Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Nacheka sana. Ni furaha kabisa nikipita humu naona discussions zinaendelea. Msione nimekaa kimya, hua nasoma kila post tangia post ya 1 hadi hii ya 3213. Nikiangalia comment kama hii naona mwanga, nilivyokuwa infant trader nilikua nina akili kama zako boss. Yani ulikua ukifungua charts zng unakuta kuna indicators kama 10 hivi, nilikua naziamini sana hizi makitu.

With time zikawa zinapungua. Leo hii ukiona analysis yangu hukuti indicator hata 1. That's being professional, hkn Pro anayetumia indicator, utakachokiona kwenye charts zake ni horizontal na inverted lines. Tena saa zingine mtu anaangalia tu hivi charts anajua nini kinaendelea bila ya mstari wwt. Hiyo ndio maana halisi ya Naked forex, yani charts ziwe uchi, zisizibwe zibwe na indicators. Patterns hazijawahi kumpoteza mtu, floor and ceiling ndio mchawi wa price action.

Na hii ndio strategy nataka team nzima itumie... The winning major keys!!

Kuhusu kitabu
Imenichukua muda mwingi kujibu kuhusu kitabu nilichokizungumza awali, sikutaka kujibu kitu ambacho sina uhakika nacho. Siku zote nipo Dar hapa kushughulikia mambo ya hii forex, kitabu nilikua sina access nacho, nilikiacha Bagamoyo.

Kile kitabu bana hata mimi sikukinunua bookshop, nilikichukua kwa mwanangu mmoja SA. Yeye alipewa alipokua ameenda forex course England kwenye darasa la AstroFX, so ukilipa $5000 kama fees unapewa na hicho kitabu as learning guideline.

Kitabu kimeandikwa na Aman Natt na Shaun Lee, kinaitwa learning guideline by AstroFX - mastering technical analysis. Kimetoka mwaka jana July kama sikosei. Kitabu kitamu sana hiki kwa level yenu - bado sijapata mawazo mazuri kutoka kwenu ili kila mtu ambae yupo interested akipate. Mimi mkiniambia nifanye chochote, I'll just do that kwa roho nyeupe, msiposema kitu pia nami nakausha, sina cha kupoteza, mimi nimeshakisoma mara 4.
4f5e467eec51868cec4ee1e6defcc8.jpg
Hapa screen shot ya cover page

cc7f2cd523ba7c9344700e16ccbe70.jpg
Hapa table of contents.


Zaidi ya yote - mambo yanaenda vizuri, mnaeza kudhani Ontario amelala tu kitandani anatrade account yake, but kiukweli nafight sana ili office iwe up and running ASAP. Msione nachukua muda mwingi, I am preparing the best thing for us all. Mambo yataanza soon. Let's keep the faith.

Mimi Ni ushauri Labda
KITABU ITAKUA MALI YA KILA MTU, KAMA NILIELEWA VIZURI WE ULISEMA UMEKINUNUA KWA MWANAOO MMOJA SA KAMA 100,000TSH.

ME naona INAWEZA KUWA RAHISI ZAIDI TUKAWEKA 500/= au 1000 kwa mtu ambae angependa. KWA WATU 150 NI KAMA 150,000 then KITABU KITOLEWE COPPY STATIONARY KILA MTU AKALIPIE COPY YAKE PALE.

HII ITAONGEZA PIA OWNERSHIP ESSENCE KWA MTU ALIEKO TAYARI KUSOMA- MAANA KAMA kitawekwa katika stationary za wanavyuo copy inaweza kuwa shilingi 50-100 kwa page mbili (Both side printing) najua mahali inawezekana. kwa maana hyo kwa page 300 inaweza kuwa 15,000-30,000 TSH ambayo ni pesa accessible kwa kila mtu kwa ajili ya sensitive material kwa ajili ya BIASHARA YAKE.

LAbda kama kuna mwenye wazo tofauti

MAWAZO MENGINE TUPATE SOLUTION
 
Mimi Ni ushauri Labda
KITABU ITAKUA MALI YA KILA MTU, KAMA NILIELEWA VIZURI WE ULISEMA UMEKINUNUA KWA MWANAOO MMOJA SA KAMA 100,000TSH.

ME naona INAWEZA KUWA RAHISI ZAIDI TUKAWEKA 500/= au 1000 kwa mtu ambae angependa. KWA WATU 150 NI KAMA 150,000 then KITABU KITOLEWE COPPY STATIONARY KILA MTU AKALIPIE COPY YAKE PALE.

HII ITAONGEZA PIA OWNERSHIP ESSENCE KWA MTU ALIEKO TAYARI KUSOMA- MAANA KAMA kitawekwa katika stationary za wanavyuo copy inaweza kuwa shilingi 50-100 kwa page mbili (Both side printing) najua mahali inawezekana. kwa maana hyo kwa page 300 inaweza kuwa 15,000-30,000 TSH ambayo ni pesa accessible kwa kila mtu kwa ajili ya sensitive material kwa ajili ya BIASHARA YAKE.

LAbda kama kuna mwenye wazo tofauti

MAWAZO MENGINE TUPATE SOLUTION
Mkuu soft copy ishapatikana kitambo na amekiapprove...endelea kusoma post zilizofatia baada ya hiyo uliyoijibu

Na watu walishapakua na ndo wako bize saivi kukisoma including me

Glory to Yhwh
 
Mimi Ni ushauri Labda
KITABU ITAKUA MALI YA KILA MTU, KAMA NILIELEWA VIZURI WE ULISEMA UMEKINUNUA KWA MWANAOO MMOJA SA KAMA 100,000TSH.

ME naona INAWEZA KUWA RAHISI ZAIDI TUKAWEKA 500/= au 1000 kwa mtu ambae angependa. KWA WATU 150 NI KAMA 150,000 then KITABU KITOLEWE COPPY STATIONARY KILA MTU AKALIPIE COPY YAKE PALE.

HII ITAONGEZA PIA OWNERSHIP ESSENCE KWA MTU ALIEKO TAYARI KUSOMA- MAANA KAMA kitawekwa katika stationary za wanavyuo copy inaweza kuwa shilingi 50-100 kwa page mbili (Both side printing) najua mahali inawezekana. kwa maana hyo kwa page 300 inaweza kuwa 15,000-30,000 TSH ambayo ni pesa accessible kwa kila mtu kwa ajili ya sensitive material kwa ajili ya BIASHARA YAKE.

LAbda kama kuna mwenye wazo tofauti

MAWAZO MENGINE TUPATE SOLUTION
Mkuu kitabu kimeshapatikana sofcopy na tayri wadau wamesha kiupload hapa hapa pitia nyuzi taratibu utakiona
 
kaswali kamoja karahisi katakufanya urudie vitabu chap chap..
>nini maana ya testing?..
>na je?..spike reversals ndio nini?.
> traders wanamaanisha nini wasemapo safe haven?
>je unajua maana ya backing and fillings.
>je,umeelewa concept ya resistance and support?..


jitazmini kabla ya kuchukua hatua nyingine mkuu..
testing- making sure the system works
spike reversal-change of chart/market direction
safe heaven-stable market with low risk.
Backing and filling-????
resistance and support -zone where market direction get resistance ans reverse the market direction

mkuu nimejitest knowledge so far
 
Mimi Ni ushauri Labda
KITABU ITAKUA MALI YA KILA MTU, KAMA NILIELEWA VIZURI WE ULISEMA UMEKINUNUA KWA MWANAOO MMOJA SA KAMA 100,000TSH.

ME naona INAWEZA KUWA RAHISI ZAIDI TUKAWEKA 500/= au 1000 kwa mtu ambae angependa. KWA WATU 150 NI KAMA 150,000 then KITABU KITOLEWE COPPY STATIONARY KILA MTU AKALIPIE COPY YAKE PALE.

HII ITAONGEZA PIA OWNERSHIP ESSENCE KWA MTU ALIEKO TAYARI KUSOMA- MAANA KAMA kitawekwa katika stationary za wanavyuo copy inaweza kuwa shilingi 50-100 kwa page mbili (Both side printing) najua mahali inawezekana. kwa maana hyo kwa page 300 inaweza kuwa 15,000-30,000 TSH ambayo ni pesa accessible kwa kila mtu kwa ajili ya sensitive material kwa ajili ya BIASHARA YAKE.

LAbda kama kuna mwenye wazo tofauti

MAWAZO MENGINE TUPATE SOLUTION
Heshima yako Mkuu Black Idea,

Mpaka sasa tayari kitabu kimeshakuwa uploaded kwenye huu uzi kwa hisani ya Mkuu MWANA WA NGURUMO..
Kutokea pale nilijua mambo ya stationary yaliishia pale....

Sasa sijajua kama umeona au laah..! kama hujaona unaeza refer post no.3295 ili uweze kupakua....

Na sidhani kama itakuwa busara kuendelea kumtwisha mzigo mkuu Ontario wa kukipeleka stationary
ukizingatia yuko busy, kitabu kipo humu na ameshatoa go ahead kitabu ndio chenyewe....

Binafsi naona kila mtu kwa nafasi yake achukue softcopy akaprint mwenyewe kama hawezi kutumia softcopy..

Ni hayo tu Mkuu, kama unaona sijaielewa post yako nikosoe kwa faida.....

Nawasilisha....!
 
Mkuu soft copy ishapatikana kitambo na amekiapprove...endelea kusoma post zilizofatia baada ya hiyo uliyoijibu

Na watu walishapakua na ndo wako bize saivi kukisoma including me

Glory to Yhwh
asante mkuu nimeshakipakua, sema huwa nasoma messwji zoote.
 
kwney ile webinar moja niliatend juzi nikalike paje ya jamaa sasa naona signal provider wananiwinda kama swala kila mtu anaifuate private akitaka aniuzie signal nikiwaambia mimi ni newbie wananiambia watanicoach, Nimewakatalia nimewaambia nahitaji kujua kwanza ninachokifanya kabla ya kuuziwa signal ila WANAFORCE mpaka mwisho.

sina intention ya kuanza kununua signals

ILA HAPA ninaomba ushauri kuhusu hawa Signal provider, kuelewa YUPI NI MKWELI NA YUPI NI MUONGO?
Ukianza kununua signal, manake huamini katika analysis zako na muda wote unaoenda shule ni kupoteza muda.
Kwanini ununue signal?
 
KUHUSU VITABU,MIMI NAOMBA MDAU YOYOTE ALIYE DSM ANITOLEE HARDCOPY HIVYO VITABU 3 VILIVYOPENDEKEZWA,THEN ANIAMBIE TUKUTANE WAPI TUKABIDHIANE ,NITAMLIPA PESA YA PHOTOCOPIES NA USUMBUFU- CALL 0655562854
 
Nivema kumwambia kiko page namba ngapi iliasipoteze mda .
 
KUHUSU VITABU,MIMI NAOMBA MDAU YOYOTE ALIYE DSM ANITOLEE HARDCOPY HIVYO VITABU 3 VILIVYOPENDEKEZWA,THEN ANIAMBIE TUKUTANE WAPI TUKABIDHIANE ,NITAMLIPA PESA YA PHOTOCOPIES NA USUMBUFU- CALL 0655562854
ha ha ha.... Mkuu umetisha...
 
Mimi Ni ushauri Labda
KITABU ITAKUA MALI YA KILA MTU, KAMA NILIELEWA VIZURI WE ULISEMA UMEKINUNUA KWA MWANAOO MMOJA SA KAMA 100,000TSH.

ME naona INAWEZA KUWA RAHISI ZAIDI TUKAWEKA 500/= au 1000 kwa mtu ambae angependa. KWA WATU 150 NI KAMA 150,000 then KITABU KITOLEWE COPPY STATIONARY KILA MTU AKALIPIE COPY YAKE PALE.

HII ITAONGEZA PIA OWNERSHIP ESSENCE KWA MTU ALIEKO TAYARI KUSOMA- MAANA KAMA kitawekwa katika stationary za wanavyuo copy inaweza kuwa shilingi 50-100 kwa page mbili (Both side printing) najua mahali inawezekana. kwa maana hyo kwa page 300 inaweza kuwa 15,000-30,000 TSH ambayo ni pesa accessible kwa kila mtu kwa ajili ya sensitive material kwa ajili ya BIASHARA YAKE.

LAbda kama kuna mwenye wazo tofauti

MAWAZO MENGINE TUPATE SOLUTION
kaka mkubwa kitabu tayar mda sana. na pia kama kusoma post tu ni shida kaka utaweza kusoma kitabu mkuu wangu. pitia pitia utakipat.
asante na karibu tena
 
Mkuu Ontario nimekipata kile kitabu ulichoelekeza tukisome na tayari nimeanza kukisoma na kama Mungu akijaria mm Niko Mara huku nitakuja nikutane na wewe kwenye ofisi yako namna ya kuingia kwenye hii biashara vizuri.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom