Siajelewa jomba national uniy una maanisha Nini...mwambieni huyo lissuu wenu aka unite na Amsterdam kule kwao ubelgiji...atuachie nchi yetu..SI hata dereva wake kamficha kule..waende Waka unite kule..hatuwahitaji na Wala mheshimiwa Rais wangu Magufuli Hana haja nao..kwa sababu hata wananchi hawawataki na ndio maana wananchi wamewachinja..yeye SI alikuwa anasema Magufuli hamna kitu pale..basi aende ubelgiji ndio Kuna kitu..cheza na wananchi wewe..sijui mnadhani hawaoni Wala hawasikii anayoyafanya Magufuli..shwainnnnyyyu
Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania in terms of political awakening, there is no way, upinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.
Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipasi Lissu wa Chadema.
Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi hii zinakwendaje, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.
Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM pekee, hivyo ni CCM pekee ndio inakwenda kushinda.
Vyama vya upinzani ni maarufu maeneo ya mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.
Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja ya TPSF hapo mbele ni kweli.
Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri
Mkuu Kishimbe wa Kishimbe , kwanza asante kwa objectivity
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as...
www.jamiiforums.com
nimemshauri rais Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, na ushindi wa kishindo wa Magufuli na CCM, na kufuatia good track record ya utendaji wake, na kukubalika kwake na CCM, upinzani utabwaga chini na kuragazwa sana, kiasi cha kupata Bunge la CCM tupu.
Kufuatia kipigo hicho cha upinzani kitaacha makovu ya maumivu kwa upinzani, then tunamuomba rais Magufuli, aingie huruma, atangaze kuwa ata wateua Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa ili angalau wakalete msisimko Bunge la CCM.
Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua the reality ya ushindi wa uchaguzi hautokani na kura tuu zilizopigwa, yaani the votes casted, but the votes counted!, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count!.
Nalisema hili mapema ili kuwasaidia Watanzania wenzetu, kwa kuwaandaa kisaikolojia kwa kitakacho tokea, ili watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa stress na despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, hivyo bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, na depression ya kushindwa kwasababu they knew before, na waliambiwa.
Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa hiyo nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini in terms of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza tuu bure kura yako!.
Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze bure kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuteuliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, bora mumpigie Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako!.
Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.
Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.
Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania in terms of political awakening, there is no way, upinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.
Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipasi Lissu wa Chadema.
Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi hii zinakwendaje, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.
Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM pekee, hivyo ni CCM pekee ndio inakwenda kushinda.
Vyama vya upinzani ni maarufu maeneo ya mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.
Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja ya TPSF hapo mbele ni kweli.
Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri
Mkuu Kishimbe wa Kishimbe , kwanza asante kwa objectivity
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as...
www.jamiiforums.com
nimemshauri rais Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, na ushindi wa kishindo wa Magufuli na CCM, na kufuatia good track record ya utendaji wake, na kukubalika kwake na CCM, upinzani utabwaga chini na kuragazwa sana, kiasi cha kupata Bunge la CCM tupu.
Kufuatia kipigo hicho cha upinzani kitaacha makovu ya maumivu kwa upinzani, then tunamuomba rais Magufuli, aingie huruma, atangaze kuwa ata wateua Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa ili angalau wakalete msisimko Bunge la CCM.
Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua the reality ya ushindi wa uchaguzi hautokani na kura tuu zilizopigwa, yaani the votes casted, but the votes counted!, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count!.
Nalisema hili mapema ili kuwasaidia Watanzania wenzetu, kwa kuwaandaa kisaikolojia kwa kitakacho tokea, ili watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa stress na despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, hivyo bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, na depression ya kushindwa kwasababu they knew before, na waliambiwa.
Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa hiyo nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini in terms of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza tuu bure kura yako!.
Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze bure kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuteuliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, bora mumpigie Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako!.
Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.
Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.
Mkuu katika 'the art of political war' kifungu cha tatu kinahitaji yafuatayo,
Ukipigana kisiasa katika ushindani wowote lazima uhakikishe adui yako kisiasa amepigwa saana na kuchakaa , ili asiweze kurudisha mapigo kwa aina yeyote.
Na itakapo tokea amejikusanya na kuweza kurudisha mapigo basi lazima yawe dhaifu sana kiasi hauwezi kuumia.
Na uhakikishe makovu makubwa unayo mwachia akiyatibu lazima makovu hayo yamuuwe.
CCM wamefanya hivi kwa makusudi, sasa reconcilliation hapa iwe ya nini?
Au ndio ukitaka kuyaponyesha makovu lazima ufe.
Na formular sita za akiba bado wamebakiwa nayo. Kwa hiyo lazima upinzani ujitayarishe kwa pigo takatifu, Ana wana nguvu za kutisha kufanya watachotaka.
Reconciliation yeyote ile lazima iwe ya udhati na comprehensive.
Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania in terms of political awakening, there is no way, upinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.
Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipasi Lissu wa Chadema.
Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi hii zinakwendaje, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.
Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM pekee, hivyo ni CCM pekee ndio inakwenda kushinda.
Vyama vya upinzani ni maarufu maeneo ya mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.
Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja ya TPSF hapo mbele ni kweli.
Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri
Mkuu Kishimbe wa Kishimbe , kwanza asante kwa objectivity
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as...
www.jamiiforums.com
nimemshauri rais Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, na ushindi wa kishindo wa Magufuli na CCM, na kufuatia good track record ya utendaji wake, na kukubalika kwake na CCM, upinzani utabwaga chini na kuragazwa sana, kiasi cha kupata Bunge la CCM tupu.
Kufuatia kipigo hicho cha upinzani kitaacha makovu ya maumivu kwa upinzani, then tunamuomba rais Magufuli, aingie huruma, atangaze kuwa ata wateua Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa ili angalau wakalete msisimko Bunge la CCM.
Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua the reality ya ushindi wa uchaguzi hautokani na kura tuu zilizopigwa, yaani the votes casted, but the votes counted!, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count!.
Nalisema hili mapema ili kuwasaidia Watanzania wenzetu, kwa kuwaandaa kisaikolojia kwa kitakacho tokea, ili watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa stress na despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, hivyo bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, na depression ya kushindwa kwasababu they knew before, na waliambiwa.
Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa hiyo nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini in terms of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza tuu bure kura yako!.
Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze bure kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuteuliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, bora mumpigie Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako!.
Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.
Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.
Ashauriwe kuheshimu haki ya watu kuchagua kiongozi wanayemtaka. Nchi haitaendelea chini ya utawala dhalimu uliopatikana kwa upokaji wa haki ya wananchi kwa kutumia NEC, Jeshi (usalama polisi n.k)na watumishi waserikali wasiojitambua
Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania in terms of political awakening, there is no way, upinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.
Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipasi Lissu wa Chadema.
Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi hii zinakwendaje, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.
Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM pekee, hivyo ni CCM pekee ndio inakwenda kushinda.
Vyama vya upinzani ni maarufu maeneo ya mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.
Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja ya TPSF hapo mbele ni kweli.
Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri
Mkuu Kishimbe wa Kishimbe , kwanza asante kwa objectivity
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as...
www.jamiiforums.com
nimemshauri rais Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, na ushindi wa kishindo wa Magufuli na CCM, na kufuatia good track record ya utendaji wake, na kukubalika kwake na CCM, upinzani utabwaga chini na kuragazwa sana, kiasi cha kupata Bunge la CCM tupu.
Kufuatia kipigo hicho cha upinzani kitaacha makovu ya maumivu kwa upinzani, then tunamuomba rais Magufuli, aingie huruma, atangaze kuwa ata wateua Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa ili angalau wakalete msisimko Bunge la CCM.
Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua the reality ya ushindi wa uchaguzi hautokani na kura tuu zilizopigwa, yaani the votes casted, but the votes counted!, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count!.
Nalisema hili mapema ili kuwasaidia Watanzania wenzetu, kwa kuwaandaa kisaikolojia kwa kitakacho tokea, ili watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa stress na despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, hivyo bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, na depression ya kushindwa kwasababu they knew before, na waliambiwa.
Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa hiyo nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini in terms of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza tuu bure kura yako!.
Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze bure kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuteuliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, bora mumpigie Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako!.
Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.
Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.
Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani, ni keshokutwa tuu, siku ya Jumatano ijayo, kwa mazingira ya the political dynamics za siasa za nchi yetu, hali halisi ya uwanja wetu wa siasa ulivyo, katiba yetu ilivyo, sheria yetu ya uchaguzi ilivyo, Tume yetu ya uchaguzi ilivyo, hali ya political awareness ya Watanzania in terms of political awakening, there is no way, upinzani anaweza kushinda urais wa nchi hii, hivyo tunaposema CCM itatawala milele, naomba mtuelewe.
Katika uchaguzi huu, kwa upande wa urais, ushindani mkali ni wagombea mawili tuu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli wa CCM na Tundu Antipasi Lissu wa Chadema.
Kutokana na sifa hiyo ambayo Lissu anamzidi Magufuli, ni kweli mikutano ya kampeni ya Tundu Lissu, ina hamasa kubwa na makundi makubwa ya watu, ambayo kisasa wanayaita nyomi, hali inayopelekea watu wajinga wajinga wasiojua siasa za kweli za nchi hii zinakwendaje, kudhani hayo makundi ya watu ndio kura hizo! hivyo kujiaminisha Tundu Lissu ndiye anakwenda kushinda urais!, masikini hawa, hawajui decisive votes kwa uchaguzi wa Tanzania, zinatoka wapi!.
Determinant ya kura za ushindi kwa uchaguzi wa Tanzania, ni kura za watu wa vijijini. Chama pekee kilichowafikia Watanzania wote hadi vijijini ni CCM pekee, hivyo ni CCM pekee ndio inakwenda kushinda.
Vyama vya upinzani ni maarufu maeneo ya mijini tuu, hizo nyomi za hayo makundi ya watu kwenye mikutano ya kampeni, sio kura hizo, kura zenyewe halisi ziko vijijini na huko ndiko CCM ilipo, hivyo kura zote za vijijini ni za CCM.
Ukiondoa hizo kura za vijijini ambazo tayari ziko kibindoni kwa CCM, na kama hii hoja ya TPSF hapo mbele ni kweli.
Then there is no way Upinzani unaweza kushinda uchaguzi huu, hivyo mshindi wa uchaguzi Mkuu huu ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli na CCM. Kwa vile there's no way Tundu Lissu anaweza kushinda uchaguzi huu, kuna mwana jf mwenzetu huyu Kishimbe wa Kishimbe , amatoa mawazo mazuri sana kwenye bandiko hili.
ameshauri
Mkuu Kishimbe wa Kishimbe , kwanza asante kwa objectivity
3. Hoja yako ya tatu, ni hoja ya msingi sana, nakuunga mkono asilimia 100% chini ya 100%, tubadili katiba, tuweke clause, wagombea wote wa urais, watakao pata kura zaidi ya asilimia 10%, wawe wabunge wa taifa automatically.
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, ikitokea Tundu Lissu ameshindwa uchaguzi huu kihalali katika Uchaguzi Mkuu huru na wa haki, jee tumchagize JPM, for the the sake of national unity, and to heal the nation, amteue Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa katika zile nafasi zake kumi za uteuzi as...
www.jamiiforums.com
nimemshauri rais Magufuli, kwa vile atashinda kwa kishindo, na ushindi wa kishindo wa Magufuli na CCM, na kufuatia good track record ya utendaji wake, na kukubalika kwake na CCM, upinzani utabwaga chini na kuragazwa sana, kiasi cha kupata Bunge la CCM tupu.
Kufuatia kipigo hicho cha upinzani kitaacha makovu ya maumivu kwa upinzani, then tunamuomba rais Magufuli, aingie huruma, atangaze kuwa ata wateua Lissu, Zitto, Mbowe, Lipumba na Mbatia, wawe wabunge wa kuteuliwa ili angalau wakalete msisimko Bunge la CCM.
Kutokana na Watanzania wenzetu wengi kuwa na too great expectations kuwa Tundu Lissu atashinda uchaguzi huu wakati sisi tunaojua the reality ya ushindi wa uchaguzi hautokani na kura tuu zilizopigwa, yaani the votes casted, but the votes counted!, hivyo the determinant of victory is not vote cast but vote count!.
Nalisema hili mapema ili kuwasaidia Watanzania wenzetu, kwa kuwaandaa kisaikolojia kwa kitakacho tokea, ili watakapo kutana na ukweli huu kwenye matokeo, wasije kuchanganyikiwa kwa stress na despair kwa kutoamini macho yao na masikio yao kwa kitakacho tokea, hivyo bandiko hili ni msaada mkubwa kwao, kuzuia panic na kupata pressure, na depression ya kushindwa kwasababu they knew before, na waliambiwa.
Kumpigia kura mtu ambaye hatashinda, ingawa hiyo nayo ndio kutumia haki yako ya kidemokrasia kuwachagua viongozi unaowataka, lakini in terms of utawala wa nchi, unakuwa umepoteza tuu bure kura yako!.
Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze bure kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa, hivyo waliopanga kumpigia kura Tundu Lissu, wasiwe na wasiwasi, Tundu Lissu hata asiposhinda urais, bado atakuwa ni Mbunge wa kuteuliwa na kuwatumikia wananchi, hivyo natoa wito, badala ya kumpigia kura Tundu Lissu, hizo kura za Lissu, bora mumpigie Dr. John Pombe Joseph Magufuli, kisha Magufuli atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, hivyo hapo unakuwa hujapoteza kura yako!.
Hii hoja ya wagombea wote wa urais watakaopata zaidi ya asilimia 10% ya kura za urais, kuingia Bungeni automatically, kutajenga sana a national unity.
Mnaonaje hili, la kura za Lissu apigiwe Magufuli?.
Viongozi wakubwa kiumri na kisiasa kuliko yeye ambao ni wastaafu walijaribu kumshauri jambo kuhusu wahanga wa tetemeko kule bukoba kwa kumwambia hata kama hautawalipa si vyema kuwaaibisha wema ilikua kuwapa pole kuliko kusema 'mwaaafwa'
Akasema kawajibu wastaafu kwamba wanawashwa washwa
Kama ukishindwa kuwastiri wazee Nana utamstahi
He can build whatever he wants even you didn't mention International Airport in Rural area which no one use except himself and his family members
The issue was... Can he Respect to the elders?
Mwalimu Nyerere was a president for more than 24 years forget about airport in Butiama hakuweka hata lami kwao
Tanzania hii ni ingine ambayo watu wanalazimishwa kuamini na kukibali uongo media zinakufa sasa.... Hakuna Habari zaidi ya kuunga mikono juhudi
Kila gazeti ni gazeti la Uhuru na Daily News
Shilingi angalia pande mbili
Mkuu P
Bandiko lako lote limejikita kwenye Para ya 1 na ya 11... very objective and very fair. The Economist ya juzi waliandika kitu kinachofanana na hicho wakisema "President Magufuli likely to win unfair vote in Tanzania"
Tuseme ukweli nchi yetu na wazalendo wa nchi hii wafanye jambo. CCM ni chama kikubwa mno kutishiwa na vyama vya 90s ... hakukuwa na haja ya kutoifanya tume kuwa huru au too much use of state apparatus kuisaidia CCM uchaguzi ambao ni "obvious " inawaza shinda most of the time... CCM has all it takes kuanzia resources mpaka mifumo bila kuathiri credibility ya democracy...
Sasa huo uoga wa kutishia amani na Marsha ya watu na mabunduki na mabon CCM inatoa wapi?
Something wrong somewhere
Ubunge kwa mgombea urais mwenye possibility ya more than 30% of total voters ni dhihaka. May be awe makam wa kwanza wa rais au something similar... au awe guaranteed basdhi ya mambo kama ilivo kwa Executives wengine.
Mkuu P
Bandiko lako lote limejikita kwenye Para ya 1 na ya 11... very objective and very fair. The Economist ya juzi waliandika kitu kinachofanana na hicho wakisema "President Magufuli likely to win unfair vote in Tanzania"
Tuseme ukweli nchi yetu na wazalendo wa nchi hii wafanye jambo. CCM ni chama kikubwa mno kutishiwa na vyama vya 90s ... hakukuwa na haja ya kutoifanya tume kuwa huru au too much use of state apparatus kuisaidia CCM uchaguzi ambao ni "obvious " inawaza shinda most of the time... CCM has all it takes kuanzia resources mpaka mifumo bila kuathiri credibility ya democracy...
Sasa huo uoga wa kutishia amani na Marsha ya watu na mabunduki na mabon CCM inatoa wapi?
Something wrong somewhere
Ubunge kwa mgombea urais mwenye possibility ya more than 30% of total voters ni dhihaka. May be awe makam wa kwanza wa rais au something similar... au awe guaranteed basdhi ya mambo kama ilivo kwa Executives wengine.
Mkuu nimependa bandiko lako japo limesheheni taarifa za kusadikika na tuhuma za hisia au kudhania tu.
Ni kweli CCM ni chama kikubwa cha kisiasa ambacho kimejijenga kama Taasisi imara hasa kwenye uongozi wa M/Kiti na Katibu Mkuu wake wa sasa. Wote wawili hawakuwahi kuwa ndani ya mfumo wa "huyu ni mwenzetu". Wametumia maarifa, elimu na uwezo wao binafsi wa uongozi kukiimarisha chama. Km kwenye Sekretariati ya chama kuna watendaji wenye uwezo, maono na wawajibikaji.
Si kweli uongozi wa CCM unatumia vyombo vya Dola kukandamiza vyama vya upinzani. Km matumizi ya hivyo vyombo, hasa Jeshi la Polisi kwenye mchakato wote wa Uchaguzi Mkuu ndio umewezesha huo uchaguzi kukamilika kwa usalama japo kumekuwapo na mapungufu. Ni kwasababu hiyo wewe na mimi tuko salama kiasi cha kujadiliana humu JF labda tungekuwa wakimbizi. Nasema hivyo kutokana na kauli za uchochezi zilizokuwa zikitolewa kwenye kampeni. Kama Serikali isingetumia hivyo vyombo, amani ingevujika (tayari kuna matukio ya mauaji na uhalifu kwenye baadhi ya maeneo ya uchaguzi).
Kinachohitajika ni viongozi wa upinzani kurejea kwenye meza yao kupanga jinsi na namna ambayo wanaweza kushinda chaguzi pasipo kuilazimisha Serikali kutumia vyombo vyake kulinda usalama wa raia na mali zao. Km wanapaswa kuwa karibu na wapiga kura kujua, kwa undani, kero zao za kijamii, kisiasa na kiuchumi ili waje na Sera zilizo bora zaidi kuliko za Chama Tawala. Kuendelea kulalamika na kuilaumu Serikali ni kitendo cha kukata tamaa mithili ya mtu asiye na maono au mtoto - (mtoto akililia wembe ... )
He can build whatever he wants even you didn't mention International Airport in Rural area which no one use except himself and his family members
The issue was... Can he Respect to the elders?
Mwalimu Nyerere was a president for more than 24 years forget about airport in Butiama hakuweka hata lami kwao
Tanzania hii ni ingine ambayo watu wanalazimishwa kuamini na kukibali uongo media zinakufa sasa.... Hakuna Habari zaidi ya kuunga mikono juhudi
Kila gazeti ni gazeti la Uhuru na Daily News
Shilingi angalia panda, Mkoa anaotoka Ambao ni Geit
He can build whatever he wants even you didn't mention International Airport in Rural area which no one use except himself and his family members
The issue was... Can he Respect to the elders?
Mwalimu Nyerere was a president for more than 24 years forget about airport in Butiama hakuweka hata lami kwao
Tanzania hii ni ingine ambayo watu wanalazimishwa kuamini na kukibali uongo media zinakufa sasa.... Hakuna Habari zaidi ya kuunga mikono juhudi
Kila gazeti ni gazeti la Uhuru na Daily News
Shilingi angalia pande mbili
It is possible exchanging views with you is a waste of my valuable time. Type of the mind you build a hospital where there in no hospital, a very low mind you tells is not necessary.
You build a mortuary because bodies rot, you low mind says not necessary.
Maternity hospital to save life for your mother because many of them dies, the low mind says we did not ask for it.
Such stupid mentality can not be listen to. Utoto utoto utoto.
It is possible exchanging views with you is a waste of my valuable time. Type of the mind you build a hospital where there in no hospital, a very low mind you tells is not necessary.
You build a mortuary because bodies rot, you low mind says not necessary.
Maternity hospital to save life for your mother because many of them dies, the low mind says we did not ask for it.
Such stupid mentality can not be listen to. Utoto utoto utoto.
He is not the first to build hospitals in spite of the fact that most of them got neither medications nor equipments...
They just put like Tanzanuans we had no hospitals or health centre any where
Keep watching TBC and believe them
We still got a lot of areas where we do not have most of huduma za kijamii
Anyways nyie mpo kwenye Mavi 8 you know very little what is going on in another side of the country
Wanabodi,
Sasa ili kuwasaidia Watanzania wenzetu wasipoteze bure kura zao, Jee mnaonaje tumshauri Rais Magufuli ambaye yeye ndiye mgombea wa chama cha ushindi, CCM, atoe a solid promise kwa Watanzania, kuwa atamteua Tundu Lissu kuwa Mbunge wa kuteuliwa, kwenye zile nafasi zake kumi za wabunge wa kuteuliwa,
Kwa vile Tundu Lissu ameikimbia nchi, bado naamini, asinge kimbia, JPM, angemteua katika zile nafasi zake kumi za uteuzi. Sasa atawatea, Zitto, JJ.Mnyika na kale kabinti Queen Sendiga.
P
Paskali, Paskali, Paskali.
Umepatwa na nini?
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu ambaye anasema kuwa tarehe 28 Oktoba 2020 kulikuwa na Uchaguzi Mkuu?
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu ambaye anakubaliana na "matumizi ya bilioni 350 kwa kile kilichofanyika Oktoba 28'?
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu ambaye anakubaliana na alichokifanya Ndugai na Halima Mdee 'et al'?
Nimeona AG akinukuliwa na Gazeti la Uhuru juu ya haki za Halima Mdee na wenzake!
Mwanasheria Mkuu ambaye aliukunja mkia wake mithili ya mbwa mwoga wakati Tume ya Uchaguzi ikiinajisi Katiba ya Nchi kwa kuhakikisha kuwa Mawakala wa Vyama vya Watu hawaingii kwenye Vituo vya Kupigia Kura.
Ni Mtanzania gani mwenye akili timamu, mwenye uzalendo na nchi yake, mwenye uchungu na masikini wa Nchi hii ambaye anaweza kuunga mkono matumizi ya shs. bilioni 13.68 za mishahara ya Wabunge hao19 kuhalalisha ubatili wa tarehe 28 Oktoba 2020?
Nakumbuka 'novel' ya " Cry, the beloved Country".
Napata faraja nikijifunza kutoka kwenye Historia kuwa "daima, dhuluma itashindwa".
Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu fundimchundo , nimeguswa na bandiko lako hili, karibu pande hii, mimi ni realist, ma realists wote, hata kama hau support kilichofanyika, lakini when kumetokea kitu kilichotokea, and there is nothing anyone can do to change the situation, ma realists wote tunakubali matokeo, katika muktadha wa appreciating the situation and suggest the best way forward out of the situation.
Vyama vya siasa sio mali ya watu, viongozi, ni mali ya umma, hivyo maamuzi yoyote yatafanywa kwa kutanguliza maslahi ya umma.
Kwenye hili, maslahi ya umma ni kwa wapinzani hao wachache waliopata fursa ya kuingia Bungeni, waingie waka salvage what is left of opposition in Tanzania.
Kwa vile Tundu Lissu ameikimbia nchi, bado naamini, asinge kimbia, JPM, angemteua katika zile nafasi zake kumi za uteuzi. Sasa atawatea, Zitto, JJ.Mnyika na kale kabinti Queen Sendiga.
P
Unaongea vitu ambayo unajua si ukweli
Kujipendekeza kwa kiwango hiki ni kujidanganya mwenyewe
Wewe unajua mtoto wa dada yake na #### alisema hadharani mara hii hatuna haja ya kupoteza risasi ila tutamchona sindano ya sumu hakuchukuliwa hatua
Mtu kapigwa risasi sehemu ya serikali hakuna kilichotokea
Hakuna kesi wala uchunguzi mbaya zaidi hata hela ya matibabu #### akamnyima
Paskali bora kukaa kimya kuliko kua kizabizabina
Swali moja rahisi sana kwako Paskali. CHADEMA ikifa, Watanzania na taifa kwa ujumla tutapata hasara gani? Unaamini NI LAZIMA CHADEMA iendelee kuwepo (exist)?
Maelezo yote hayo marefu sana uliyotoa na ambayo umekuwa ukiyatoa zaidi ya mwaka kuhusu CHADEMA, yanadhihirisha kuwa kwa mazingira ya kisiasa tuliyo nayo Tanzania, HAIWEZEKANI tuwe na mfumo wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini ambao ni BONA FIDE GENUINE.
Halafu, VERY CURIOUSLY, siioni juhudi yako ya dhati kuwaasa wenye dhamana ya kutengeneza mazingira sahihi ya demokrasia ya vyama vingi Tanzania ili kuwezesha vyama kama CHADEMA kuwepo na kufanya shughuli zake kwa ufanisi. Hapo ungeeleweka badala ya kupania kwa makala kadhaa zilizojaa jazba nyingi kutaka CHADEMA IWEPO na ikubaliane na dola tu hata katika mazingira hatarishi kiasi gani!
Mkuu Drifter, kwanza asante kwa mchango wako, very objective, kiukweli tangu nimepandisha uzi huu, wewe ndio mtu wa kwanza kunielewa, kwasababu, kiukweli kabisa, hii jf ya sasa, tuna watu wachache sana, wenye kuweza kusoma bandiko na kisha kujiuliza what is the motive behind.
Chama cha Mapinduzi ni chama cha ukweli na haki, kiliasisiwa na Mwalimu Nyerere, mpenda haki na mtenda haki. Baada ya Mwalimu, CCM ilipitia mageuzi na kuishiwa kuhodhiwa na wenye fedha, hivyo kuzalisha kada kubwa ya makada wa CCM ambao ni makada maslahi, na kwenye uchaguzi, wanakuwa wako tayari kutumia mbinu zozote kushinda uchaguzi. JPM alipoingia, amekuja kuibadili CCM kuirudisha ile CCM ya Nyerere. Sasa ndani ya makada wa CCM, kuna makada wa aina mbili, kuna "CCM Die Hard", hawa ndio wanaotaka kuhakikisha CCM inaupondaponda upinzani na kushinda kwa asilimia 99.9% kwa kutumia mbinu zozote.
Tupo sisi makada "Modern CCM" ambao kutokana na good track ya kazi nzuri ya JPM, CCM innashinda kwa mshindi mzuri safi na clear victory, kushinda kwa haki bila kufanya figisu figisu zozote.
Kwa vile Bunge letu ni Bunge la vyama vingi, mimi naamini kuna baadhi ya wana CCM very genuine, hakupenda kuona baadhi ya wapinzani wakishindwa akiwemo mtu kama Zitto!. Lakini kutokana na wapinzani kukataliwa na wananchi, ili Bunge lichangamke, zile kamati 2 za oversight committee, PAC na LAAC, lazima ziongozwe na wabunge wa upinzania ambao ni vichwa vya ukweli, kwenye hao wabunge wote sijaona watu wa kalibre hiyo ndio maana kila siku, tunamuomba Mwenyekiti wetu, JPM, katika zile nafasi zake 10, awateua wapinzani 4, Zitto, JJ Mnyika, Mbatia na kale kabinti Queen Sendiga.
Ili CCM itawale vizuri inahitaji Upinzani makini, ndio maana kila uchao, naibalasa Chadema humu na ACT Zanzibar, waache ujinga wa kususa. Ili kusasa kwa akili ni kususa kama kwa kususa huko utaachieve something, lakini kususa tuu for the sake of kususa, huku you won't achieve anything huu ni ujinga!.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.