Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa unafungua account kuna sehem ya mwanzon kabisa pale unapoweka jina...kwa chin kuna sehem ya kiwango unachotaka kuset!! Sasa hapo hapo chagua cha chin kabisa!! Account ya pesa nying ni nzuri ila kama unataka kuanza na 1mil dola[emoji23][emoji23][emoji23]...kama no mwenzang na mie tuanze na hizi za pesa ndogo ndio utapa uhalisia kidogo!!Mkuu nipo na demo account ila bado sielewi jinsi ya kuset viwango vidogo...nipe maujanja ni kweli hayo madola mengi hayana uhalisia kabisa!!
Hakika kitabu hiki ni kitamu, kinakupa hamu ya kuendelea kujisomea. Lugha iliyotumika ni nyepesiKibali: approval
Kitabu kilichowekwa hapa cha Art of techninal analysis ndicho ninachokizungumzia. Ni kitabu chepesi sana sana sana, yani inabidi hiki ukisome ukielewe.
Kina charts nyingi sana, zielewa vzr maana hizo charts ndizo utakutana nazo ukianza kutrade... hiko kitabu ni kitamu sana, na mm nimetoa --go ahead, kipakue then anza kukisoma pole pole. Hiko ukiwa unakisoma we mwenyewe unasikia utamu.
Ukishindana na mpumbavu na wewe unakua mpumbavu vilevile kama yeye no matter how far you are, ignore mambo ya kipumbavu na usitegemee kusifiwa tu hata kama upo perfect..hii ni tabia ya dada zetu, haipaswi kuwa hili jambo limefanywa na mwanamme. Katika hili kama aliyelifanya ni mwanamke basi tutamuelewa. Ila kama ni mwanaume, huo uwanaume wake unatia shaka.
tulishasema humu, pesa tutakayotumia katika hii issue ni zetu, msione wote tuliodedicate katika hii biashara ni hatuna akili ama hatuna shughuli, wengine tuna shughuli zetu nzuri tuu lakini tumevutiwa na hili jambo.
kila mtu humu ni above 18 years, ana uhuru wa kuamua mambo kwa mustakabali wa maisha yake. Hakuna mtu aliyelazimishwa amtolee mtu pesa, hakuna aliyelazimishwa amsomee mtu, hakuna aliyelazimishwa amfundishe mtu hivyo haina maana kufanyiana mambo ya kidada.
kama umeshindwa kukaa chini ukajisomea vitabu na kuelewa content, just kaa kimya waache wenye nia waendelee.
Unacheza rafu!!!.....umejipigia mno promo!!! [emoji1] [emoji125] [emoji125]Pole sana mkuu kwa baadhi ya watu ambao wanataka kuharibu siku yako na pengine kukuaktisha tamaa kwa sababu wanazojua wao, cha msingi mi naomba tu uweze kuomba mungu akuepushe jazba sababu we sasa hv kwa status yako hufai tena kutumia lugha kama hizi waachie wao tu ila cha msingi we usiyumbishwe na wapita njia endelea na sisi abiria wako yani kwa msisitizo WE NI KAMA BABA GWAJIMA NA WAFUASI WAKE ATA AFANYE NEXT SUNDAY NYOMI LINAZID ATA LAST SUNDAY but mkuu usinisahau kwenye hiyo 150 please and relax mkuu ata YESU alipingwa sisi tu focus tu then kale kamsemo kako kwa watakaojaaliwa na mwenyezi mungu plus juhudi zao TIME WILL TELL . # USINISAHAU 150.
Duh yaaniume quote uzi woote huo kwa hayo maneno mawili jamaaEndelea kutoa" up date" mkuu
Weekend motivationNikawa nampiga pindi kila siku masaa mawili kwa wiki 2 mfululizo, namuonesha ninavyotrade nk nk, nikamfungulia demo ya 1000 nikawa namtest skills zake.
Sasa J5 nikamwambia aweke pesa aliyonayo ajifunze kutrade, nilikua nahofia sana kwamba ataweza kuunguza account siku ya kwanza, but I just gave him confidence. Akatafuta pesa akapata km dola 150, nikamwambia aongeze zingine 150 ili iwe 300 ili aweze kutrade bila hofu na kupunguza probability ya kuunguza account (kadri account inavyokua ndogo ndio rahisi kwa mtu kuipiga kiberiti). Lkn dogo akasema hapo ndio mwisho wake.
Nikamwambia afanye afanyavyo lkn asitumie lot size kubwa zaidi ya 0.01. Jana ijumaa ndio ametrade kwa mara ya kwanza, na leo ndio akanitumia screen shot hii (nimeiedit ili kuficha baadhi ya info zake)
Hii imenipa motivation sana, hapa ni kama kagonga 5% ya balance yake... hii ni kama 14,000 kaipata kwa muda mfupi sana, hajatumia nguvu nyingi zaidi ya knowledge - ndio pesa ni ndogo, lkn ni wangapi wamenunua bajaji kwa mil 7 na kwa siku hawapati elfu 15??.
Mtu kama huyu mdg mdg ataanza kupiga 20,000 per day, atakuja 30,000 per day atafika kipindi anapiga mshahara wa Professional lawyer au auditor per day. Ni matter of time of learning more about the market na kua mvumilivu.
this boy is a pure definition of a hustler - hana masters, hajasoma international finance, hajui hata definition ya micro economy but he's hungry for knowledge. That's all he has!!
Cheers!! Happy weekend bosses!!
Unacheza rafu!!!.....umejipigia mno promo!!! [emoji1] [emoji125] [emoji125]
Wakuu naomba mnisaidie image zilizoko katika kitabu cha astrofx page no 33. Natanguliza shukrani
vipi mkuu...siku nyingi sijaskia kutoka kwako baba..Ukishindana na mpumbavu na wewe unakua mpumbavu vilevile kama yeye no matter how far you are, ignore mambo ya kipumbavu na usitegemee kusifiwa tu hata kama upo perfect..
Dunia ndio ilivyo
Umesomeka vyema kabisa.Lkn siku zotenajiuliza sana, kuna furaha gani kuaccumulate pesa zoooooote afu siku ukifa unaziacha watu wanazigombania. Kuna haja gani ya kuwa na pesa kwa nia ya kutafuta sifa watu wakulambe miguu na kukuona mfalme. Kuna faida gani kuzungukwa na majirani wasio na uhakika wa milo miwili kwa siku huku wewe mbwa wako anakula balanced diet - ni kama UCHAWI aisee. Hivi kuna haja gani mtu uondoke duniani kama ukivyokuja, yani hata ukifa hakuna anayesikitika... it's cr*p
Usimaind brother.....amani amani[emoji111]Promo muhimu mkuu lakini ye alisema vigezo vitatumika siimanishi nipate nafasi ya upendeleo bali kwa vigezo vile vitakavyotumika kama nitakosa sio mbaya pia, samahani lakini kama nimekukwaza ila ni namna tu ya kuonyesha uhitaji wa kuhudhuria mafunzo pamoja na kumpa moyo mdogo wetu ONTARIO asivunjike moyo mkuu.
Jieleze unasikilizwa.vipi mkuu...siku nyingi sijaskia kutoka kwako baba..
Forex naona imekushep to the maximumvipi mkuu...siku nyingi sijaskia kutoka kwako baba..
Kwanini msimdisclose huyo mwanga tumjue?Huyu mtu alianzia humu kwenye thread akasema picha ulizoweka sio zako alivyo ona hujamjibu naona ndio kaenda kwenye pm za watu. Binafsi pia kanicheki nikamshukuru kwa taarifa na nikamuliza kama ulishawahi kumtapeli akasema hapana na kunipa sababu zisizo na mashiko
Huna haja ya kutukana maana mwisho wa siku kutakuwa hamna tofauti kati yako na wao. Wenye akili tumeshajua Nani hajitambui kati yako na wao ndio maana comment nyingi zilizo kuwa zinapinga hili wazo humu ndani hazijafanikiwa. Ukitaka kumtupia jiwe kila mbwa unaye kutana naye njiani huwezi kufika Safari yako