Forbes Africa: MO Dewji ndiye tajiri namba 1 Afrika Mashariki na Kati

Forbes Africa: MO Dewji ndiye tajiri namba 1 Afrika Mashariki na Kati

Wataka kusema nn? Uislamu ni mmoja hakuna dhehebu la uislamu achaga zako ..Leta izo Aya kuonyesha Mungu kaleta madhehebu ndani ya uislamu kwamba hata msikitini mmoja hawawezi kushare na vitabu tofauti.
Nilikuuliza mwanzo shia,sunni,salafi,ahmadiya ni kitu gani?
 
Huyo wa kwenye mpira ni mtoto wa Bakhresa, si Bakhresa mwenyewe.
Mali yote ni ya mzee mkuu, hao ni katika usimamizi tu, tofauti na MO all business ziko under MO.

Ndiyo maana hata uzalishaji wa mikate anayehusika pakubwa si mzee but branded AZAM ili ku_make money.

Timu ni mali ya bakhresa ilihali ipo chini ya kijana wake!.
 
Watu wanahoji kuhusu S S Bakhresa, kuna mambo kadhaa ya kujua
1. Ili uwe Bilionea kwa viwango vya Forbes ni walau uwe na utajiri wa Dola za Marekani Bilioni moja - $1,000,000,000, 2. Ili uwe Milionea kwa viwango vya Forbes basi walau uwe na utajiri wa kiasi cha Dola za Marekani Milioni moja. ($1,000,000).

Sasa twende taratibu;

Dola Bilioni moja ni shilingi ngapi za Kitanzania(huwa mnaita pesa za madafu) ; kwa mujibu wa BOT leo Dola 1 ya Marekani ni sawa na Shilingi 2339.026 za Tanzania
Hivyo; 1,000,000,000 x 2339.026 = 2,339,026,000,000 Hii ni Trilion 2 Bilion Mia tatu thelathini na tisa na Milioni Ishirini na sita.

Tunakubaliana kuwa Bakhresa ni tajiri lakini katika vyanzo vya Forbes utajiri wake haujafikia hizo Trilion mbili na Bilioni Mia Tatu za Kitanzania ambazo ni walau sawa na Dola Bilioni Moja.

Kwa mujibu wa Forbes utajiri wa Bakhresa unakadiriwa kuwa walau Dola Milioni Mia Sita na Sitini - US 660,000,000 ambazo ni sawa na hela za kitanzania 1,542,420,000,000 Trilioni Moja,Bilion Mia tano arobaini na mbili milioni mia nne ishirini.
Kumbuka Mo Dewji ana walau Trilioni tatu na Bilioni Mia tano za Kitanzania.

Sasa basi; kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali; Orodha ya Matajiri Tanzania ni kama ifuatavyo:

1. Mohamed Dewji - Metl
2. Rostam Aziz - Caspian, Mining, Gas, Telecom - etc
3. Said Salim Bakhressa - Bakhressa Group
4. Reginald Mengi - IPP
5. Ally Awadh - Petroleum
6. Shekhar Kanabar - Synarge
7. Subash Patel - Motisum Group
8. Ghalib Said Mohamed - GSM
9. Fida Hussein - Africarriers
10. Yusuph Manji - Quality Group
 
Mbona hakuna cha maana kinacho onekana kwa macho cha huyu kijana tajiri? Au mauzo ya hutu tujezi twa hawa mbumbumbu na mavuvuzela?
 
If you keep your business private they cannot estimate how much money you have, they can't add you to the list. .
The less data/information you give to the public, the less likely they will find out that you are rich..!
Information TRA inatosha
 
Tajiri wa jarida la Forbes huyo! Ukija kwenye uhalisia, Mwamedi ni mtoto mdogo sana.

Angekuwa ndiyo tajiri namba 1, asingekuwa anahangaika ku copy na ku paste bidhaa za wenzake. Ubunifu 0! Anatembelea tu nyota ya mbumbumbu fc.
Sidhani kuna mtu kazuiwa igilizia
 
Tukiondoa chuki pitieni kwenye website za kampuni husika mtaona mauzo ya bidhaa MO kamzidi SSB mbali
 
Back
Top Bottom