Forbes Africa: MO Dewji ndiye tajiri namba 1 Afrika Mashariki na Kati

Forbes Africa: MO Dewji ndiye tajiri namba 1 Afrika Mashariki na Kati

upuuzi mtupu kwahiyo inasaidia nini sasa, maana hata kipindi cha jiwe forbes afrika walikua wanakuja sana kuchukua hela ili wamfagilie chini ya usimamizi wa dokta abasi
 
Ripoti za kubumba, SSB ndo tajiri namba moja nchini kwasababu kila kitu kinaonekana kwa macho. Huwenda SSB hataki wazi utajiri wake wote
 
Hajwi Manyara atakua wa kwanza ila kwa pembeni kidooogo mpaka uzooom utamuona nae ni namba moja
 
Sidhani kama hao fobez hawaelewi hiyo kitu, i mean wana watu wao na wanafuatilia...
Mo ananunua viewers, ooh sorry mo anawahonga Forbes ili wamtaje aweze kukopesheka huko duniani,
NB: don't take me seriously
 
Back
Top Bottom