Mpini Wa Chuma
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 1,728
- 1,327
Mkuu punguza munkari soma comments taratibu mpaka tulipoishi utapata picha ya kila kitu.. Mambo bado mabishi sana.. Hizi mbwembwe za wadau zisikupe presha ukajiona umechelewa.. Mkuu ONTARIO ndio kwanza anamalizia malizia kuweka mambo sawa...Oya jamn mim nasoma google bt bado sijapata kitabu pia nataman sna kujua nakuanza ila nmestalk then naona mnatiririka tuu duuh nan anishike mkono sielewi..aliyetayari jmn au hio class au kama kuna broker wa Kuni coach..
Off and on since 2007. Nilinyolewa vizuri sana kwenye financial crisis na ETFs nikawa ninaheshimu sana hizi habari, nikawa na concentrate kwenye real estate na 401(k). Nimeanza ku trade tena seriously mwaka huu.
Mostly binary options Forex on www.nadex.com.I am trying to get into www.forex.com but I need to familiarize myself with their interface.
Ukiwa na roho nyepesi unaweza kulia.
Mkuu sio 300 tena saivi ni 150Wakuu anaefahamu sana kuhusu siri za kupiga hela na Qnet network marketing anipe maujanja
Najua hapa ni fx na mm ni mdau naefatilia kimya kimya na naamini Mungu akipenda nitakuwa mmoja kati ya hao 300 maana hapa najipanga kuanza fx ila nataka kujua kuhs Qnet
Bavaria nafurahia sana kila unapomention Fibonacci, nimeona analysis zako zote na nilipoiona ya kwanza tu nikasema huyu jamaa anatumia system ninayoihusudu mimi.Mimi sio fan wa indicators mfano ni hiyo Moving Average.
Pia, umekosea kuweka hizo trend lines za kuonesha reistance and support.
(Ongeza mazoezi zaidi kwenye ku-identify support and resistance na jinsi ya kuchora hizo lines)
Then, kuna kitu kinaitwa Fibonacci, kinakusaidia kuangalia retrenchment level ya hiyo trend. Whether ipo kwenye consolidation na next move itaelekea wapi.
Na wala sio 150 tena ni 300 ila kwa awamu 3 ya watu 100, 100. Na baada ya hapo kiongozi atatoa utaratibu mwingine wakupata darasa..Mkuu sio 300 tena saivi ni 150
Mkuu sio 300 tena saivi ni 150
Poa sana kakaMkuu punguza munkari soma comments taratibu mpaka tulipoishi utapata picha ya kila kitu.. Mambo bado mabishi sana.. Hizi mbwembwe za wadau zisikupe presha ukajiona umechelewa.. Mkuu ONTARIO ndio kwanza anamalizia malizia kuweka mambo sawa...
misha fanyika hadi awamu ya ngapi au bado?Na wala sio 150 tena ni 300 ila kwa awamu 3 ya watu 100, 100. Na baada ya hapo kiongozi atatoa utaratibu mwingine wakupata darasa..
mafunzo bado mkuutafadhali mwenye taarifa naomba anifahamishe-kama mafunzo ya ONTARIO yameanza au bado?
Bado kamanda endelea kufuatilia huu uzi taratibu. Nakusoma post za nyuma taratibu..ya
misha fanyika hadi awamu ya ngapi au bado?