Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio kwa Tanzania ya sasa, Kama Mbowe na Samia Wana good working relationship usishangae kesho NEC ikatoa barua kutangaza nafasi ziko wazi!Hapa nadhani watakimbilia Mahakamani kama alivyofanya Zitto miaka ileeeee!! Wakienda Mahakamani wanazuia maamuzi ya Baraza Kuu kutekelezwa na wanafungua kesi ya kupinga mchakato wa kuwafukuza. Wanarudi Bungeni kuendelea na Ubunge wao, kedi inaendeshwa miaka 3 hivyo wanamaliza miaka 5!! Ngoma sasa ni kwa chama, watachukua ruzuku ama la??
haikufa kwa Slaa itakufa kwa hawaNaunga mkono hoja wahamie ACT. Hawa ni wanawake smart sana na CHADEMA inaenda kufa mara moja.
Sasa upate wabunge 120 na 40% ya kura za Urais pamoja na 30% ya Halmashauri nchi nzima then ususe??? That is something.You know it is quite interesting that miaka yote CHADEMA haijawahi kukubaliana na matokeo ya Uchaguzi kwa ngazi ya Urais lakini Mbowe, Mnyika and the rest walienda Bungeni kama Wabunge hawajawahi kususia. Ila this one time ambapo wanaume wote “wameshindwa” uchaguzi ndo ubunge eti unasusiwa mazimaa…
Bila shaka Mdee anaipenda sana Chadema. Hata Matiko. Lakini kwa alichokifanya kimemuondolea thamani mbele ya wanachama wengi wa Chadema ambao waliamini kuwa yeye na wenzake ni wafia chama. Mbowe angeanzaje na reconciliatory statement kwa watu ambao wamekataa kabisa kuonyesha kuwa wanajutia walioyafanya. Wao walitaka rufaa yao ikubaliwe na waendelee na ubunge wao, kitu ambacho ni impossible. Naamini kabisa kuwa wangejiuzuru ubunge wakati Mbowe yuko ndani, chama kingewasamehe.Jambo moja nafahamu nalo ni kwamba Halima Mdee ni CHADEMA hadi kwenye damu. Hata kama atatoka, mapenzi yake na imani yake kwa CHADEMA itaendelea kuwa moyoni mwake. Mpende msipende, kwa Halima Mdee CHADEMA imepoteza sana sana. Ningekuwa mimi ni Kiongozi CHADEMA nisingekubali kumwachia Halima. Angalieni wenzenu wa CCM, kuna mambo yalitokea ila hata kama wanafukuzana lakini wanakaa wanayajenga yanaisha wanasonga mbele kisiasa.
Kwa Mbowe kusamehewa na kufutiwa kesi yake basi naye angekuja na reconciliatory statement za kuwasamehe hawa wadada na kuanza upya. In short CHADEMA itayumba.
Mwendazake aliwaita privately, just 15 minutes was enough to close the deal.Ila Hanje nimemuonea huruma dada yule sijui alikumbwa na nini
Wanaweza na wana haki kabisa kupinga kwa kwenda Mahakamani lakini wakiwa nje ya Bunge.Kwa hiyo kufukuzwa na Baraza Kuu hakupingwi Mahakamani?
Kafulila na machali wako wapi?? Si tuliambiwa wangeizika chadema Kigoma. Mkuu kuna watu hawana nguvu nje ya mfumo wa chama nani alijua Dr.Slaa aliposusa, CHADEMA ingezoa kata zote za Karatu???ACT imeshaimarika Zanzibar, Mdee na wenzake (kama watahamia) watakiimarisha Bara.
kwahiyo unaunga mkono wao walivyofoji nyaraka?Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Chadema haina mvuto Zanzibar, kinaonekana ni chama cha kidini. Naweza nisikubaliane na hilo lakini ndio ukweli. Siasa za Zanzibar zina siasa zake. Siasa za siasa.Zanzibar gani? Sasa hivi kumepoa hakuna harakati. Ngoja chadema waende Hilo tuone.
sasa umejuaje kama hayataisha?Jambo moja nafahamu nalo ni kwamba Halima Mdee ni CHADEMA hadi kwenye damu. Hata kama atatoka, mapenzi yake na imani yake kwa CHADEMA itaendelea kuwa moyoni mwake. Mpende msipende, kwa Halima Mdee CHADEMA imepoteza sana sana. Ningekuwa mimi ni Kiongozi CHADEMA nisingekubali kumwachia Halima. Angalieni wenzenu wa CCM, kuna mambo yalitokea ila hata kama wanafukuzana lakini wanakaa wanayajenga yanaisha wanasonga mbele kisiasa.
Kwa Mbowe kusamehewa na kufutiwa kesi yake basi naye angekuja na reconciliatory statement za kuwasamehe hawa wadada na kuanza upya. In short CHADEMA itayumba.
You know it is quite interesting that miaka yote CHADEMA haijawahi kukubaliana na matokeo ya Uchaguzi kwa ngazi ya Urais lakini Mbowe, Mnyika and the rest walienda Bungeni kama Wabunge hawajawahi kususia. Ila this one time ambapo wanaume wote “wameshindwa” uchaguzi ndo ubunge eti unasusiwa mazimaa…
Si walipewa nafasi ya maridhiano kabla ya kupiga Kura wakakataa!?wakijidanganya Wana Kura nyingi za kuwaunga mkono kumbe hawana!?Mwenyekiti ameeleza namna ambavyo alichukua hatua za kujadilia nai mara kadhaa ili kunusuru hili Jambo!?kwa kifupi Halima na kundi lake walisha amua kukengeuka kabisa.Hatujui walikuwa na makubaliano gani na waliowaingiza bungeni kupitia mlango wa uani.Pengine tungejua labda tungeelewa ugumu wa wao wa ku reconcile na chama kumetokea wapi.Nacho amini hata wao walijua kwa kukengeuka kwao mwisho wao na chadema ulikuwa uwe huu.Jambo moja nafahamu nalo ni kwamba Halima Mdee ni CHADEMA hadi kwenye damu. Hata kama atatoka, mapenzi yake na imani yake kwa CHADEMA itaendelea kuwa moyoni mwake. Mpende msipende, kwa Halima Mdee CHADEMA imepoteza sana sana. Ningekuwa mimi ni Kiongozi CHADEMA nisingekubali kumwachia Halima. Angalieni wenzenu wa CCM, kuna mambo yalitokea ila hata kama wanafukuzana lakini wanakaa wanayajenga yanaisha wanasonga mbele kisiasa.
Kwa Mbowe kusamehewa na kufutiwa kesi yake basi naye angekuja na reconciliatory statement za kuwasamehe hawa wadada na kuanza upya. In short CHADEMA itayumba.
Unajidanganya. Serikali inaihitaji Chadema kuliko Chadema inavyoihitaji serikali. Nadhani Mheshimiwa Rais ametambua umuhimu wa kuwa na wapinzani bungeni wenye baraka za chama chao. Sitashangaa kama sehemu ya makubaliano ya Wenyeviti wa CCM na Chadema ni Chadema kupeleka mbadala wa hawa 19 Bungeni hata kama wataendelea na msimamo wao wa kutotambua matokeo ya uchaguzi uliopita. Wataweza kujitetea kuwa kura zilizowapa hao wabunge ni sehemu tu ya kura walizostahili kwa hiyo ni haki yao kufaidika nazo.CHADEMA wanaitolea macho ruzuku wewe
Kafulila na machali wako wapi?? Si tuliambiwa wangeizika chadema Kigoma. Mkuu kuna watu hawana nguvu nje ya mfumo wa chama nani alijua Dr.Slaa aliposusa, CHADEMA ingezoa kata zote za Karatu???
Hivi tuliambiwa Mashinji anajua Siri zote na ataiua CHADEMA ndani ya siku 2?? Leo hii hata unajua Yuko wapi?
Zitto pamoja na uwezo wake mkubwa wa kujenga hoja na kukubalika na vijana ameweza itingisha CHADEMA hata Kigoma tu hapo?? Yaani CHADEMA ilikua na wabunge plus madiwani wengi kuliko ACT huko Kigoma then unasema watakuwa tishio kwa Chadema??
Anyway maadam wote ni upinzani then watasaidia kuiua CCM ila kama wataenda ACT Ili kupambana na CHADEMA basi watafutika kama tu Slaa,Mashinji, Kafulila, na Lijualikali walivyopotea.
Vyama vya upinzani ni vyama vya maslahi ndio maana huwa ni kufukuzana kila siku na havieleweki ..Kazi ya mwanasiasa ni kufanya siasa.
Maamuzi ya mwisho ya kuwavua uwanachama wa CHADEMA wabunge Halima Mdee na wenzake 18 baada ya rufaa yao kukataliwa, huenda yakawatoa rasmi kwenye siasa za vyama, hivyo kulazimika kutetea ubunge wao mahakamani kwa ajili ya kusogeza siku mbele kuelekea 2025.
Labda wengi wanajiuliza au wengine wanadhani huu ndio mwisho wa kisiasa kwa wanasiasa hawa wazoefu na machachari. Kisiasa, hesabu nzuri zaidi ni wanawake hawa kuhamia chama cha ACT ili wapate jukwaa halali la kuendelea kuwa relevant kwenye siasa za upinzani na uwakilishi hapa nchini.
Jambo la muhimu zaidi, maamuzi ya CHADEMA yaheshimiwe.
Naunga mkono hoja, baadhi yao, akiwemo Halima Mdee na Esta Bulaya, hawa ni wanasiasa very good assets kisiasa, Chadema turned these assets into liabilities. Kama hawakutendewa haki, kiukweli kabisa, karma itaitafuna Chadema!.
Karibu mitaa hii A Kangaroo Court Moja, Kutoa Hukumu Kikangaroo, Kisha Kikao cha Rufaa, Kikiyabariki Maamuzi yale ya Kikangaroo. Je, nacho ni A Kangaroo?, dhulma za aina hii, husababisha karma zisizo za lazima kabisa kwa Chadema kama chama, na kwa individual players!.
P.
Naona kama unachanganya mambo. Kwa hiyo unataka wafungue kesi dhidi ya Bunge ili kulizuia kuwaondolea ubunge? Na hiyo waifanye kabla hawajavuliwa ubunge?Unazuia kuondolewa Ubunge na kufungua kesi ya msingi ya kupinga kufukuzwa uanachama!!