kalagabaho
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,457
- 5,893
Akon ni raia wa SENEGAL??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata tajiri Jeff utajiri wake ni USD billion 137.Na ndo tajiri number moja duniani.Usd billion 139 ni utajiri wa matajiri wakubwa duniani. Hata Beyonce na Jay z combined unaeza usipate hata 1.5 Billion usd..
Labda kama unazungumzia Tsh
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada amekimbia lakini haya ni madafu ya moja ya nchi ya Africa ambayo mtoa mada amecopy na kuja kupaste huku [emoji5]Hata tajiri Jeff utajiri wake ni USD billion 137.Na ndo tajiri number moja duniani.
Weka link tusome wenyewe, maana maelezo hayajajitosheleza.Jarida la Forbes la nchini Marekani limetoa orodha ya Wanamuziki Kumi(10)Matajiri zaidi Afrika,Nigeria yaongoza.
10: Oliver Mtukudzi (R.I.P) Zimbabwe,Billion 2.3
9: Jidenna,Nigeria billion 2.3
8: Hugh Masekela,South Africa billion 3.4(huyu haimbi,bali ni mpuliza tarumbeta tu)
7: Thashenow,Zimbabwe Billion13.9
6: Sarkodie,Ghana Billion 16.2
5: Davido,Nigeria Billion 37
4: Wizkid Ayo,Nigeria Billiom 46.2
3: Don Jazzy,Nigeria Billion 69.5
2: Black Coffee,South Africa Billion 139,
Na namba moja imekamatwa na Msenegal anaefanyia shughuli zake za kimuziki Nchini Marekani, Akoni Billion 185.3,
NB:Hizo Billions ni Asset(Vitu wanavyomiliki,sio Pesa za Mfukoni
Astala Vista
Hahahaha,yaani majanga.Mtoa mada amekimbia lakini haya ni madafu ya moja ya nchi ya Africa ambayo mtoa mada amecopy na kuja kupaste huku [emoji5]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama ni assets, zimethaminishwa kwa currency gani?Ni Arsset(Vitu anavyomiliki)sio pesa za mfukoni
I think iko converted to each artist national currency, na si dollar mkuu..1B usd sio mchezo..
Pesa ndefu sana hio asa ukiongelea 139 si ni kubwa kuliko budget za nchi nyingi kwa mwaka mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
1B usd sio mchezo..
Pesa ndefu sana hio asa ukiongelea 139 si ni kubwa kuliko budget za nchi nyingi kwa mwaka mzima
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada amekimbia lakini haya ni madafu ya moja ya nchi ya Africa ambayo mtoa mada amecopy na kuja kupaste huku [emoji5]
Sent using Jamii Forums mobile app