Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
piece of advice...

Succeeding in demo does not guarantee success in live account .Most newbie encounter failure in live trading due to the psychology of fear as a result of the their real being involved . I think to conquer fear you should open a live account with money you can afford to lose. To be successful in forex a lot a patient and determination is required
nice advive sir
 
FOREX haijawahi muacha mtu salama
Nime-set deposit amount ya $ 50 kwa demo, within few seconds nikaipeleka mpaka $70
Few seconds later, nikaichoma yote.

Nlichogundua kwa hii kitu, ni vyema sana uka-stick na ur TRADING PLAN, haijalishi soko linakujia na vishawishi gani.
Demo account unaifunguaje? Just curious
 
Trade like a Pro

Najaribu pia kuangalia pair ya GBPJPY hapa nitatupia sakafu na paa, wenyewe wanaita floor and ceiling ama support and resistance.
3c4997e41214250ceb283a8e46739868.jpg


Nikichora hizo zones zangu, automatically zinanirudisha hadi Feb 2013 wakati price ilikua ktk hiyo zones. Price kwanza ikagusa paa, baadae ikaanza kushuka chini hadi ikagonga sakafu kisha ikapanda kwa mwendo wa kumsukuma mlevi.

Oct 2016 pia price ikarudi kwenye hiyo zone tena, ikatii support na resistance yangu, ikagonga paa, then ikashuka chini kwenye sakafu kisha ikapanda tena hadi kwenye paa. Na sasa imeshuka kwenye sakafu yangu... ninachokiona ni piga uwa galagaza lazima price ipande tena juu.

So hapa bila shaka GBPJPY itakua bullish so I expect to buy.

Mambo kama haya ndio tutahadithiana darasani wakuu.

Enjoy the week ahead beautiful people

Nimeelewa mambo mengi sana hapa mkuu ONTARIO ubarikiwe sana. Umenitoa Tongotongo kibao. Duuuh sijui nisemeje tu yani lakini Be blessed.
 
I am back mkuu...

View attachment 526653

EURUSD has a STRONG BEARISH pattern. But,

It can break the resistance line at the current 23% Fib retrenchment level mpaka 61% ambapo kuna kama pips 256 hivi.

au Itapanda juu kidogo kama pips 198 then itashuka chini kwa nguvu sana hadi fib level ya 61% ambapo itakuwa kama pips 463..

Your trade setup itakuwa either short time bullish and long bearish au long time bearish endapo itabreak..

Mkuu Bavaria Ubarikiwe sana. Nafurahi sana kupata insights zenu wazoefu wa hii kitu. Maisha nayaona yakibadilika kabisa. I only lack how Can I master and use different timecharts. Monthly, Weekly, Daily, 4H, 1H, 30Min, Hadi 1Min. Nikishajua namna ya kuzitumia basi am sure I will be good to Go
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Wakuu mm mpk sasa najaribu kuset SL na TP kwny mt 4 natoka patupu,sielewi kbs,km mtu anaweza kusaidia hapa ntashukuru.
Hata tutorial yao siielewi,naona km wanafundishia version tofauti na sio ya android.
 
Wakuu mm mpk sasa najaribu kuset SL na TP kwny mt 4 natoka patupu,sielewi kbs,km mtu anaweza kusaidia hapa ntashukuru.
Hata tutorial yao siielewi,naona km wanafundishia version tofauti na sio ya android.
Katika kuset SP loss na TP. Kwanza kama umetumia market execution inabidi ubuy au u sell kulingana na tatjimini yako ulivyofanya. Ukishaingia kwenye soko ndo unakuja unaiclick ile trade yako ambayo inaendelea halafu unabonyeza modify trade. Katika kuset inabid SL yako itofautiane na market price kwa thamani ya spread. Pia TP inabid itofautiane na price kwa thamani ya spread. Pia ukiwa unachelewa unakuta viwango vya price vimepanda au kushuka so na we inabid urekebishe. Huo ndo uelewa wangu
 
THE FOREX BIBLE

Kitabu kizuri sana kinachofundisha Forex hatua kwa hatua.

Ongezeni hiki kitabu kwenye hifadhi yenu ya vitabu vya kusoma..

Kitawasaidia wale watu wasiojua Forex Kabisa. Ila kama umeshaanza kusoma kitumie kama njia ya kuongeza maarifa zaidi..

Hope this will help..

Complex Mwl.RCT and others.
 

Attachments

Mkuu Bavaria Ubarikiwe sana. Nafurahi sana kupata insights zenu wazoefu wa hii kitu. Maisha nayaona yakibadilika kabisa. I only lack how Can I master and use different timecharts. Monthly, Weekly, Daily, 4H, 1H, 30Min, Hadi 1Min. Nikishajua namna ya kuzitumia basi am sure I will be good to Go

Hizo time frames zinasaidia kwenye analysis. Kuna kitu kinaitwa Top Down Analysis, manake unaangalia trend ya pair yako kuanzia monthly, weekly, daily, H4 or H2/H1.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom