Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.

Kumbe line chart sio mbaya kiivyo, Ina mazuri yake pia
 
Nakuja kukupa 'angle' nyingine ya analysis mkuu.
Ngoja nikirudi home..
 
Niko makini sana kufuatilia, japo sielewi lakini naamini itafika wakati nitaelewa tu. Sikati tamaa mpaka kielewike. Ontario Mungu akubariki sana kuwa na moyo wa kipekee namna hii japo wapo wapuuzi wachache wenye wivu na chuki zao kipuuzi, usikatishwe tamaa, tusaidie ndugu zako tuondokane na huu umasikini.
 
verry interesting, mwanzo tulimezeshwa indicators vby,
tupo pa1 mkuu, twasubir sana iyo siku utatukaribisha.
 
I have no say bro, boonge la idea
Apo haachwi mtu
 
Link hii hapa

Forex Traders

Ila nakushauri anza kusoma vitabu vilivyo wekwa humu kwenye thread otherwise kwenye group utaona maruweruwe
shukrani sana mkuu, tatizo nilipotea kidogo sasa kuna post nyingi sana zimenipita, nimepata kile kimoja cha dummies ngoja nindelee kucheki kama kuna vingine..

asante tena.
 
download hiki hapa nimekutumia ila jitahidi usipitwe
duh mkuu asante, nimeshakipakua... ngoja nile nondo kiongozi..
kama una nondo nyingine unishushie mkuu..
thousand thanks
 
Mkuu haya maujanja kwa sisi tunaoanza tunaitaiji utulivu kidogo kuyaelewa.. Ila ukishakua na mwanga yanaeleweka.. Tupe mUjanja mkuu.. Me wakati nati nacheza na demo niligundua njia yangu kama kucheki speed ya mabadiliko ya soko.. Kiukweli kwenye indicator bado siko poa.. Ila naamini nikipata nafasi ya darasa nitakua mbaya balaa.. Sitafanya tena kwa kubahatisha..
 
Reactions: MC7
Bomba la idea hili. Palipo na wengi hapaharibiki kitu, hasa tukiwa tunaongea lugha moja.

[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…