Mjasiriamali1
JF-Expert Member
- Jun 8, 2009
- 891
- 237
Ontario mi nafikiri usipoteze mda mwingi Wa kupambana Na wenye wivu ya maendeleo yako hizi Ni sababu za kukuonea wivu
1.umefakiwa ukiwa mdogo
2.umeweza kuleta jibu la vijana wengi swala la ajira (kujiajiri)
3.wengi wanataka waigeuze wapige dili Kama kawaida ya watanzania but una misimamo mizuri
4.Hawana kazi za kufanya! Badala ya kuleta ubunifu ututoe hapa tulipo tumekalia majungu
5. Africa ukiwa Na kipaji wanatafuta kukiuwa nchi za wenzetu ulaya , America hata uraia watakupa
*Mi nafikiri wewe kaa kimya acha kujibizana nao. Ukweli utaongea. Hata biblia imeandika zaburi 35-4
Waibishwe, wafedheheshwe wanaoitafutia nafsi yangu mabaya, warudishwe nyuma wafadhaishwe wanaonizulia mabaya.
Don't worry wote wanaoitafuta nafsi yako. Na wote wanaokukuzulia mabaya ndicho kitakachowatokea.
1.umefakiwa ukiwa mdogo
2.umeweza kuleta jibu la vijana wengi swala la ajira (kujiajiri)
3.wengi wanataka waigeuze wapige dili Kama kawaida ya watanzania but una misimamo mizuri
4.Hawana kazi za kufanya! Badala ya kuleta ubunifu ututoe hapa tulipo tumekalia majungu
5. Africa ukiwa Na kipaji wanatafuta kukiuwa nchi za wenzetu ulaya , America hata uraia watakupa
*Mi nafikiri wewe kaa kimya acha kujibizana nao. Ukweli utaongea. Hata biblia imeandika zaburi 35-4
Waibishwe, wafedheheshwe wanaoitafutia nafsi yangu mabaya, warudishwe nyuma wafadhaishwe wanaonizulia mabaya.
Don't worry wote wanaoitafuta nafsi yako. Na wote wanaokukuzulia mabaya ndicho kitakachowatokea.