Forbes: Wanamuziki 10 matajiri Afrika 2019

Forbes: Wanamuziki 10 matajiri Afrika 2019

Jarida la Forbes la nchini Marekani limetoa orodha ya Wanamuziki Kumi(10)Matajiri zaidi Afrika,Nigeria yaongoza.

10: Oliver Mtukudzi (R.I.P) Zimbabwe,Billion 2.3

9: Jidenna,Nigeria billion 2.3

8: Hugh Masekela,South Africa billion 3.4(huyu haimbi,bali ni mpuliza tarumbeta tu)

7: Thashenow,Zimbabwe Billion13.9

6: Sarkodie,Ghana Billion 16.2

5: Davido,Nigeria Billion 37

4: Wizkid Ayo,Nigeria Billiom 46.2

3: Don Jazzy,Nigeria Billion 69.5

2: Black Coffee,South Africa Billion 139,

Na namba moja imekamatwa na Msenegal anaefanyia shughuli zake za kimuziki Nchini Marekani, Akoni Billion 185.3,
NB:Hizo Billions ni Asset(Vitu wanavyomiliki,sio Pesa za Mfukoni

Astala Vista
Tsh ama USD hizo bilion

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jarida la Forbes la nchini Marekani limetoa orodha ya Wanamuziki Kumi(10)Matajiri zaidi Afrika,Nigeria yaongoza.

10: Oliver Mtukudzi (R.I.P) Zimbabwe,Billion 2.3

9: Jidenna,Nigeria billion 2.3

8: Hugh Masekela,South Africa billion 3.4(huyu haimbi,bali ni mpuliza tarumbeta tu)

7: Thashenow,Zimbabwe Billion13.9

6: Sarkodie,Ghana Billion 16.2

5: Davido,Nigeria Billion 37

4: Wizkid Ayo,Nigeria Billiom 46.2

3: Don Jazzy,Nigeria Billion 69.5

2: Black Coffee,South Africa Billion 139,

Na namba moja imekamatwa na Msenegal anaefanyia shughuli zake za kimuziki Nchini Marekani, Akoni Billion 185.3,
NB:Hizo Billions ni Asset(Vitu wanavyomiliki,sio Pesa zao za Mfukoni)Zime convertiwa Kwa Currency ya Tanzania

#Astala Vista
Du yaani wamekuja hadi bilioni 3 DOMO hayupo? Si mwaka 2012 alisema account yake ina zaidi ya 1.5B? Au ilikuwa ya ZIMBABWE?
 
Mkuu hapo namba 8 mbona sikuelewi sababu nina album ya late bra Hugh Masekela Ina hit 2 Kali, Tanai na stimela sielewi unaposema haimbi

renegade
 
Ila wabongo na ujuaji mwingi tunaleta taabu sana humu,uzi umeletwa kwa kishwahili na mshwahili mnataka rate iandikwe kiingereza.mna matatizo gani???

Ukiambiwa 46tsh bln,ili upate picha halisi ya kinachoazungumziwa,sasa tunavyoandikiwa $89bln za bill gates,sijui hata huwa tunaelewaje katika uhalisia,badala mtu aandike tu jamaa ana utajiri wa shillingi tillion 200+ baasi.
 
kaka DOMOND ana miredio,mi tv,mikaranga,mipafyum,mizoom,mistudio,minyumba sauz,mistate hausi miwili,madale na mbezi, humu hayumo? LIST FEKI HII hahahahahahahahaa..
 
Jarida la Forbes la nchini Marekani limetoa orodha ya Wanamuziki Kumi(10)Matajiri zaidi Afrika,Nigeria yaongoza.

10: Oliver Mtukudzi (R.I.P) Zimbabwe,Billion 2.3

9: Jidenna,Nigeria billion 2.3

8: Hugh Masekela,South Africa billion 3.4(huyu haimbi,bali ni mpuliza tarumbeta tu)

7: Thashenow,Zimbabwe Billion13.9

6: Sarkodie,Ghana Billion 16.2

5: Davido,Nigeria Billion 37

4: Wizkid Ayo,Nigeria Billiom 46.2

3: Don Jazzy,Nigeria Billion 69.5

2: Black Coffee,South Africa Billion 139,

Na namba moja imekamatwa na Msenegal anaefanyia shughuli zake za kimuziki Nchini Marekani, Akoni Billion 185.3,
NB:Hizo Billions ni Asset(Vitu wanavyomiliki,sio Pesa zao za Mfukoni)Zime convertiwa Kwa Currency ya Tanzania

#Astala Vista
Je diamond na ali
 
Ila wabongo na ujuaji mwingi tunaleta taabu sana humu,uzi umeletwa kwa kishwahili na mshwahili mnataka rate iandikwe kiingereza.mna matatizo gani???

Ukiambiwa 46tsh bln,ili upate picha halisi ya kinachoazungumziwa,sasa tunavyoandikiwa $89bln za bill gates,sijui hata huwa tunaelewaje katika uhalisia,badala mtu aandike tu jamaa ana utajiri wa shillingi tillion 200+ baasi.
Mkikosa mke mwema mnalaumu eti nimelogwa nashida gani mbona sipendwi sipati wa kutulia naye sasa kwa hali hii lazima ukose.
 
Back
Top Bottom