Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nadhani Leo nmekutana na ONTARIO maeneo ya PPf Tower..
We nae hata kuniongelesha...?!

Muda wote nipo pale namsubiri yule afisa wa CMSA wewe umejikausha, tumeshuka wote lift umejikausha tu, nimefika chini naenda parking ukanitoroka boss, ungekua unaenda BoT tungeenda wote, au ht ungepata company yangu uone ninavyotrade na simu [emoji23] . Nilikuona unavyonipiga jicho la hapa na pale, lkn nikajisemea nisikurupuke..
 
Mkuu Ontario ninashukuru kwa haya maarifa uliyotupa, ninaomba na mimi niwepo katika kundi la watu 300 watakaopata mafunzo.
 
We nae hata kuniongelesha...?!

Muda wote nipo pale namsubiri yule afisa wa CMSA wewe umejikausha, tumeshuka wote lift umejikausha tu, nimefika chini naenda parking ukanitoroka boss, ungekua unaenda BoT tungeenda wote, au ht ungepata company yangu uone ninavyotrade na simu [emoji23] . Nilikuona unavyonipiga jicho la hapa na pale, lkn nikajisemea nisikurupuke..
We jamaa hauhitaji kuwa ghost tena km unavyoji ghost hapa JF, nw fanya watu tukufahamu ili kuepusha upacha maana kuna watu watatumia chance ya ww kuwa ghost en wakajifanya wao ndio wewe.
 
We nae hata kuniongelesha...?!

Muda wote nipo pale namsubiri yule afisa wa CMSA wewe umejikausha, tumeshuka wote lift umejikausha tu, nimefika chini naenda parking ukanitoroka boss, ungekua unaenda BoT tungeenda wote, au ht ungepata company yangu uone ninavyotrade na simu [emoji23] . Nilikuona unavyonipiga jicho la hapa na pale, lkn nikajisemea nisikurupuke..
Hahaaa ngoja nikusake BoT
 
Trailing stops, ni stop loss zinazohamishwa ili kukusaidia usipate hasara zaidi.

Mfano. Unaweka trailing stop kila baada ya pips 20.

Tuchukulie mfano. Unaweka order yako kwenye 0, take profit baada ya pips 100, stop loss itakaa -20.
Order yako ikifika pips 20., ile stop loss inahama toka -20 hadi pale 0 ulipoweka order yako. Hapo tayari umesha-break even. Hata trade ikirudi, inarudi hadi kwenye 0 na sio -20.
Trade ikifika 40 pips, stop loss yako inasogea hadi 20. Hivyohivyo hadi unapofikisha pips zako 100.
mkuu broker yupi mzuri kwa demo account
 
We nae hata kuniongelesha...?!

Muda wote nipo pale namsubiri yule afisa wa CMSA wewe umejikausha, tumeshuka wote lift umejikausha tu, nimefika chini naenda parking ukanitoroka boss, ungekua unaenda BoT tungeenda wote, au ht ungepata company yangu uone ninavyotrade na simu [emoji23] . Nilikuona unavyonipiga jicho la hapa na pale, lkn nikajisemea nisikurupuke..
May be was first time meet, au muonekano wako ONTARIO kama cereb flani ivi.
 
Hapo mkuu ningependa unifafanulie zaidi, naelewa kwamba ukiwa long unakuwa unanunua base currency, so hapo kwenye initial liquid labda nielewe kwmb ulinunua EUR 1.00 mnamo saa 13:24:21 na baada ya kama dk 4 uka close position kwa kuuza ile EUR 1.00 mnamo saa 13:28:56, mpk hapo nipo sahihi au nimebugi?

Ka tuisheni kadogo, wengine watanisahihisha in a point of mistake,

Buy/Sell = Long/Short

If you want to buy the base currency and sell the quoted currency, this means that you are expecting the base currency to rise so as to sell it back at higher price. Long position

If you want to sell the base currency for buying a quoted currency, means that you want the base currency to fall in price so as to buy it at low price. Short Position

Let’s assume that the EUR/USD 1.3088 /1.3090. Based on some technical analysis you have assumed that the euro is going to rise in value. That is why you make a decision to buy 10,000 EUR (0.1 lot) at 1.3090 (the ask price). So, you bought 10,000 EUR and paid 13,090 US Dollars for that.
 
Duuh hii kitu ipo vizuri aisee. Tulikuwa tukiisoma tu chuoni Ila sikuwahi kujua kama ipo applicable. Asante sna mkuu kwa kunifungua kichwa
 
Ka tuisheni kadogo, wengine watanisahihisha in a point of mistake,

Buy/Sell = Long/Short

If you want to buy the base currency and sell the quoted currency, this means that you are expecting the base currency to rise so as to sell it back at higher price. Long position

If you want to sell the base currency for buying a quoted currency, means that you want the base currency to fall in price so as to buy it at low price. Short Position

Let’s assume that the EUR/USD 1.3088 /1.3090. Based on some technical analysis you have assumed that the euro is going to rise in value. That is why you make a decision to buy 10,000 EUR (0.1 lot) at 1.3090 (the ask price). So, you bought 10,000 EUR and paid 13,090 US Dollars for that.
Thanks mkuu, i do understand this whole thing theoretically as you broached above, but the real part i failed to understand is when it comes in practice, you knw when i look at that screen shoot, i rl cn't grasp anythng thr, could u plz analyze it systematically.........??
 
Thanks mkuu, i do understand this whole thing theoretically as you broached above, but the real part i failed to understand is when it comes in practice, you knw when i look at that screen shoot, i rl cn't grasp anythng thr, could u plz analyze it systematically.........??


Kama unaelewa jinsi ya kusoma hizi Base Currency and Quoted currency, kinachobaki ni decision whether u buy or sell. So hapo ni lazima uwe umefanya analysis ambayo itakupa confort kuwa sometimes in a future time, either base currency of quoted one will rise in price. Hapo ndio utafanya maamuzi ya kuuza ama kununua.
 
We nae hata kuniongelesha...?!

Muda wote nipo pale namsubiri yule afisa wa CMSA wewe umejikausha, tumeshuka wote lift umejikausha tu, nimefika chini naenda parking ukanitoroka boss, ungekua unaenda BoT tungeenda wote, au ht ungepata company yangu uone ninavyotrade na simu [emoji23] . Nilikuona unavyonipiga jicho la hapa na pale, lkn nikajisemea nisikurupuke..
Dah! Yan io ilikua golden chance jamaa kaiacha.. mkuu ingekua ni mimi ningekuganda kama ulivyomganda Mike ulivyoenda kukutana nae mara ya pili SA
 
I can't recommend exactly.

Ila page ya 113/114 nimeweka list ya baadhi ya brokers ambao nawaona kidogo wapo legit.

Jaribu mmoja wao..

Boss hii trailing inaendelea kuwa active hata nikiwa offline mf nimeweka order yenye trail kisha nika shut down device?.
 
We nae hata kuniongelesha...?!

Muda wote nipo pale namsubiri yule afisa wa CMSA wewe umejikausha, tumeshuka wote lift umejikausha tu, nimefika chini naenda parking ukanitoroka boss, ungekua unaenda BoT tungeenda wote, au ht ungepata company yangu uone ninavyotrade na simu [emoji23] . Nilikuona unavyonipiga jicho la hapa na pale, lkn nikajisemea nisikurupuke..

🙂🙂🙂🙂 daa jamaa kachezea bahati, ningekuwa mimi ningekuvizia unipe hata kamkono ka baraka.😀
 
We nae hata kuniongelesha...?!

Muda wote nipo pale namsubiri yule afisa wa CMSA wewe umejikausha, tumeshuka wote lift umejikausha tu, nimefika chini naenda parking ukanitoroka boss, ungekua unaenda BoT tungeenda wote, au ht ungepata company yangu uone ninavyotrade na simu [emoji23] . Nilikuona unavyonipiga jicho la hapa na pale, lkn nikajisemea nisikurupuke..
Duuuuuuuuuuh i wish i cud be mimi ningemg'ang'ania mpaka kieleweke
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom