Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Hiyo ripoti kama Dudubaya kakosa ni ya uongo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe ulijua ni raia wa wapi?Akon ni raia wa SENEGAL??
Kwani wewe ulijua ni raia wa wapi?
Nilikuwa huko juzi ila nimerudi Mtwara mara moja. Nikija nakupa, kuwa tu mvumilivu.My furendi Viatu vya Samaki nakudai koro show zangu tangu mwaka jana
Sent using Jamii Forums mobile app
Tsh ama USD hizo bilionJarida la Forbes la nchini Marekani limetoa orodha ya Wanamuziki Kumi(10)Matajiri zaidi Afrika,Nigeria yaongoza.
10: Oliver Mtukudzi (R.I.P) Zimbabwe,Billion 2.3
9: Jidenna,Nigeria billion 2.3
8: Hugh Masekela,South Africa billion 3.4(huyu haimbi,bali ni mpuliza tarumbeta tu)
7: Thashenow,Zimbabwe Billion13.9
6: Sarkodie,Ghana Billion 16.2
5: Davido,Nigeria Billion 37
4: Wizkid Ayo,Nigeria Billiom 46.2
3: Don Jazzy,Nigeria Billion 69.5
2: Black Coffee,South Africa Billion 139,
Na namba moja imekamatwa na Msenegal anaefanyia shughuli zake za kimuziki Nchini Marekani, Akoni Billion 185.3,
NB:Hizo Billions ni Asset(Vitu wanavyomiliki,sio Pesa za Mfukoni
Astala Vista
Arsset??Ni Arsset(Vitu anavyomiliki)sio pesa za mfukoni
Alistaafu muzikiQ-chief hayumo?
Du yaani wamekuja hadi bilioni 3 DOMO hayupo? Si mwaka 2012 alisema account yake ina zaidi ya 1.5B? Au ilikuwa ya ZIMBABWE?Jarida la Forbes la nchini Marekani limetoa orodha ya Wanamuziki Kumi(10)Matajiri zaidi Afrika,Nigeria yaongoza.
10: Oliver Mtukudzi (R.I.P) Zimbabwe,Billion 2.3
9: Jidenna,Nigeria billion 2.3
8: Hugh Masekela,South Africa billion 3.4(huyu haimbi,bali ni mpuliza tarumbeta tu)
7: Thashenow,Zimbabwe Billion13.9
6: Sarkodie,Ghana Billion 16.2
5: Davido,Nigeria Billion 37
4: Wizkid Ayo,Nigeria Billiom 46.2
3: Don Jazzy,Nigeria Billion 69.5
2: Black Coffee,South Africa Billion 139,
Na namba moja imekamatwa na Msenegal anaefanyia shughuli zake za kimuziki Nchini Marekani, Akoni Billion 185.3,
NB:Hizo Billions ni Asset(Vitu wanavyomiliki,sio Pesa zao za Mfukoni)Zime convertiwa Kwa Currency ya Tanzania
#Astala Vista
Bill Gates mwenyewe hajaufikia, net worth zao hao wanamuziki ni Million usd huko Forbes jamaa kachanganya madawaUsd billion 139 ni utajiri wa matajiri wakubwa duniani. Hata Beyonce na Jay z combined unaeza usipate hata 1.5 Billion usd..
Labda kama unazungumzia Tsh
Sent using Jamii Forums mobile app
Au afande,Q-chief hayumo?
Don jazzy ana lebel kubwa tuu hapa Africa na ina wasanii wakubwaHivi huyu Don Jazzy kaimba nyimbo gani? Manake mi nlimwona for the first time kwenye nyimbo Collabo ya P square
Sent using Jamii Forums mobile app
Je diamond na aliJarida la Forbes la nchini Marekani limetoa orodha ya Wanamuziki Kumi(10)Matajiri zaidi Afrika,Nigeria yaongoza.
10: Oliver Mtukudzi (R.I.P) Zimbabwe,Billion 2.3
9: Jidenna,Nigeria billion 2.3
8: Hugh Masekela,South Africa billion 3.4(huyu haimbi,bali ni mpuliza tarumbeta tu)
7: Thashenow,Zimbabwe Billion13.9
6: Sarkodie,Ghana Billion 16.2
5: Davido,Nigeria Billion 37
4: Wizkid Ayo,Nigeria Billiom 46.2
3: Don Jazzy,Nigeria Billion 69.5
2: Black Coffee,South Africa Billion 139,
Na namba moja imekamatwa na Msenegal anaefanyia shughuli zake za kimuziki Nchini Marekani, Akoni Billion 185.3,
NB:Hizo Billions ni Asset(Vitu wanavyomiliki,sio Pesa zao za Mfukoni)Zime convertiwa Kwa Currency ya Tanzania
#Astala Vista
Mkikosa mke mwema mnalaumu eti nimelogwa nashida gani mbona sipendwi sipati wa kutulia naye sasa kwa hali hii lazima ukose.Ila wabongo na ujuaji mwingi tunaleta taabu sana humu,uzi umeletwa kwa kishwahili na mshwahili mnataka rate iandikwe kiingereza.mna matatizo gani???
Ukiambiwa 46tsh bln,ili upate picha halisi ya kinachoazungumziwa,sasa tunavyoandikiwa $89bln za bill gates,sijui hata huwa tunaelewaje katika uhalisia,badala mtu aandike tu jamaa ana utajiri wa shillingi tillion 200+ baasi.