Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Shukrani mkuu. Usinichoke. Kitabu change hakuna image. Nikiomba tena na imani utanisaidia
Download app nyngne ya kusoma vitabu kutoka google playstore km unatumia adroid. Izo image zitaonekana. Surely aina ya app unayotumia ndio kisababshi
 
ontario,
Mimi sijawahi fanya trading ya hii mambo. Nafikiria namna ya kujiunga, katika pekua pekua ya mtandao nimekutana na mataarifa kibao sasa sijui yupi ndo broker user friendly nianze kujifunza!.
Kuna brokers wanajiita XTRADE naweza pata recommendation yako, naona wananiandikia emails mfululizo.
 
ontario,
Mimi sijawahi fanya trading ya hii mambo. Nafikiria namna ya kujiunga, katika pekua pekua ya mtandao nimekutana na mataarifa kibao sasa sijui yupi ndo broker user friendly nianze kujifunza!.
Kuna brokers wanajiita XTRADE naweza pata recommendation yako, naona wananiandikia emails mfululizo.
Ushauri!

Huwezi jenga nyumba kama hujasomea uhandisi!

Kaa jifunze basics...vitabu viko humu download anza kusoma! Ukianza kuwaza broker saivi ni sawa na kuchungulia kaburi ungali kijana!

Ila kama una basics you are good to go!

Karibu!
 
Hayo ya kuchafuana yamepita - tupeane ushirikiano in case of anything!!

Weekend motivation

Hua sipendi kabisa kupost screen shots za trades, hasa kama trades si zangu... but hua nakua humbled sasa na incidents zinazomgusa maisha ya mtu directly.

Kuna huyu dogo, nimemzidi kama mwaka au miwili, niseme tulikua nae kitaa kimoja enzi bado niko mtoto. Bahati mbaya huyu bwana hakufanikiwa kuendelea na masomo yake baada ya kufail form 4. Sasa akawa anaunga unga kitaa, akapataga leseni ya kuendesha magari, mwishoe akaja akaajiriwa kuendesha yale magari ya kunyanyua mizigo kampuni 1 ya publishing. But still mambo hayakuchange - coz mshahara alikua anapewa buk 10, akikata nauli na maji anabaki na matatizo.

Sasa huyu dogo hua anajua home ninapoishi nikiwa Dar, akanicheki, akaomba nimsaidie. Mimi nikaona nimpe siri ya forex, lkn bado nilikua nina hofu sana kutokana na uelewa wake na level yake ya elimu, but nikasema nijitahidi nitakavyoweza.

Nikawa nampiga pindi kila siku masaa mawili kwa wiki 2 mfululizo, namuonesha ninavyotrade nk nk, nikamfungulia demo ya 1000 nikawa namtest skills zake.

Sasa J5 nikamwambia aweke pesa aliyonayo ajifunze kutrade, nilikua nahofia sana kwamba ataweza kuunguza account siku ya kwanza, but I just gave him confidence. Akatafuta pesa akapata km dola 150, nikamwambia aongeze zingine 150 ili iwe 300 ili aweze kutrade bila hofu na kupunguza probability ya kuunguza account (kadri account inavyokua ndogo ndio rahisi kwa mtu kuipiga kiberiti). Lkn dogo akasema hapo ndio mwisho wake.

Nikamwambia afanye afanyavyo lkn asitumie lot size kubwa zaidi ya 0.01. Jana ijumaa ndio ametrade kwa mara ya kwanza, na leo ndio akanitumia screen shot hii (nimeiedit ili kuficha baadhi ya info zake)
4bd458032f4879bf05e47ca7ce35ee8f.jpg


Hii imenipa motivation sana, hapa ni kama kagonga 5% ya balance yake... hii ni kama 14,000 kaipata kwa muda mfupi sana, hajatumia nguvu nyingi zaidi ya knowledge - ndio pesa ni ndogo, lkn ni wangapi wamenunua bajaji kwa mil 7 na kwa siku hawapati elfu 15??.

Mtu kama huyu mdg mdg ataanza kupiga 20,000 per day, atakuja 30,000 per day atafika kipindi anapiga mshahara wa Professional lawyer au auditor per day. Ni matter of time of learning more about the market na kua mvumilivu.

this boy is a pure definition of a hustler - hana masters, hajasoma international finance, hajui hata definition ya micro economy but he's hungry for knowledge. That's all he has!!

Cheers!! Happy weekend bosses!!
Hongera sana mkuu kwa kuwa na moyo huo wa kusaidia wengine, Amini Amini, kwa njia hiyo utafanikiwa zaidi. Maana siri kuu ya mafanikio ya kweli ipo katika kutoa.
Achana na hao wenye roho za kwanini, hawapendi kuona wengine wakifanikiwa, wanajisikia fahari kuishi maisha ya anasa huku jirani zao wakikosa hata mlo wa siku.
UBARIKIWE ZAIDI NA ZAIDI
 
Ninachoweza kusema ni hongera kwa jitihada zako mkuu Ontario
 
Hayo ya kuchafuana yamepita - tupeane ushirikiano in case of anything!!

Weekend motivation

Hua sipendi kabisa kupost screen shots za trades, hasa kama trades si zangu... but hua nakua humbled sasa na incidents zinazomgusa maisha ya mtu directly.

Kuna huyu dogo, nimemzidi kama mwaka au miwili, niseme tulikua nae kitaa kimoja enzi bado niko mtoto. Bahati mbaya huyu bwana hakufanikiwa kuendelea na masomo yake baada ya kufail form 4. Sasa akawa anaunga unga kitaa, akapataga leseni ya kuendesha magari, mwishoe akaja akaajiriwa kuendesha yale magari ya kunyanyua mizigo kampuni 1 ya publishing. But still mambo hayakuchange - coz mshahara alikua anapewa buk 10, akikata nauli na maji anabaki na matatizo.

Sasa huyu dogo hua anajua home ninapoishi nikiwa Dar, akanicheki, akaomba nimsaidie. Mimi nikaona nimpe siri ya forex, lkn bado nilikua nina hofu sana kutokana na uelewa wake na level yake ya elimu, but nikasema nijitahidi nitakavyoweza.

Nikawa nampiga pindi kila siku masaa mawili kwa wiki 2 mfululizo, namuonesha ninavyotrade nk nk, nikamfungulia demo ya 1000 nikawa namtest skills zake.

Sasa J5 nikamwambia aweke pesa aliyonayo ajifunze kutrade, nilikua nahofia sana kwamba ataweza kuunguza account siku ya kwanza, but I just gave him confidence. Akatafuta pesa akapata km dola 150, nikamwambia aongeze zingine 150 ili iwe 300 ili aweze kutrade bila hofu na kupunguza probability ya kuunguza account (kadri account inavyokua ndogo ndio rahisi kwa mtu kuipiga kiberiti). Lkn dogo akasema hapo ndio mwisho wake.

Nikamwambia afanye afanyavyo lkn asitumie lot size kubwa zaidi ya 0.01. Jana ijumaa ndio ametrade kwa mara ya kwanza, na leo ndio akanitumia screen shot hii (nimeiedit ili kuficha baadhi ya info zake)
4bd458032f4879bf05e47ca7ce35ee8f.jpg


Hii imenipa motivation sana, hapa ni kama kagonga 5% ya balance yake... hii ni kama 14,000 kaipata kwa muda mfupi sana, hajatumia nguvu nyingi zaidi ya knowledge - ndio pesa ni ndogo, lkn ni wangapi wamenunua bajaji kwa mil 7 na kwa siku hawapati elfu 15??.

Mtu kama huyu mdg mdg ataanza kupiga 20,000 per day, atakuja 30,000 per day atafika kipindi anapiga mshahara wa Professional lawyer au auditor per day. Ni matter of time of learning more about the market na kua mvumilivu.

this boy is a pure definition of a hustler - hana masters, hajasoma international finance, hajui hata definition ya micro economy but he's hungry for knowledge. That's all he has!!

Cheers!! Happy weekend bosses!!
Kaka tupo pamoja nasi tuko nyuma tunakuja pole pole..
 
Hayo ya kuchafuana yamepita - tupeane ushirikiano in case of anything!!

Weekend motivation

Hua sipendi kabisa kupost screen shots za trades, hasa kama trades si zangu... but hua nakua humbled sasa na incidents zinazomgusa maisha ya mtu directly.

Kuna huyu dogo, nimemzidi kama mwaka au miwili, niseme tulikua nae kitaa kimoja enzi bado niko mtoto. Bahati mbaya huyu bwana hakufanikiwa kuendelea na masomo yake baada ya kufail form 4. Sasa akawa anaunga unga kitaa, akapataga leseni ya kuendesha magari, mwishoe akaja akaajiriwa kuendesha yale magari ya kunyanyua mizigo kampuni 1 ya publishing. But still mambo hayakuchange - coz mshahara alikua anapewa buk 10, akikata nauli na maji anabaki na matatizo.

Sasa huyu dogo hua anajua home ninapoishi nikiwa Dar, akanicheki, akaomba nimsaidie. Mimi nikaona nimpe siri ya forex, lkn bado nilikua nina hofu sana kutokana na uelewa wake na level yake ya elimu, but nikasema nijitahidi nitakavyoweza.

Nikawa nampiga pindi kila siku masaa mawili kwa wiki 2 mfululizo, namuonesha ninavyotrade nk nk, nikamfungulia demo ya 1000 nikawa namtest skills zake.

Sasa J5 nikamwambia aweke pesa aliyonayo ajifunze kutrade, nilikua nahofia sana kwamba ataweza kuunguza account siku ya kwanza, but I just gave him confidence. Akatafuta pesa akapata km dola 150, nikamwambia aongeze zingine 150 ili iwe 300 ili aweze kutrade bila hofu na kupunguza probability ya kuunguza account (kadri account inavyokua ndogo ndio rahisi kwa mtu kuipiga kiberiti). Lkn dogo akasema hapo ndio mwisho wake.

Nikamwambia afanye afanyavyo lkn asitumie lot size kubwa zaidi ya 0.01. Jana ijumaa ndio ametrade kwa mara ya kwanza, na leo ndio akanitumia screen shot hii (nimeiedit ili kuficha baadhi ya info zake)
4bd458032f4879bf05e47ca7ce35ee8f.jpg


Hii imenipa motivation sana, hapa ni kama kagonga 5% ya balance yake... hii ni kama 14,000 kaipata kwa muda mfupi sana, hajatumia nguvu nyingi zaidi ya knowledge - ndio pesa ni ndogo, lkn ni wangapi wamenunua bajaji kwa mil 7 na kwa siku hawapati elfu 15??.

Mtu kama huyu mdg mdg ataanza kupiga 20,000 per day, atakuja 30,000 per day atafika kipindi anapiga mshahara wa Professional lawyer au auditor per day. Ni matter of time of learning more about the market na kua mvumilivu.

this boy is a pure definition of a hustler - hana masters, hajasoma international finance, hajui hata definition ya micro economy but he's hungry for knowledge. That's all he has!!

Cheers!! Happy weekend bosses!!
Aiseee!!! Hata mi nitaweza kumbe
 
Kwa vielelezo alivyoonyesha Leo Ontario ,hao wapinzani wetu wa hii project TANZANIA FOREX CLUB ,wanatakiwa wajipange upya,inaonyesha hivyo ni vitu vichache tu alivyotuonyesha,nimehamasika sana Leo nimelala SAA 7:30 ucku,nawatakia ucku mwema
 
Ukiwa unafungua account kuna sehem ya mwanzon kabisa pale unapoweka jina...kwa chin kuna sehem ya kiwango unachotaka kuset!! Sasa hapo hapo chagua cha chin kabisa!! Account ya pesa nying ni nzuri ila kama unataka kuanza na 1mil dola[emoji23][emoji23][emoji23]...kama no mwenzang na mie tuanze na hizi za pesa ndogo ndio utapa uhalisia kidogo!!

Fungua account mpya ndio utaweza kuset!!


Karibu mkuu!
Asante mkuu...nitafanyia kazi!!
 
Ukiwa unafungua account kuna sehem ya mwanzon kabisa pale unapoweka jina...kwa chin kuna sehem ya kiwango unachotaka kuset!! Sasa hapo hapo chagua cha chin kabisa!! Account ya pesa nying ni nzuri ila kama unataka kuanza na 1mil dola[emoji23][emoji23][emoji23]...kama no mwenzang na mie tuanze na hizi za pesa ndogo ndio utapa uhalisia kidogo!!

Fungua account mpya ndio utaweza kuset!!


Karibu mkuu!
Mkuu bado napata tatizo...naona amount ya chini wameset 3000 usd na nashindwa kuedit...
Wewe umefanyeje kuweka 50usd? Vipi leverage unatumia ratio ipi?
 
Mkuu bado napata tatizo...naona amount ya chini wameset 3000 usd na nashindwa kuedit...
Wewe umefanyeje kuweka 50usd? Vipi leverage unatumia ratio ipi?

Unguza account mpaka ifike kiwango unachotaka. Nenda against trande ya market ili upoteze hela zipungue
 
sina mengi..nakuhimiza tu uzidi kujikaza baba
Huyu threader ni mtu wangu wa karibu sana na hili ndio jukwaa langu for years and I have been transformed here from the first place more than 6 years ago thanks to the JF now am in the process of what I got here and I live in the progress. So welcome
 
Unachokisema nakijua vzr sana, umasikini naujua inside out, nimeuishi almost 80% ya maisha yangu. Nauchukia sana umasikini, ndio maana sitaki hata watu walionizunguka waingia ktk mtego wa kua masikini. Poverty damn sucks deep down!!

Sijaanza leo kuwashirikisha watu kile kidogo nnachokifahamu... I do this for love - hakuna anaenilipa, niseme hakuna anayeweza kunilipa. Kwa hii forex ningeweza kukaa zangu ndani nimezungukwa na screen nashusha zangu pips, kwa siku kulala na $3000 inanitosha sana - tena hata Bongo ningehama niende SA.

Lkn siku zotenajiuliza sana, kuna furaha gani kuaccumulate pesa zoooooote afu siku ukifa unaziacha watu wanazigombania. Kuna haja gani ya kuwa na pesa kwa nia ya kutafuta sifa watu wakulambe miguu na kukuona mfalme. Kuna faida gani kuzungukwa na majirani wasio na uhakika wa milo miwili kwa siku huku wewe mbwa wako anakula balanced diet - ni kama UCHAWI aisee. Hivi kuna haja gani mtu uondoke duniani kama ukivyokuja, yani hata ukifa hakuna anayesikitika... it's cr*p

Unajua bana mtu kua na pesa si kwamba yeye ni genius sana, ama talented or anything, it's just by the love of God (no disrespect for atheist/agnostic). Kama hiyo Love umepewa bila kulipia kwanini nawewe usisambaze just ROBO ya huo upendo??
4cfa6c3c4f89972c5ea6cac19d696ec3.jpg
Hapa nilikua nina miaka 21 (National museum theatre)
1134e4e1b013dcc8219fdf68126a8693.jpg
Hapa nilikua nina miaka 22 (ESRF).
Mkuu ninapokusoma nasikia mwili kusisimka, ninapo yaona maneno yako yenye hekima na busara kiasi hiki.. Kamanda unamoyo wakipekee sana. Acha niwe na akiba ya maneno zaidi nikuuombe kwa mungu kile unachowawazia binadamu wenzako kifanikiwe..
 
Tokeaa nimepata jina la Mkuu Ontario basi nimezama google angalau kujua zaidi ebwana your genious man, I think your among the best and you are far away on inspiration huwezi kua mtu wa kawaida tu unafanya mambo makubwa like that
Keep on man na tunaomba usife moto kwa kila jambo hujui tu umetuhamasisha wa ngapi paka saizi Mimi kila nikiona andiko lako moto unasisimka
Nimekuidi almost 2 years lakini na kielemi ya darasani nadhani tuko sawa but kimaendeleo na uwezo wa kufikiria your too far yani hadi najiuliza Haya mambo mbona Mimi sikuyajua na wakati finance ndio nimesoma zaidi kumbe ni kuchukulia mambo katika jicho la 3 na fursa kama hizi lazima kuwe na muanzilishi

All in all endelea kutujuza nini kinaendelea and am waiting for the class huku Niki endelea kula nondo Mkuu paka tufike wote
Big up sana Mkuu ontario
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom