Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
ahhh huko magogoni kutakuwa na sherehe sherehe tuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo ni baada ya barua hii Salva ndio akaingia IKULU sio?..
Je, wakuu zangu haiwezekani kuwa barua hii ilikuwa kwa JK mwenyewe na sio Rostam?..maanake
mwisho wa barua hii kusema kweli ndio umenimaliza kabisaaaaa......Hivi Rostam ndiye mwenye nguvu na sauti ya nani awe nani ktk serikali hii ya JK... ama kweli makubwa haya!..
Kama ni kweli hii barua ni authentic
Ndugu yangu neno "kama" hali apply kwenye barua hii.
Je na ile info kuwa Edo Low.... aliweka watu wake kwenye the latest appointments za wakuu wa Wilaya? Wakuu tuambieni nani haswa ni kiongozi wetu: RA, EL au ....? au wote watatu wanaongoza kwa ubia na wakiamua wanafanya usanii hadharani kuwa wanatofautiana mambo fulanifulani ili kulaghai watu?
respect mkuu haya ndio mambo tuliyo yakosa hapa jamii...
inabidi kuomba uraia wa 'nji' nyingine, hata rwanda!Nimechoka mno! Du, this country!
Blueray,
Kwa habari za haraka sana nimethibitisha kwamba ni kweli HCL haikuwa incorporated!...nimetumbukiziwa na mdau (mtoto wa mjini) ambaye hataki jina lake lifahamike..
This alone inaweza kufungua mambo mengi na tukapata uhakika wa barua, hasa kwa yale madhambi ya wazi yanayofanyika..
Hii kampuni HCL ilikuwa kwa kiasi kikubwa ni ya Jen Ulimwengu...kwa nini alikaa kimya hata baada ya kufanyiwa utumbo wote huu..??
Hapa mpaka sasa tunaenda na imani tu, kwa nini lisi apply? Una irrefutable evidence kwamba hiki ni kifaa authentic?
Tunashukuru kuletewa vijambo, lakini unless unatoa ushahidi usiopingika kirahisi, neno "kama" lina apply.Labda wewe unaweza kusema hivyo kwa sababu unajua nisichojua na hujakiweka hapa, lakini kutokana na info zilizopo hapa, who is to say kwamba hili si shambulio lililopigiwa mahesabu kutoka kwa maadui wa Salva?
Ina maana Salva ni mjinga kweli kiasi hiki? Kuweka such incriminating evidence in print? Evidence iliyosheheni mambo ya siri? Kuanzia ma personal vendetta mpaka mambo ya nchi mpaka kampuni kuendeshwa kinyume cha sheria? Huyu Salva alishindwa kuonana na Rostam wakaongea haya mambo bila kuacha paper trail? Kama document ilikuwa "for your eyes only" na ilikuwa na such damaging info, ilitokaje?
Ndiyo maana nasema kama kweli hiki kitu ni authentic basi tumeumia, to think such an irresponsibly careless person ndiye msemaji wa rais (msemaji/ muandishi wa rais mara nyingine does the thinking for the president a la Sorensen and Kennedy!).Just to think of the possibility makes me shiver.
Sisemi kwamba hii document si authentic, bali inabidi ipatiwe uhakiki kabla ya watu kusema bila ku preface sentensi zetu na "kama".
Just being cautious.
kinachotakiwa sasa ni waandishi walioko on the ground kumuuliza Salva juu ya authenticity ya hii barua na contents zake. Ningependa nimsikie akikana. Like "I never had relations with that letter"...