econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Jamani Zito alienda Mahakamani kutetea Ubunge wake enzi zile hata Magu hakuwa Rais bado, sijui kwanini binadamu tunasahau haraka, au mna shida gani na hayati Magufuli, muacheni mzee wa watu apumzike kwa amanii
Usilinganishe viti maalum na Ubunge wa kuchaguliwa.