For serious & single ladies: Nipo kwenye harakati za kutafuta mke mwema

Habari lako next, wkend nilikutafuta simu zote ulizima wewe madai yako unakula kibua na wali na familia, haya bana
 
Habari lako next, wkend nilikutafuta simu zote ulizima wewe madai yako unakula kibua na wali na familia, haya bana

.....ha!ha!ha...hapana bana! uthinithingithie mtoto wa mwenzio ww takuanzishia siredi......! ngoja nim-consult Kimey kwanza on zisi....!
 
.....ha!ha!ha...hapana bana! uthinithingithie mtoto wa mwenzio ww takuanzishia siredi......! ngoja nim-consult Kimey kwanza on zisi....!


Hahahaaaaaa nisamehe bana usijenianzishia sired maana hiyo ni mbaya sana wapwa hawatakiwi kujua siri ibaki kati yangu mimi na wewe tu lol
 
Huyo mwenye sifa zote hizo omba ashushwe kutoka juu. I bet u'll NEVER EVER get that kind of a human being on earth. That one u r looking 4 is ana angel!!!!!!!
 
Hahahaaaaaa nisamehe bana usijenianzishia sired maana hiyo ni mbaya sana wapwa hawatakiwi kujua siri ibaki kati yangu mimi na wewe tu lol

....ha!ha!ha!ha! bahati yako menithiba mdomo wewe.....!
 
Huyo mwenye sifa zote hizo omba ashushwe kutoka juu. I bet u'll NEVER EVER get that kind of a human being on earth. That one u r looking 4 is ana angel!!!!!!!

....mzee vilivyowekwa hapo juu ni just ''formal'' vigezo....vya imaginery wife ambaye ningependa kuwa naye.....! sitegemea mtu atakuwa perfect kwa kila kitu boss wangu, ila ninachotegemea ni kupata mtu ambaye tutamatch ......!
 
duh lijanamke chafu hadi mumewe anamnotice na mahg wapo jamani pole taluma anza mbele.vumilia ya kuvumilika sio huu ujinga. jamani wanawake wenzangu tuwe wasafi.hata kama mvivu mumeo akitoka tu akikuacha home muingize housegirl msimamie afanye usafi wa nguvu. kuhusu matambala aaaaghrrrrr. heeeeeeee.pole
 

unaamini vipi kilichozungumzwa hapa maana inaonesha tangu mwanzo kulikuwa hakuna mapenzi,wanaume bwana.
 
jinsi alivyojielezea nimemwamini tu au anwezaakawa anazuga?
unaamini vipi kilichozungumzwa hapa maana inaonesha tangu mwanzo kulikuwa hakuna mapenzi,wanaume bwana.
 
helw taluma nahisi wewe ndio mume wangu kabisa ni pm maana hata namna ya ku pm sijajua bado
 

Taluma na wewe, yani wadada wawatu aache kuangalia kucha zake zisikatike, nakwenda saloon kupendeza akulelee watoto wako subutu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…