lipingangogolo
Senior Member
- Dec 28, 2016
- 124
- 76
Kwa uelewa wako ulivyo mdogo kama punje ya njegereChama cha kikatili mno.
Wanadharau na kunyanyasa wanawake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa uelewa wako ulivyo mdogo kama punje ya njegereChama cha kikatili mno.
Wanadharau na kunyanyasa wanawake.
Unadhani hivi vyama bado havitoi fursa sawa kwa wanawake ?Lakini hivyo 19 ingekuwa vina-accomodate na wanaume sasa hivi akina Mbowe, Mnyika wangekuwa Bungeni. Ni ubinafsi tu unawasumbua hawa wanaume!
Tatizo ilikuwa mchakato wa kuwapata hao wabunge ila sio hizo nafasi, kumbe hata mliposema mmesusia matokeo ya ule uchaguzi, kwa Sasa mmeshabadilisha msimamo wa awali.Sio kwa Tanzania ya sasa, Kama Mbowe na Samia Wana good working relationship usishangae kesho NEC ikatoa barua kutangaza nafasi ziko wazi!
Mkuu, IT IS A MAN's WORLD...Mwanaume atampa mwanamke kitu pale tu ambapo kinamnufaisha na yeye. That is the fact of life.Unadhani hivi vyama bado havitoi fursa sawa kwa wanawake ?
Sasa maridhiano yakishaisha lazima tu tutaambiwa tupeleke wabunge maana huwezi endelea kususa wakati changamoto iliyosababisha ususe imeshafanyiwa kazi.Tatizo ilikuwa mchakato wa kuwapata hao wabunge ila sio hizo nafasi, kumbe hata mliposema mmesusia matokeo ya ule uchaguzi, kwa Sasa mmeshabadilisha msimamo wa awali.
Mkuu Fundi Mchundo upo? Nasikia Mahakama imetoa zuio.Naona kama unachanganya mambo. Kwa hiyo unataka wafungue kesi dhidi ya Bunge ili kulizuia kuwaondolea ubunge? Na hiyo waifanye kabla hawajavuliwa ubunge?
Hiyo ya kupinga kufukuzwa kwenye chama ni haki yao. Lakini haina uhusiano na wao kubakia kuwa wabunge.
Amandla...
Hata mimi nimesikia. Inaelekea nilikuwa nimekosea kabisa! Kuishi ni kujifunza.Mkuu Fundi Mchundo upo? Nasikia Mahakama imetoa zuio.