Taluma
Senior Member
- Jan 22, 2011
- 158
- 2
- Thread starter
-
- #141
unaamini vipi kilichozungumzwa hapa maana inaonesha tangu mwanzo kulikuwa hakuna mapenzi,wanaume bwana.
Shosti,
Ukisoma katikati ya mistari unaweza ukajua kama humu kuna usaniii au laa, wewe kama mwanamke utakuwa na rafiki zako wa kike mnaotofautina katika masuala mengi, wengi utakuwa unawafahamu wanajipenda sana, wanapenda vitu vyao na mazingira yao, wapo wengine ni wachafu an disorganised....akiingia bafuni (kwa mfano) anatumia dakika mbili ameshatoka.....downstairs ''hawakupigi mswaki'' kuna kuwa na maugali fulani hivi, tena yananuka sana, mswaki hawapigi....mdomo unanuka....can you enjoy having sex with such woman? can you even think of learning to love such woman kweli?
Sasa unategemea mwanamke wa aina hii ukimwoa tena bahati mbaya akawa na jeuri, kiburi etc etc unategemea nini Shosti? Sipo hapa kumsingizia mtu uwongo, naye ni binadamu na ninampa heshima zake but kwenye ukweli nina umwaga....ili na wengine hapa wajifunze pia!