Nsibhwene
JF-Expert Member
- Dec 8, 2016
- 293
- 217
JF hii ni fursa muhimu na kwa anayetaka kujifunza, afanye hivyo. Kuna watu vipaji vyao ni kukosoa tu. Na wanafanya hivyo, sio kwa nia njema bali wamekuwa wamezaliwa na wivu, husda na kamwe hataki kuona watu walio Karibu nao wanafanikiwa.Ndugu JEMBE NA NYUNDO ,wakati unacomment na kutoa warning about this business,tayari tulikuwa tumefikia post zaidi ya 2000, na asilimia kubwa ya comments za wadau wengi wanatoa maonyo na kutahadharisha kuwa hii si biashara lelemama,hats Mtoa mada pia kasema toka mwanzo,tunachosisitiza ni kwamba TUMESOMA MAONI SASA YANATOSHA ,KILICHOBAKI NI KAZI TU- KAZI GANI - KUJISOMEA- KUJADILI- KUSUBIRI MAFUNZO DARASANI,Wewe Jembenyundo na wengine wenye comment kama zako mkiendelea na hoja wengine tunaweza kuamini kuwa MNA AJENDA NYINGINE YA SIRI YA KUWAKATIMISHA TAMAA WATU ILI MUBAKI WACHACHE KWENYE GAME( ingawa bado binafsi sitaki kuamini kuwepo kwa ajenda hiyo ya siri),Jembe tupe uzoefu wako kwenye biashara hii achana na negativity elements za biashara hii,HAKUNA KUNA RAHISI DUNIANI,HATA KUNYWA KINYWAJI PIA NI SHUNGHULI NGUMU.Hivi mnao katisha watu tamaa mnataka wafanye nini sasa? Tunaambiwa ,tunasoma na kuona kuwa biashara hii sasa ndiyo number one duniani,HADI JANA ,EAST AFRICA STATES KUNA TRAININGS INSTITUTIONS NA TRADING/BROKERS COMPANY except Burundi,South Sudan na Tanzania,.Wewe unataka tuendelee kusubiri,hivi Wewe inawezekana hatukuelewi UNATAKA TUFANYE NINI ?
Achana na watu wenye mawazo finyu na wavivu wa kujifunza juu ya fursa mpya. Hakuna kitu kibaya kama Kukariri kanuni za maisha.
Ukizoea umaskini basi unageuza kama ndio jadi yako. Mawazo ya hovyo kabisa. Acha wa tz wajifunze juu ya fursa mpya. Kama unaona haiko upande wako, potea kwenye Uzi.