Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Forex: Biashara Yenye Utajiri Mkubwa Zaidi Duniani Ambayo Hakuna Benki Itataka Uijue!

Status
Not open for further replies.
Wazo la kwanza
Protocol yangu hua haibadiliki milele. Hahaa! Wanaonifahamu wananifahamu vizuri, hua sijibu PM ya mtu yoyote, no matter who you are. Kama ulishawahi kunitext PM kuhusu mada ninazopost na nikakujibu positively basi jua wewe ni malaika. Binafsi Naamini katika kufanya kazi in transparency, clearness and clarity. Hakuna kitu cha kuficha, kama kuna chochote weka hapa jukwaani kila mtu aone, ajifunze, aelimike na akosoe pia.
Mkuu mimi niko tayari kuingia darasani kwako hata kesho. Huu unabii ukinipita naweza kujilaumu maisha yangu yote.
 
Ontario...nipo kwenye the same business like the one u mentioned... Hii inaongozwa na mtu mmoja anaitwa Matt Lloyd! Mtafute uone kinachoendela! Nitaleta hapa jukwaani maelezo yake kwa kirefu!
Asante kwa hii pia. Nitaifuatilia, ukizingatia nina skills za kutosha kutrade kwenye biashara za mitandaoni! Huku kuna dola nje nje!
Mkuu ingependeza nawe uweke uzoefu wako hapa
 
Yaani after i read dc thread, i found myself dat am rl educated fool huh, hapa ndio nauona umuhimu wa masomo ya biashara na uchumi, co kwa utajiri ule aliokuwa nao yule dg wa south ax3. Ngoja tusuke mipango..
 
Binafsi nimekuelewa sana mkuu. Ila shauku yangu nikuona unatujibu maswali yetu
Ikipendeza naomba niwe m1 was hao 300 na wengine tupo mikoani so ikikupendeza tupe utaratibu mkuu.
Ngoja amalize kumake another 100 $ on forex atakujibu mkuu
 
Ni kitu rahisi sana,ila ni akili tu uitumie vizuri kuhusu foreign exchange rates
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Wale ambao wamekitafuta kitabu kilichokuwa recomended "Currency Trading for dummies by Brian Dolan, 2nd edition" bila mafanikio ama wamepata ambacho hakijakamilika na chenye pages pungufu, hii hapa copy ya kitabu full nimewaatachia. Kina pages 322. Hope mkisoma zote, mtapata mwangaza wa mahala pa kuanzia.
 

Attachments

Mkuu mimi naomba kuanza na hao 300, kama watakuwa wamesha fikia nipo tayari kuwa wa kwanza kuanza kulipa hiyo garama ya mafunzo ila ili mradi niwe kwenye group la kwanza la hii elimu
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Wale ambao wamekitafuta kitabu kilichokuwa recomended "Currency Trading for dummies by Brian Dolan, 2nd edition" bila mafanikio ama wamepata ambacho hakijakamilika na chenye pages pungufu, hii hapa copy ya kitabu full nimewaatachia. Kina pages 384. Hope mkisoma zote, mtapata mwangaza wa mahala pa kuanzia.
Be blessed, nakianza sahivi hadi kesho muda kama huu naamini nitakuwa nimeshapata kitu
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Nahitaji kupata darasa kamili licha ya kuwa nimepata hi dondoo
Asante mkuu kwa kunitoa tongotongo
 
Kwahio inahitaji akili sana kama kubet sio? Anyway nami nimo, I'm in
 
Wale ambao wamekitafuta kitabu kilichokuwa recomended "Currency Trading for dummies by Brian Dolan, 2nd edition" bila mafanikio ama wamepata ambacho hakijakamilika na chenye pages pungufu, hii hapa copy ya kitabu full nimewaatachia. Kina pages 384. Hope mkisoma zote, mtapata mwangaza wa mahala pa kuanzia.
Shukran sana arifu!!

BTW id yako imenikumbusha imaginary and real part hahaha!!

Nisha download!
 
Asee, hii deal imekaa poa. Shukran sana mkuu Ontario. Naomba na mm niwe miongoni mwa hao 300 wa mwanzo..
 
Wazo la kwanza
Protocol yangu hua haibadiliki milele. Hahaa! Wanaonifahamu wananifahamu vizuri, hua sijibu PM ya mtu yoyote, no matter who you are. Kama ulishawahi kunitext PM kuhusu mada ninazopost na nikakujibu positively basi jua wewe ni malaika. Binafsi Naamini katika kufanya kazi in transparency, clearness and clarity. Hakuna kitu cha kuficha, kama kuna chochote weka hapa jukwaani kila mtu aone, ajifunze, aelimike na akosoe pia.
Staili ya uandishi ya Stivu Masiyiwa... Teh!
 
I like it,Mkuu count me in kati ya hao 300
Je wa mikoani itakuwaje?na hivyo vitabu tunavipataje?
 
PEOPLE ARE GOING OVER BOARD!


Yani kuna watu tayari leo leo wamepitia Google na you tube, tayari wanajiona wameshakua forex gurus!

Naomba kitu kimoja mkuu ONTARIO, niweke kwenye list ya watu watakaoanza batch ya pili ya kulipia.

Meanwhile, acha nizame deep kwenye kitabu ulichotoa, then nikazie na nondo nyingine.

Nataka nisome word after word, sio kusoma ilimradi nimemaliza. By the time naingia class, nakuja kusawazisha kabisaaa!


I have one philosophy, "If I have six hours to cut a tree, I'll spend four hours looking for a sharp axe"

Naomba niwe wa kwanza kua registered kwa batch ya pill mkuu!
 
Nilikuwa na njaa yote imekwisha Uzi umenishibisha Mkuu count me in
We Njaa mi nimestuka usingizi muda ya huu wa 02:40 usiku,unawaza hili na lile dah! Nakutana na hii kitu nilitamani niwe nimeshaanza na vitabu nimeshasoma vyoote,account nimeshafungua.
Naangalia hela zinavyoingia Haa haaa,Mkuu ONTARIO usinisahau hata km nipo Mkoani nitahakikisha napata darasa.
 
Yanini uwe mchoyo kwa kiti ambacho hakikupunguzii chochote bali kinakuongezea ndugu na marafiki. Leo nikikusaidia wewe na yule najua kesho hata nisipokuepo mwanangu atabaki mikononi mwa watu salama. That's life!!
Ubarikiwe sana,hicho ni kipawa kipo ndani yako sio wote wanaojua vitu vizuri wapo tayari kushare au kufundisha wengine.
All in all usiniache kati ya hao 300 mi nipo mkoani ila penye nia pana njia nipo tayari kujifunza na make money
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom