Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Mission yangu ni kuwabadili vijana waachane na kubet wahamie kutrade forex.
Nna uhakika miaka mitatu ijayo kutakuwa na Traders Lounge nyingi sana hapa Tanzania.
Zikifika Lounge kama 500 ntaanza kuamini kama hii ndoto itafanikiwa..

Mikeka haifai. With mikeka unakuwa huna control na pesa yako. Always you ll be hopping for the best.
 
Mission yangu ni kuwabadili vijana waachane na kubet wahamie kutrade forex.
Nna uhakika miaka mitatu ijayo kutakuwa na Traders Lounge nyingi sana hapa Tanzania.
Zikifika Lounge kama 500 ntaanza kuamini kama hii ndoto itafanikiwa..
BAVARIA UMESEMA KWELI LAKINI TAMUA MFANO ULIKUWA UKO MATEMBEZINI UKADONDOSHA HELA NYINGI TU NA NYUMA YAKO KUNA MTU ALIKUWA ANAKUFUATA AKAZIKUTA ZILE HELA LAKINI CHA KUSHANGAZA HAKUZIOKOTA AKAPITA ZAKE,AKAJA MWINGINE AKAZIKUTA HUYU HAKUZIOKOTA ILA AKAKAA PEMBENI KUSUBIRIA ATAKAE ZIOKOTA,MARA AKAPITA MWINGINE AKAZIOKOTA NA KWENDA KUZIFANYIA KAZI,HUU UZI UNAPITIWA NA WATU WENGI KUNA WANAOTAKA ONTARIO ASIFANIKISHE AZMA YAKE YA KUTUSAIDIA,NA KUNA WANAO PONDA JITIHADA ZAKE,NA KUNA WALE AMBAO WAKO BEGA KWA BEGA NA YEYE.MUNGU AWABARIKI SANA NA TUMPE SAPOTI ZETU PALE TU ZITAKAPO HITAJIKA WANDUGU
 

Well kwa nilivyo elewa mimi (wajuzi watanirekebisha), hapa ni kuangalia uhusiano kati ya interest rates na forex. Kifupi ipo hivi
If the interest rate on the currency you bought is higher than the interest rate of the currency you sold, you will earn a positive roll. If the interest rate on the currency you bought is lower than the interest rate on the currency you sold, then you will pay rollover.

Kwahiyo it depends on your last position before the market was closed. If you went long then you will get profit (positive roll) if the interest of base currency is higher than that of the counter currency otherwise if the interest of base currency is lower then you will get loss (negative roll/pay rollover). The same applies if you were short, you just check which currency was bought and which was sold in your pair
 
Wazo zuri sana Bavaria. Na litakuwa wazo zuri sana kwa wale ambao tunapanga kuwa full time Traders.

Wale ambao mpo maofisini mnaweza pia kutoroka mje.

[emoji16]
Fulltime traders utakuwa unapiga hela hadi unaumwa..
Utakuwa unawaza jinsi gani ya kutumia..
Ukiunguza account wenzako watakukopesha 1000$ za kurudi kwenye business.
Hapo nje mmepaki BMW za kutosha..
Weekends mtakuwa mnawaza wapi mkapumzike.
Au 10% ya hela mtakayotengeneza ijumaa mnawapelekea yatima na wasiojiweza. Au mnatafuta siku mnaenda kula na watoto yatima sehemu au kwenda nyumba za kulea wazee kuwapa misaada.
Mnarudisha kiasi fulani cha fedha yenu kwenye jamii.

Kwahiyo Lounge ni platform nzuri sana..
Enzi zetu tunaanza forex tulikuwa tunajificha chumbani, tunafanya analysis wenyewe na loss tukipata hatujui tunapataje.
It was a true try and error method.
Ila mkiwa kwenye Lounge ukipata loss wenzako watakuelekeza wapi unapata loss.
 
Mikeka haifai. With mikeka unakuwa huna control na pesa yako. Always you ll be hopping for the best.
Betting unakuwa unapoteza hela nyingi ila kidogokidogo.
Unaweza kupoteza hata 1,000,000 ila ukapata 100,000. Loss ni kama 900,000.
Huwezi sikia maumivu yake kwasababu unaipoteza kwa 1,000.
Wengi hawaoni hilo..
 
Mikeka haifai. With mikeka unakuwa huna control na pesa yako. Always you ll be hopping for the best.
Betting unakuwa unapoteza hela nyingi ila kidogokidogo.
Unaweza kupoteza hata 1,000,000 ila ukapata 100,000. Loss ni kama 900,000.
Huwezi sikia maumivu yake kwasababu unaipoteza kwa 1,000.
Wengi hawaoni hilo..
 
Mkuu na wewe pia hauruhusu PM ee...??
 
And I quote "every thing should be put in light,I will not answer any PM" Said ONTARIO.

Duh! Mkuu hii ilikuwa comment yangu ya page ya ngapi sijui nyuma huko ndio unaileta sasa!! Watu wanaongelea lounge sasa embu tupe maoni yako

By the way nime acknowledge kuwa naelewa kwamba hajibu pm kwahiyo ile ilikuwa ombi maalumu na nilikuwa nasubiri akubali ndio pm itumwe. Anyways, unaonaje wazo la kuwa na lounge? [emoji2]
 
Reactions: MC7
Tujiulize motivation ya mtu anayemkatisha tamaa Ontario ni nini?
Je, ni Network Marketing tuseme atapata wateja wa Ontario wajiunge chini yake?
Je, ni sifa anataka kama Ontario anazopewa hapa?
Watanzania tuna roho ya kimasikini na ya kishamba sana. Hatupendi tuone mtu anapiga hatua kwenda mbele.
Furaha yetu tuone mwenzetu amefeli ndo furaha inakuja.
Basi, kama huyo mtu anataka sifa, akaanzishe Traders Lounge yake.
 
i really like your idea of GIVING BACK TO THE SOCIETY.. hapa hata Mungu atatuzidishia success yetu katika hili jambo..
 
Trade like a Pro

Mimi nikifanya analysis situmii indicator yoyote (hua naziita takataka), kitu kikishakua laggish kwangu kinakua senseless automatically. So hua natumia price action. Yani nikisema price action namaanisha kuamgalia movement ya currencies nyuma na kuamini kua itabehave ivo hata baadae, ni sawa na kusema - kama mvua ilinyesha mwezi wa 2 na wa 3, basi hata mwakani itanyesha miezi hiyo hiyo.

1. Najaribu kuangalia behaviour ya EURUSD kwa wiki ijayo.



1 kwa 1 naona wazi kuna pattern ya head and shoulder - hii ni 1 ya pattern maarufu sana na ya kuaminika pia... kinachotokea ni hiki:-

Kwa chart yetu hii iliyoform ni head and shoulder TOP.
●Hatua ya kwanza ni kuform bega la kushoto. Price itapanda kutoka chini (neckline) hadi price ya juu, kisha itarudi tena kwenye neckline yetu. - kwenye chart yetu ya EURUSD hii imetokea.

●Hatua ya 2 ni kutengeneza kichwa, hapa price itapanda kutoka kweye neckline na kuzidi usawa wa bega la kushoto kisha itarudi tena chini na kugonga neckline yetu. ' kwenye chary yetu ya EUTUSD hii imetokea.

●Hatua ya 3 ni kutengeneza bega la kulia, hapa price itapanda tena na kufika level ya bega la kushoto, the irudi tena kwenye neckline.

●Hatua ya mwisho baada ya kutengeneza bega la kulia, price itashuka chini vby mno hadi kugonda support level ya huko chini.

Sasa kwa analysis yng naona hatua zote 3 za mwanzo zimeform, na forecast yangu ni kuwa price itashuka vibaya sana. Pia tukiangalia historical data, wakati price ilikua kwenye hiyo level automatically ili reverse na kuvunja hiyo support level na kushuka hadi chini kwenye support mpya ya 1.08568. Hiki ndicho nitaexpect kitokee wiki ijayo.

So EURUSD will be strong BEARISH so it's a good indication for a serious sell.
 
Yeah. I don't prefer ndo maana nimeifunga.
Kama una swali, uliza hapahapa. Hata nisipokujibu mimi, wengine watakusaidia kujibu.
Ok inawezekana labda limeshajadiliwa humu kwenye hii post maana, kwa kipindi nimekuwa tyt,

1. Naomba msaada wowote (vitabu, links, video, au resuorces zozote unazodhani zinaweza kunisaidia, kujua hii mambo)
2. Sijajua hili jambo limefikia wapi mpaka sasa (kama kuna utekelezaji wowote umeshafikiwa) as i told you nilikua busy sana na nahisi sitwaweza kurudi nyuma na kuanza kusoma post zote.

thank you in advance.
 
Hahaha. Ngoja watoto wa-graduate kwanza tuanze kutupia analysis humu.
Sidhani kama kuna mtu ameshafika huko kwa sasa.
 

Copy to Mwl. RCT Complex

Ila nakushauri usome uzi wote huu. Utajifunza kitu.
 
Mkuu nitakipataje hii kitu, mimi niko mkoani..
najua naweza kupata matusi kutoka kwa watu wanaotumia smartphone kwa ku-quote huu uzi lakini poa tu.

i really need this thing mkuu..
 
Reactions: MC7
Trade like a Pro

Najaribu pia kuangalia pair ya GBPJPY hapa nitatupia sakafu na paa, wenyewe wanaita floor and ceiling ama support and resistance.

Nikichora hizo zones zangu, automatically zinanirudisha hadi Feb 2013 wakati price ilikua ktk hiyo zones. Price kwanza ikagusa paa, baadae ikaanza kushuka chini hadi ikagonga sakafu kisha ikapanda kwa mwendo wa kumsukuma mlevi.

Oct 2016 pia price ikarudi kwenye hiyo zone tena, ikatii support na resistance yangu, ikagonga paa, then ikashuka chini kwenye sakafu kisha ikapanda tena hadi kwenye paa. Na sasa imeshuka kwenye sakafu yangu... ninachokiona ni piga uwa galagaza lazima price ipande tena juu.

So hapa bila shaka GBPJPY itakua bullish so I expect to buy.

Mambo kama haya ndio tutahadithiana darasani wakuu.

Enjoy the week ahead beautiful people
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…