, ANAKUHUDUMIA MAHITAJI YAKO YA KIMWILI NA KIJAMII NA ZAIDI YA YOTE ANAKUOMBEA KWA MUNGU ABARIKI KAZI YA MIKONO YAKO ILI UWEZE KUWATUNZA NA KUWALINDA IKIWA NI SEHEMU YA JUKUMU LAKO SABABU UMEUMBWA MWANAUME.
Hapo uliposema mwanamke anaweza kuwa mjane akaishi bila mume, nikuulize katika umri wa ujane nani anataka kuoa mwanamke mjane abebe mzigo wa familia na mke ambaye ametumika?

Je, unaona misiba ya wanaume matajiri hali ipoje kwa wajane wa mamilionea au mabilionea huwa wanachukua round kupata mwenza wa kuliendeleza? Kylin unaona yupo single?

Kingine cha ziada mara nyingi mjane huwa anaishi na mali zilizotafutwa na nani na kwa muda gani? Unaona mfano mama magufuli, mama Nyerere, hao wote wanaishi kwa mali za wanaume zao ambazo walipambana kuzitafuta hadi wakazipata. So mjane wa hivi hana haja ya kuhangaika na mahusiano ili iwaje na umri umeenda ana watoto wa kulea.

Wanaume wamekuwa conditioned kutegemea wanawake sababu wengi hawajifunzi kupika, kufanya usafi, kujiandalia nguo na hata wakiumwa kidogo anataka mke awe around kumhudumia ila sijui kama unaona hii breed ya sasa ya kizazi cha watoto wa kiume wanaojua kusukuma chapati na kupika vizuri hadi ikavutia, wanaojua kuunga nyama ya mchuzi na kupika kisamvu mixer kuchambua mchele na kupika pilau au wali. Hawa unavyowaona hawa shughuli yao itakuwa ya kawaida? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
sasa kama watoto ni wa baba mbona watoto hao huimba nani kama mamaa aah! Kwangu Mimi naonaga ni kihelehele chetu men tuu!
Hao ni kizazi cha toleo la miaka ya 80. Watoto waliozaliwa na kizazi cha miaka ya 1990's mmmmmmhmn wengi hawaivi na mama zao sababu wanalelewa na house girls, bibi zao, na walimu wa day-care.

Mama anamuona jumapili tu tena ni ile akimuagiza dada kuandaa vitu baada ya hapo anajifungia chumbani apate muda wa kupumzika huku akichezea simu.

Wa mama wa kizazi hiki cha nyoka hawapendi watoto balaa sijui wapoje aisee.
 
Hapo uliposema mwanamke anaweza kuwa mjane akaishi bila mume, nikuulize katika umri wa ujane nani anataka kuoa mwanamke mjane abebe mzigo wa familia na mke ambaye ametumika?

Je, unaona misiba ya wanaume matajiri hali ipoje kwa wajane wa mamilionea au mabilionea huwa wanachukua round kupata mwenza wa kuliendeleza? Kylin unaona yupo single?

Kingine cha ziada mara nyingi mjane huwa anaishi na mali zilizotafutwa na nani na kwa muda gani? Unaona mfano mama magufuli, mama Nyerere, hao wote wanaishi kwa mali za wanaume zao ambazo walipambana kuzitafuta hadi wakazipata. So mjane wa hivi hana haja ya kuhangaika na mahusiano ili iwaje na umri umeenda ana watoto wa kulea.

Wanaume wamekuwa conditioned kutegemea wanawake sababu wengi hawajifunzi kupika, kufanya usafi, kujiandalia nguo na hata wakiumwa kidogo anataka mke awe around kumhudumia ila sijui kama unaona hii breed ya sasa ya kizazi cha watoto wa kiume wanaojua kusukuma chapati na kupika vizuri hadi ikavutia, wanaojua kuunga nyama ya mchuzi na kupika kisamvu mixer kuchambua mchele na kupika pilau au wali. Hawa unavyowaona hawa shughuli yao itakuwa ya kawaida? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahaha, imebidi nicheke tu. Mkuu, embu ngoja wakizeeka jamii itapata jibu.
 
Kwenye pita pita zangu za kurasa za vitabu nikakutana na hizi paragraph;

"... Eve had been perfectly happy by her husband’s side in her Eden home; but, like restless modern Eves, she was flattered with the hope of entering a higher sphere than that which God had assigned her ...

In attempting to rise above her original position, she fell far below it. A similar result will be reached by all who are unwilling to take up cheerfully their life duties in accordance with God’s plan ...

In their efforts to reach positions for which He has not fitted them, many are leaving vacant the place where they might be a blessing...

In their desire for a higher sphere, many have sacrificed true womanly dignity and nobility of character, and have left undone the very work that Heaven appointed them..."

Hizo paragraph zimenistua na kuelewa kumbe haya yote tunayoshuhudia ni mapinduzi ya mwanamke ili kuiharibu familia ya dunia.
Maneno mazito sana haya mkuu.
 
Back
Top Bottom