Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
hahaa..nakubaliana nawe mkuu..ila kwa muda huu sidhani kuna yeyote aliye tayari kuanza live trading..but if anyone feels they're good to go its okey..though risk ni kubwa sana..kuna mzoefu fulani aliniambia kuwa yeye alianza tu live trading bila kuchapa exercises kwa demo akawa anaingia hasara za kutisha..with time akawa anajifunzafunza kutokana na makosa yake ila sidhani his method was right..
 
Mkuu hakifunguki,naomba utume tena link
 

Huyo alijitoa muhanga sana naye [emoji23]. Ila wewe, nina uhakika mkianza real trade hamto choma account ni vile tu unaogopa risk na unasubiri upewe confidence na Ontario. Mwisho wa siku you will have to overcome that fear. Kama vp anza hata na $50 sababu the only way to get going is to start, hizi demo zisitufariji sana
 
mbona kinaitisha password?..
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…