Kwanza siyo muaminifu na bakhresa (chawa wake) yupo radhi kuua biashara yako ili yake iendelee.Bakhresa alishakataa Mali zake kuhesabiwa
Una ugomvi/bifu na bakhresa!?Kwanza siyo muaminifu na bakhresa (chawa wake) yupo radhi kuua biashara yako ili yake iendelee.
Mfano; baharini, yaani chawa wa bakhresa wanahonga kwa manahodha wa boat nyingine ili wazitie chumvi vife vyake viendelee kuwepo, hataki ushindani, but kwenye mpira kachemka kakutana na magwiji Yanga na Simba!.
Juzi alikuwa radhi kumuaribia bwana mdogo Feisal, kisa pesa!.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwani Mo na CR7 nani ana hela?
Samatta na diamond nani ana hela?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeshawaelekeza sana hili suala ila hawa wake wa GSM ni wagumu kuelewaKwa data za ulipaji kodi MO yuko zaidi ya SSB.
Tatizo hili swala lina chuki mno kutoka kwa omba omba wanaopewa misaada pale KKOO
Imebid ni GoogleKwani Mo na CR7 nani ana hela?
Samatta na diamond nani ana hela?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yani bora Waislamu wa madhehebu ya shia kuliko sunni. Go go go gooo Mo. Allah na Imam wake wakutangulie.Una ugomvi/bifu na bakhresa!?
Hii ni kweli kabisa kuna watu wapo low key sana ila Wana 💰If you keep your business private they cannot estimate how much money you have, they can't add you to the list. .
The less data/information you give to the public, the less likely they will find out that you are rich..!
Vunjabei na konde wote wana utajiri wa 2m$ broooooooaaaa 😹Forbes siwaamini. Yani vunja bei hayumo pamoja na mkwepa kodi mama kibonge Salome mgaya?
🤣🤣Hatuna madhehebuYani bora Waislamu wa madhehebu ya shia kuliko sunni. Go go go gooo Mo. Allah na Imam wake wakutangulie.
Accumen Mo Mlolongo adriz Covax Gavana Kikwajuni One Ami Dalmine battawi ,Nyau gonzare
Kama walivyokamfutilia jackline mengi wakadai ni mwanamke tajiri anechipukia afrikaSidhani kama hao fobez hawaelewi hiyo kitu, i mean wana watu wao na wanafuatilia...
Ukitoka nafasi ya mumeo inayofuata ni ya yeyeMuuza magodoo yuko nafasi ya ngapi
Lini alikataa?Bakhresa alishakataa Mali zake kuhesabiwa
ila wewe mke wa mo ndio mwenye uelewa?Nimeshawaelekeza sana hili suala ila hawa wake wa GSM ni wagumu kuelewa
Shia,salaf,suni,ahmadiya ni nini?🤣🤣Hatuna madhehebu