Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
mkuu hongera , nimefanikiwa kuangalia video zako za interview youtube , no wonder you did what you did , wewe ni mtu wa kipekee sana, God bless you brother
Kaka naomba lini ya YouTube nimuone ontario pls
Doh aiseee safi sana kwake ,kiukwel ni hustler na mie nafuata huko mdogo mdogo nameza vitabu
Keep it up ontario,umetufungua macho wengi sana kwenye hii issue
 
Kwa vielelezo alivyoonyesha Leo Ontario ,hao wapinzani wetu wa hii project TANZANIA FOREX CLUB ,wanatakiwa wajipange upya,inaonyesha hivyo ni vitu vichache tu alivyotuonyesha,nimehamasika sana Leo nimelala SAA 7:30 ucku,nawatakia ucku mwema
.....af Ontario ni level nyingine!!! Hana haja ya kujibishana nao.....matokeo ya darasa yatajibu..... Action speaks louder than words!!!
 
Kaka naomba lini ya YouTube nimuone ontario pls
Mkuu Heshima yako,
Issue ni kwamba, ONTARIO babo haja come out live...
Hata kama una hints kidogo kuhusu yeye huwez kushare...
Binafsi naona Itakuwa ni unafiki mkubwa kuwa kushared na mtu yeyote yule for the time being...
Advice, just go through ONTARIO'S posts and connect the dots on your own....
 
Mkuu ONTARIO sku zote mti wenye matunda ndo upigwa mawe. Acha waongee izopumba .
 
M

"Mimi nimekaa na kuwaza sana, nimefikiria nitoe offer ya watu wa mwanzo kabisa kutoka JF. It's gonna be FREE! namaanisha 100% FREE" Lini inaanza mzee, i'm interested to join boss!
Unazingua unapo quote thread ndefu kiasi hiko mkuu. Comment yako itaonekana tu hata usipoquote
 
Kaka.. Inakuwaje unijibu swali ambalo hujaulizwa wewe alafu unaniita mnafiki wakati niliye muuliza swali ni mwingine?? Nimemuuliza swali huyo aliye sema kuwa kamuona ontario YouTube.. Sasa inakuwaje unitukane mm ndugu?? Unasema Ontario haja come out official izo picha alizo post ni mama yako ndio kazipost au makaliyo yako ndio yame shindwa kuelewa post kabla ya kunilipukia na kuniita mnafki ??

Kunahaja ghan yakujipendekeza kwa Ontario kuwa kama wewe ndio msemaji wake??

Achakujibu jambo ambalo huja lielewa kama mtu kashapost picha zake na baadhi humu tusha muona unataka acome out official kivip??
 
ONTARIO we sio wa level hizi.. Upo bongo bahati mbaya tuu.. Ooh no sio bahat mbaya aisee, Inawezekana Mungu amekuongoza kukomboa vijana wa tz.. Asante kwa kujitambulisha mkuu.. Hongera kwa kufanana na me kwa sura ila sio kwa roho.. I wishi utaniambukiza pia hiyo roho yako
 
kwa juzi nimepata moyo sana wa matumaini, nimefanya trade kwenye demo ndani ya masaa mawili kwa kuanza na mtaji wa dollar 500 hadi kutengeneza dollar 108,000. hizi hasira hazijawahi kumuacha mtu salama.
 
Na muda sijaingia humu..naomba kujuzwa lini training itaanza
 
kwa jana nimepata moyo sana wa matumaini, nimefanya trade kwenye demo ndani ya masaa mawili kwa kuanza na mtaji wa dollar 500 hadi kutengeneza dollar 108,000. hizi hasira hazijawahi kumuacha mtu salama.

Mkuu market huwa inafungwa ijumaa mpaka j3 wewe mwenzetu Jana jumamosi ulikuwa una trade soko lipi hilo? Au Mimi ndio sielewi? [emoji848]
 
mimi nina miaka 60 na nategemea nitumie kiinua mgogo changu kuingia kwenye hiyo biashara je?nitakuwa nimechelewa kwa ajili ya umri wangu?

Mzee wangu chonde chonde sikushauri ujaribu kufanya hilo jambo usije kufa kwa pressure bure wakati family yako inakuhitaji.... Ningekushauri walau kama unataka kujaribu kwenye hii kitu weka walau chini ya 5% ya kiinua chako mgongo halafu uangalie utaprogress vipi
 
kwa jana nimepata moyo sana wa matumaini, nimefanya trade kwenye demo ndani ya masaa mawili kwa kuanza na mtaji wa dollar 500 hadi kutengeneza dollar 108,000. hizi hasira hazijawahi kumuacha mtu salama.

Mkuu verykeys jana ilikuwa siku ya jumamosi na soko limefungwa tangu friday 10P.M. hadi monday 10P.M. WEWE UMEFANYIA WAPI TRADE ZAKO NA WAKATI SOKO LIMEFUNGWA? (weekend gap)
 
Mkuu market huwa inafungwa ijumaa mpaka j3 wewe mwenzetu Jana jumamosi ulikuwa una trade soko lipi hilo? Au Mimi ndio sielewi? [emoji848]
sory i mean ijumaa. asante kwa kunirekebisha
 
Mkuu verykeys jana ilikuwa siku ya jumamosi na soko limefungwa tangu friday 10P.M. hadi monday 10P.M. WEWE UMEFANYIA WAPI TRADE ZAKO NA WAKATI SOKO LIMEFUNGWA? (weekend gap)
sory i mean ijumaa. asante kwa kunirekebisha
 
Mkuu mbona kma umepaniki.. Inamaana kiswahili nikigumu kisihicho.. Kama hali ndio hii hiyo forex tutaelewa kweli.. Me sijaona mahali mdau amekuita "mnafiki". Ila amesema itakua ''unafiki." ebu tukuweni na busara wadau.. Tujifunze kusoma post kwa makini na sio kwakukurupua
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…