Black Idea
Senior Member
- Feb 2, 2015
- 124
- 148
inabidi niwe na mfuatiliaji sasaJana South Africa wametoa ripoti ya uchumi ikionesha umepungua kwa 0.7%.
Na ZAR ilianguka kwa 1%.
Weekend iliopita kulitokea na matukio ya kigaidi UK. Pound ilishuka thamani kwa muda then ikarudi.
Kwahiyo unatakiwa uzifahamu hizi news zinaathiri vipi pair zako i.e positive, negative au hazina athari hata kidogo. So, either ujifunze kutrade hizi news au ukae mbali nazo.
Ndo mnavyodanganyana huko kijijini kwenu?Forex Trading haina Tofauti sana Na Betting Company . Maana We Assume that May be EURO will Raise Against Dollar then Tunaweka Hela....
Yeah. Si kitoto.inabidi niwe na mfuatiliaji sasa
Yeah. Si kitoto.
Utafanya analysis zako zikasema GBPUSD ipo bullish. Ukaopen position zako ukaendelea na mishe zako.
Baada ya nusu saa mabomu yakalipuka London, we huna habari.
Badala ya Bullish ngoma ikageuka Bearish, ukajisahau hata SL hukuweka.
Tutakuokotea muhimbili ICU.
Mbona Mmekuja Na Hasira Hivyo... Kwani Hau Bet kwenye Forex ?Ndo mnavyodanganyana huko kijijini kwenu?
Mkuu naomba niunge kwenye group:0717057552Tumeunda study group,tunasoma kitabu kwa pamoja whatsapp
Bet na wewe utuletee mafanikio yako basi..Mbona Mmekuja Na Hasira Hivyo... Kwani Hau Bet kwenye Forex ?
What is leverage?
It is a simplest form,leverage is dept.To use leverage means to use borrowed funds to reap a greater gain than is otherwise possible.When a company or an investiment uses leverage.It means it takes an dept to achieve a goal faster than it is able to with equit capital alone.
(Kwa ufupi ni mkopo unao uchukua then unautumia kupata faida zaidi kwa mabenki yetu hayo ndo kile alichokisema mtaalamu mwenyewe Antonio kuwa wanatumia fixed account zetu sisi tunao wapa pesa then wanaitumia kupiga pesa zaidi.
Sorry mkuu nlipitiwa na usingizi jana! I'll be back ASAP!Why ain't u answerin' my qn boss....??
Waitin' for you hoss.....Sorry mkuu nlipitiwa na usingizi jana! I'll be back ASAP!
Hapo mkuu ningependa unifafanulie zaidi, naelewa kwamba ukiwa long unakuwa unanunua base currency, so hapo kwenye initial liquid labda nielewe kwmb ulinunua EUR 1.00 mnamo saa 13:24:21 na baada ya kama dk 4 uka close position kwa kuuza ile EUR 1.00 mnamo saa 13:28:56, mpk hapo nipo sahihi au nimebugi?Habari wana jamvi!
KARIBUNI TUENDELEE KUJIFUNZA!!
Wakuu nisaidieni hapaMkuu ontario naomba muongozo jinsi ya kufungua real account ya forex, napataje kadi ya forex mfano xm broker, nadeposit vipi pesa into my account, nawithdraw vip pesa?
Plz nijibu mkuu ontario na wengine wenye real accounts
Thanx in advance.