Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
anza kusoma toka mwanzo mkuu kila ulichouliza kimejibiwa kwa ufasaha mi ndo nimemaliza kusoma leo na nimejifunza kitu ila kwa sasa people ziko busy kustudy vitabu
Duuu!!! Asante ndo nakomaa na google hapa kupata ufahamu kidogo,vitabu wao wanapata wap?
 
Noma sana mkuu, nipo chimbo najifua kimyakimya huku nachungulia humu kuona wadau mnavyo shusha nondo. Nipo nahangaika na tabia za mishumaa maana nimegundua ndio uchawi ulipo
ukitegua vitendawili vya mishumaa tayari umetoboa katika forex mkuu..hapa pia nakazana kuzifahamu hizi vitu...
 
Duuu!!! Asante ndo nakomaa na google hapa kupata ufahamu kidogo,vitabu wao wanapata wap?
vyote vipo humuhum waliviweka wadau we komaa tu kusoma post toka mwanzo utakutana navyo vipo kibao tu humu
 
56915f0e2ea776c0f725971aa6558816.jpg
 
Mimi nimekaa na kuwaza sana, nimefikiria nitoe offer ya watu wa mwanzo kabisa kutoka JF. It's gonna be FREE! namaanisha 100% FREE. Watu 300 wa mwanzo nitakaoanza nao hii safari nitatoa learning materials, trainings, mentorship, na 3 months guidance for free. I am blessed to bless others
Mkuu hapa unikumbuke nijumuishe kwenye hao 300 tafadhali nisikose utaratibu wa kuwa miongoni unijuze mashart na vigezo!
 
mkuu hii jpmarket najaribu kufungua demo account inaniambia succesful lkn nikijaribu ku login inaniambia incorect username/password. nashindwa kuelewa nifanyaje na hii kitu
 
Wenye uzoefu mbona hamjibu?
pole mkuu..wengi wamezama machimboni...naomba unielewe in a positive way..unaposema pair ambayo haina loss kubwa,ninachoelewa ni kuwa unatafuta short cut..si vibaya ila ni vyema kuwa na uelewa wa kutosha kabla hujaingia kwenye market maana its all about speculation na as long as unatrade major currencies issue hapo huwa 50/50 kama bado hujaelewa jinsi soko hubehave..waweza ukabahatisha ukapata au ukakosa..cha msingi tulia na vitabu kama wenzako ukule darasa la uhakika
 
Nina Plan niende Kwa Witchdoctor ili niwe miongoni mwa Ile list ya Watu wa kwanza kupata Training..
 
Sijachelewa!!
na bahati nzuri ninamtaji wa kutosha wa kuanzia, hata kama nitaunguza/kuichoma account kwa kipindi fulani hata mara 3 au zaidi lkn kwa mtaji nilionao nina imani nitafika mbali tena sana,
ONTARIO usiache kuniweka ktk kundi la watu 300 wa mwanzo,nitakuwa mtu muhimu sana kwako na kwa wengine pia, Kuanzia sasa naanza kufatilia elimu hii kupitia majalida ,na kwny tovuti mbalimbali na kwengineko ili nipate elimu ya awali, kabla elimu ya msingi ambayo najua nitaipata kwako mungu akipenda.
watu wa dizaini yako..hawakawii kuja kuandika nyuzi za kutapeliwa humu account ikichomeka...
 
I think you want to become a "business affiliate consultant" by training people and ask them to open live accounts at the broker of your choice and get $250 referral bonus

these screenshots can never be used as proof of legitimate trades/and this is probably a demo account - and if you trade on "mobile phone", it becomes more dodgy because we cant verify your accounts, you want to help people but if they cant raise enough capital its a BIG trap they will end up in more poverty;

there are different types of accounts deposit:
1. US$100,000 is regarded as standard account -
2. many people can afford US$10,000 which is micro account - and you can do alright-ish with extra rigid risk man.
3. but where you recruiting (in TZ) even depositing US$1,000 is a tall order -
kuna hawa FXCM rate zao zipo chini kwa micro acount ni usd 50
 
Mkuu hapa unikumbuke nijumuishe kwenye hao 300 tafadhali nisikose utaratibu wa kuwa miongoni unijuze mashart na vigezo!
Mkuu mbona umeshashauriwa mara mbili upitie uzi ndipo utakapokuwa updated maana hata hiyo idadi ya 300 ilishapungua kitambo

Nakushauri tena pitia uzi wote mkuu

Vinginevyo utawaona watu hawakupi ushirikiano bure kumbe nasi tumezama kwenye vitabu kama ambavyo tumeelekezwa na mentor wetu ONTARIO
 
Very Simple .Fanya hesabu ya haraka haraka....kuanzia October 2016;
1.Nilianza na Gold Plus 2 @ $2086 = $4172 .Kila moja inagenerate USD 630 kwa mwezi ,lengo kila mwezi niongeze Gold Plus mbili
2.Nika-reinvest faida $630 * 2 =$1260 nikaongeza $2912 Iiliniweze kupata Gold Plus nyingine mbili (1260+2912=$4192)
3.Nikawa na Gold Plus nne kila moja ina generate USD 630 kwa mwezi * 4= 2520
4.Nika reivenst faida $2520 nikaongeza $1652 ili kupata Gold Plus nyingine mbili = $4192
5.Nikawa nina Gold Plus Sita,kila moja inagenerate USD 630 kwa mwezi *6 = $ 3780
6.Nikareinvest Gold Plus moja zadi kwa $ 2086.
7.Hapo utaona Jumla ya investments ni USD 14,994
8.Kuanzia February mpaka leo nina Gold Plus Saba...kila moja inagenerate $ 630 kwa mwezi(sija invest tangu February),hivyo ndani ya miezi minne Feb-May(630 * 7 * 4 = 17,640).- Hii ndiyo hela ambayo nimeitengeneza bila kuizungusha tena.... Nimepanga sehemu ya hela hii nitaiingiza kwenye Forex Trading
NB: Nakubali hii inaweza kuwa biashara kimeo,lakini sijapata mbadala kabisa...nimesha APA sintofanya biashara isiyo na risk milele sababu zimenichosha sana.....longolongo ni nyingi hasa biashara inayohusisha binadamu moja kwa moja .....nimeshaonja tamu ya online platforms sasa naingia mzimamzima kwenye Forex Trading mungu akinijalia nitafunga mkanda hadi South Afirca kwa ajili ya hii mavitu....Kanuni zake nazijua na naziheshimu ikiwemo "DO not invest the money that you can not afford to Loose".....Nimeshapiga misele ya kutosha ,sihitaji ushauri wowote mbadala
mkuu unaingiza zaidi ya milioni nne kwenye giza...
 
Tha
Mkuu mbona umeshashauriwa mara mbili upitie uzi ndipo utakapokuwa updated maana hata hiyo idadi ya 300 ilishapungua kitambo

Nakushauri tena pitia uzi wote mkuu

Vinginevyo utawaona watu hawakupi ushirikiano bure kumbe nasi tumezama kwenye vitabu kama ambavyo tumeelekezwa na mentor wetu ONTARIO
Thanks mkuu,ni kweli nimegundua thread ipo page ya 156 mi nikajua ndo page ya 1 duuu nahisi kuachwa ndo nazipitia nahis bado sijachelewa!,harakaharaka hizi nazo ngoja niwe mpole kwanza!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom