Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Duuu Jinmtu! Namaanisha hao watu 300 wa mwanzoni,umejuaje nimeshafeli? Anyway jina tu lenyewe ni jini,tangu lini jini likataka mafanikio ya mtu!
wabongo bana kujitia tunajua ndo kunakotufelisha, hapo ungepaswa kuuliza nmeshafeli anamaanisha nn ila kwa kujifanya unajua hamna utakachokipata. anyways tunatofautiana sana kifikra
 
Aisee nimeisoma Thread yote kuja kwenye post za members ndo nikajua kuwa huwa hujibu PMs, niwie radhi kwa PM yangu please count me in on this one! nahitaji kufahamu kwa undani hii biashara na kuifanya pia! natanguliza shukrani zangu za dhati
 
Hii biashara ni ngumu Kuliko wengi mnavyofikiri. Inahitaji elimu ya movement za fedha. Wala Sio siri na kwamba mabenki hayataki watu wajue, ni uongo. Usifanye kama vile utapata utajiri kesho, hasara mfululizo ni jambo la kawaida kwenye forex. Ila kwa wanaoendelea kujifunza hatimaye huweza kupata faida. Uwe tayari kupoteza pesa kabla ya kupiga pesa kama utabahatika. Biashara hii imekaribiana Sana na kamari
Usituchagulie cha kufanya...
 
874249d282463f046ac83547083737ca.jpg
hivi ni kwa nini kuna gap hapo?..mbona hapo candlestick ya red haipo?
 
NYERERE INAONEKANA ULIKUWA UMELALA,HEBU SOMA POST YAKO NI YANGAPI,UMECHELEWA ENDELEA KULALA,USITAFUTE KIKI KWENYE UZI HUU,KWANZA NIDHAHIRI WA KUSOMA,KWENYE UZI HUU UMESOMA POST NGAPI? KAMA HUNA WAZO JIPYA NAKWAMBIA ENDELEA KULALA USITUPOTEZEE MUDA,HIVI WEWE NYERERE GANI? MBONA JINA HALIFANANI NA POINTS ZAKO ?
 
Kwa Wale waliohitaji kile kitabu pakueni hicho hapo nimekiweka japo sina uhakika kama ndio chenyewe alichomaanisha ONTARIO

Tuendeleze mapambano na Forex.

Rgds,

Huntsman

Nimepitia pitia contents inaonekana kipo nondo, shukrani mkuu Huntsman
 
Umefungwa ufahamu wewe, huu ni mtazamo tu, wala si kukuchagulia cha kufanya. Biashara njema
Kwenye maisha jambo lipi hali involve risking? We ndo akili yako ipo kwa box.. kutoka tu point A to B ni hatar unaweza hata kubutuliwa ukafia mbali, kwenye bzness hasara zipo me nilishafunga maduka mara kadhaa lakini sikukata tamaa sana sana nilijifunza nilipokosea nikasimama tena na bado naendelea, hata kuzaa nowdays ni shida haina gurantee watoto watakuae, kuoa/kuolewa nako yale yale etc etc... we vip? Unaishi dunia ipi mpaka uko na comfort zone kiivo? Utakua unaishi bush huko na probably unafundisha shule ya msingi huko unona umeshamaloza unasubiri @60 upate milion 70 kiinua mgongo [emoji16][emoji16]
Si bure unahitaji maombezi mazito!!
Ushauri:
Maisha si lelemama amka na amsha akili tafta fursa mpya kila siku, jifunze kwa wenzako, jenga mtandao na watu mbali mbali upate mambo mapya i.e kama ontario alivotupatia elimu ya forex etc etc..
 
Asantee endelea kupitia uziii utapata mwangaaa mzuriiii kuliko kudandia tren kwa mbeleee ukipitia post zote utajifunzaa kituuuu
Nimefanya hii kitu sana kuliko unavyodhani mkurupukaji wewe. Warning ni kitu chema tu isipokuwa kwa mjinga. Forex haijaanza jana
 
Kwenye maisha jambo lipi hali involve risking? We ndo akili yako ipo kwa box.. kutoka tu point A to B ni hatar unaweza hata kubutuliwa ukafia mbali, kwenye bzness hasara zipo me nilishafunga maduka mara kadhaa lakini sikukata tamaa sana sana nilijifunza nilipokosea nikasimama tena na bado naendelea, hata kuzaa nowdays ni shida haina gurantee watoto watakuae, kuoa/kuolewa nako yale yale etc etc... we vip? Unaishi dunia ipi mpaka uko na comfort zone kiivo? Utakua unaishi bush huko na probably unafundisha shule ya msingi huko unona umeshamaloza unasubiri @60 upate milion 70 kiinua mgongo [emoji16][emoji16]
Si bure unahitaji maombezi mazito!!
Ushauri:
Maisha si lelemama amka na amsha akili tafta fursa mpya kila siku, jifunze kwa wenzako, jenga mtandao na watu mbali mbali upate mambo mapya i.e kama ontario alivotupatia elimu ya forex etc etc..
The one thing you don't understand ni kuwa, sijakukataza kufanya, ila nakuonesha na upande wa pili. Uwepo wa risk ni jambo moja na kuingia ukiwa umeshajua risk involved ni jambo jingine. Acha kujitoa ufahamu, comment yangu ni fare kabisa na haina haja kuendeleza mjadala hivi mkapotosha mada husika. Usipende kusikia mazuri tu, lazima isikie na negatives ili ujipange. Stop fooling yourself, hakuna jipya chini ya jua
 
Nimefanya hii kitu sana kuliko unavyodhani mkurupukaji wewe. Warning ni kitu chema tu isipokuwa kwa mjinga. Forex haijaanza jana
Hata alieandika uzi huu hakusema ni kitu rahisi.. we unadhan kusoma word to word vitabu vyote vile ni simple? Hakuna anaekurupuka, ametoa miongozo wacha watu waifate wajifunze
 
Hata alieandika uzi huu hakusema ni kitu rahisi.. we unadhan kusoma word to word vitabu vyote vile ni simple? Hakuna anaekurupuka, ametoa miongozo wacha watu waifate wajifunze
Usizuie mchango, heshimu mawazo ya wengine. Ni hilo tu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom