Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania in terms of political awakening, there is no way, upinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.
Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipasi Lissu wa Chadema.
Mimi Paskal Mayalla najisikia very proud kwasababu ni mmoja wa watu wa mwanzo, kumshauri Tundu Lissu agombee na rais Magufuli, kwasababu kuna sifa fulani ya Lissu anayo ambayo anamzidi Magufuli, Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi hii zinakwendaje, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.
Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM pekee, hivyo ni CCM pekee ndio inakwenda kushinda.
Vyama vya upinzani ni maarufu maeneo ya mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.
Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja ya TPSF hapo mbele ni kweli.
Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.
Mimi kwenye bandiko langu hili,
www.jamiiforums.com
nimemshauri rais Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, na ushindi wa kishindo wa Magufuli na CCM, na kufuatia good track record ya utendaji wake, na kukubalika kwake na CCM, upinzani utabwaga chini na kuragazwa sana, kiasi cha kupata Bunge la CCM tupu.
Kufuatia kipigo hicho cha upinzani kitaacha makovu ya maumivu kwa upinzani, then tunamuomba rais Magufuli, aingie huruma, atangaze kuwa ata wateua Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa ili angalau wakalete msisimko Bunge la CCM.
Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua the reality ya ushindi wa uchaguzi hautokani na kura tuu zilizopigwa, yaani the votes casted, but the votes counted!, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count!.
Nalisema hili mapema ili kuwasaidia Watanzania wenzetu, kwa kuwaandaa kisaikolojia kwa kitakacho tokea, ili watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa stress na despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, hivyo bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, na depression ya kushindwa kwasababu they knew before, na waliambiwa.
Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa hiyo nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini in terms of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza tuu bure kura yako!.
Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze bure kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuteuliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, bora mumpigie Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako!.
Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.
Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.
Paskali
Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania in terms of political awakening, there is no way, upinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.
Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipasi Lissu wa Chadema.
Mimi Paskal Mayalla najisikia very proud kwasababu ni mmoja wa watu wa mwanzo, kumshauri Tundu Lissu agombee na rais Magufuli, kwasababu kuna sifa fulani ya Lissu anayo ambayo anamzidi Magufuli, Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!
Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi hii zinakwendaje, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.
Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM pekee, hivyo ni CCM pekee ndio inakwenda kushinda.
Vyama vya upinzani ni maarufu maeneo ya mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.
Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja ya TPSF hapo mbele ni kweli.
Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri
Mkuu Kishimbe wa Kishimbe , kwanza asante kwa objectivity3) We can always have a clause, in our new constitution, which will make it a RIGHT for the first and second runner-ups of the presidential contest to be members of the parliament by merit and thus give no room for tyrants TO SHOW THEIR SYMPATHY!!!
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.
Mimi kwenye bandiko langu hili,
Uchaguzi 2020 - Kama TPSF ni wakweli, then, JPM, CCM itashinda ushindi wa kishindo cha ajabu! But for National Unity, TL ateuliwe Ubunge kuwafariji his sympathizers?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as...
nimemshauri rais Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, na ushindi wa kishindo wa Magufuli na CCM, na kufuatia good track record ya utendaji wake, na kukubalika kwake na CCM, upinzani utabwaga chini na kuragazwa sana, kiasi cha kupata Bunge la CCM tupu.
Kufuatia kipigo hicho cha upinzani kitaacha makovu ya maumivu kwa upinzani, then tunamuomba rais Magufuli, aingie huruma, atangaze kuwa ata wateua Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa ili angalau wakalete msisimko Bunge la CCM.
Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua the reality ya ushindi wa uchaguzi hautokani na kura tuu zilizopigwa, yaani the votes casted, but the votes counted!, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count!.
Nalisema hili mapema ili kuwasaidia Watanzania wenzetu, kwa kuwaandaa kisaikolojia kwa kitakacho tokea, ili watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa stress na despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, hivyo bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, na depression ya kushindwa kwasababu they knew before, na waliambiwa.
Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa hiyo nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini in terms of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza tuu bure kura yako!.
Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze bure kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuteuliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, bora mumpigie Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako!.
Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.
Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.
Paskali